Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

Wanajaribu maadui zake kufuta Kwa nguvu lefancy yake lakini haiwezekani.

Wao wafanye yao tu...na mbaya zaidi Kwa kuwa hawakupigiwa kura ,Kwa hyo Kwa kipindi hiki wasipofanya mambo ya maendeleo hakuna wa Kuja kuwauliza zaidi watasema tulikuwa ndo tunajipanga.

Wao badala wafanye kazi,kazi yao ni kupambana na marehemu...ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Kwanza Kwa maneno ya mama janeth it's like ,SSH,ilikuwa asiende chato, so ni km kalazimishwa tu...yaani serikali haikuwa na mpango,ndyo maana kanisa katoliki wao wakachukua nafasi hyo km kuendesha misa.
 
Mnatumia nguvu sana kulazimisha vitu.
Hakuna Nguvu inayo Tumika
Najua Umejawa chuki tu
Screenshot_20220318-071306.png
Screenshot_20220318-071133.png
 
Wazee wa kikundi flan watakataa ila alikuwa ni best president
 
Mkuu hawa vibaraka wanakera sana katika nchi yetu matatizo yote tunayopitia leo yamesababishwa na awamu ya nne wale watu walijua kufuja pesa wanakuja kumtukana mtu aliyewasidia kwenye kipindi kigumu kama cha Corona walitaka lock down si wangekufa ila mwamba kakataa huo upuuzi wao ndio maana wana mchukia.
Kumkubali jiwe inabidi akili yako iwe kama hii. Ila poa tu hakuba jamii ambayo haina watu kama wew
 
Back
Top Bottom