Magufuli, a Man of the People

Magufuli, a Man of the People

1.5 Trillion sio hela kidogo,angekuwa amezichukuwa tungeziona Chato,hazionekani!Semeni msemalo ninyi keyboard warriors,Ila hamtabadilisha mawazo yetu.Magufuli was such an honest President kiasi kwamba hawezi kuiba.1.5 trillion.Hela hizo zimetumika for government genuine business na kwa maslahi mapana ya taifa.
Was honest but si kwamba hawez kuiba.

Kuna 1mil za kuiba and you dont know that.

The fact hakuna ajuae his true identity.

Na yapi aliyafanya behind public ni busara kukaa kimya maana most of you guys mnaandika speculations tu.


Hakuna ajuae the truth.

And probably haitojulikana
 
Siwezi kumpangia Mungu.

Mungu amlaze anapostahili.
 
Was honest but si kwamba hawez kuiba. Kuna 1mil za kuiba and you dont know that.

The fact hakuna ajuae his true identity. Na yapi aliyafanya behind public ni busara kukaa kimya maana most of you guys mnaandika speculations tu.
Hakuna ajuae the truth. And probably haitojulikana
Circumstantial evidence inaonyesha wazi kwamba JPM was an honest President.

This is what we are talking about.

Mkuu circumstantial evidence is even accepted in court.

Tatizo ni tabia ya watu kujenga mahekalu hewa,this is not acceptable.
 
Siwezi kumpangia Mungu.
Mungu amlaze anapostahili.
Tatizo la watu wa leo ni kwamba hawawezi ku-distinguish between good and evil.

Kagushi cheti,akiwajibishwa, kaonewa;kaiba hela ya uma akiwajibishwa,kaonewa;kala rushwa,
akiwajibishwa,kaonewa;kazembea kazini,akifukuzwa,
kaonewa;
kajenga mahali pasipo sahihi,
nyumba imevunjwa kaonewa;kakwepa kodi kawajibishwa,kaonewa nk.nk.

Ndugu hilo halitakuwa Taifa tena,litakuwa Taifa la kufikirika,na la wahuni,na Rais anayevumilia uozo huo ni punguani.​
 
Mimi sio Msukuma,ni Mpare,and what you call Sukuma gang does not even exist,it is a myth aimed at discrediting the good which Magufuli has does for this nation for your selfish and evil ambitions.Shame on you.
Tupo wengi lakini kwa aibu yao ya kufanya uchawi mchana kweupe wakaamua kutuita hilo jina...
 
1.5 Trillion sio hela kidogo,angekuwa amezichukuwa tungeziona Chato,hazionekani!Semeni msemalo ninyi keyboard warriors,Ila hamtabadilisha mawazo yetu.Magufuli was such an honest President kiasi kwamba hawezi kuiba.1.5 trillion.Hela hizo zimetumika for government genuine business na kwa maslahi mapana ya taifa.
Ziko wapi 1.5 T?
 
Ziko wapi 1.5 T?
Zilitumika kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Circumstantial evidence ilionyesha kwamba sio mbabaishaji,kwa hiyo tuli-muamini.

Na Hakuna ushahidi wowote kwamba alliba,si tungeziona Chato,mbona hazipo.

Narudia 1.5 trillion sio hela kidogo,tungeziona.
 
Jpm ilikuwa ni zawadi ya Mungu kwa watanzania wenye upendo, huruma, wapenda maendeleo, wacha Mungu..
Binadamu hatujakamila lakini ni binadamu wachache waliokuwa na roho ya kujituma kama jpm

wengi wetu hata kusimamia maendeleo ya familia zetu ni taabu i.e tunashindwa..mwanaume mzima unaikimbia na kuitelekeza familia yako kisa majukumu.

viongozi wengi maneno ni mengi kuliko vitendo ..

kwa upande wangu
maendeleo ni gharama ya muda, pesa na kujituma. Kwa akili za watanzania hutakiwi kuwapeleka kidwmokrasia. diplomatic au romantic utafeli sana tu.


mtanzania hatakiwi kuchekewa katika kutimiza majukumu yake inapobidi Ua, Funga, tesa kwa mstakabali wa Taifa na maendeleo.

HATUWEZI KUFIKA KWA MANENO. WAPO TUTAKAO WAPOTEZA KATIKA SAFARI YA KUFIKA KULE TUENDAKO.

RIP Jpm
 
Nani anataka kujua kabila lako jombaa? Don't act smart , we have freedom to believe and choose. I believe sukuma gang lipo, na Marehemu hakufanya lolote la maana zaidi ya ukabila na kuwaonea watu. Of cause kuna 1.5 Trillion hazionekani, be informed.
Nonsense, Idiot, Pumbav kabsa, Kuna 50+ trl zimeokolewa kwenye madin pia
 
Corruption among public servants from junior to ministerial level was rife when JPM began his presidency. He soon began to challenge public servants who appeared to have unexplained wealth and instructed them to show their assets had been gained honestly.

The people of Tanzania recognized and acknowledged the uniqueness of President Magufuli and his achievements by returning him to the office at the October 2020 general election with a landslide. Tragically he is no longer around to pursue his plans to further improve the lives of the common people of Tanzania – but he will be sorely missed and mourned by his people for a long time to come.

Harid Mkali is an author & journalist based in London, England. He can be reached via Email:mkali@live.co.uk; phone: +44 7905392355
Hivi mtoa mada unakaa England gani hiyo ambayo inakufanya uandike uwongo wa namna hiyo?

Kwenye corruption yeye ndiye alikuwa MOST CORRUPT. Maana kwa miaka 2016-18 CAG alimkuta na upotevu wa Tsh 2. 4 Trllion, na alipomhoji, akamkatiza mkataba kinyume na matakwa ya Katiba

Magufuli aliiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020 wote. Wewe unasema eti alishindabkwa "landslide".

Wala hauko England, uko Chato au Geita tu hapo
 
Anayekula chai na bamia wala haijui JF.Wewe ni sadist tu ambaye uliingia kwenye anga za marehemu kwa sababu za uovu wako,ukawajibishwa,huna lolote.

Mimi ni Mtanzania niishiye kijijini and I like him dearly,and I know what my neighbours talk of him.Alikuwa kipenzi cha Watanzania,hakuna Rais ambaye ameshawahi kupendwa na watu wa kawaida kama Magufuli.Maombolezo ya msiba wake yanathibitisha hili.
Kwani wote wanaoingia JF wananunua data, wapo wanaopata hisani za mitandao ya simu.
 
Jpm ilikuwa ni zawadi ya Mungu kwa watanzania wenye upendo, huruma, wapenda maendeleo, wacha Mungu..
Binadamu hatujakamila lakini ni binadamu wachache waliokuwa na roho ya kujituma kama jpm

wengi wetu hata kusimamia maendeleo ya familia zetu ni taabu i.e tunashindwa..mwanaume mzima unaikimbia na kuitelekeza familia yako kisa majukumu.

viongozi wengi maneno ni mengi kuliko vitendo ..

kwa upande wangu
maendeleo ni gharama ya muda, pesa na kujituma. Kwa akili za watanzania hutakiwi kuwapeleka kidwmokrasia. diplomatic au romantic utafeli sana tu.


mtanzania hatakiwi kuchekewa katika kutimiza majukumu yake inapobidi Ua, Funga, tesa kwa mstakabali wa Taifa na maendeleo.

HATUWEZI KUFIKA KWA MANENO. WAPO TUTAKAO WAPOTEZA KATIKA SAFARI YA KUFIKA KULE TUENDAKO.

RIP Jpm
VON BISMACK ni Mungu gani unamuongelea hapa?

Labda mungu wa wasukuma, Mfalme Zamaridi.

Mungu tunayemuabudu kwenye vitabu vitakatifu kama Biblia na Korani hawezi kutoa zawadi kwa Watanzania ya Rais anayeharibu uchumi, mwizi, mwongo, mtekaji na muuaji.

Na kukuthibutishia kuwa Magufuli hakutoka kwa Mungu wa Ibrahim, Yakobo na Isaka, ndiyo maana mara baada ya kufanikisha wizi wa kura za uchaguzi Mkuu wa 2020, akanyakuliwa na kutupwa jehanam ndani ya siku 114 tu.

Muache Mungu wetu usimhusishe na shetani wa Chato
 
Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.

Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.

Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.

Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom