Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Ndiyo maana nimekuambia ignorance is bliss. Let them not be bothered with your opinion and your line of thinkingKama mtu anaona fahari kuitwa mnyonge huyo anatofauti gani na mtu mjinga?
Hata body language huijui?Kwa kwakuwa kaongea ndio kafanya ila wale wasio ongea ndio hawajafanya si ndicho unacho maanisha?
Kwa hiyo mama alivyo sema ukinizingua na kuzingua, kwa let say chochote kitakacho tokea sasa kwa mtizamo wako Mama Samia atakuwa kahusika si una maanisha hivyo?
Umenena vyema mkuu, Rais wa wanyonge aliyepiga 1.5trSiku mkiigundua yule hakuwa anastahili kuwa rais uje mbio ufute hii post haraka sana. aliwadanganya watu kuwa ni rais wa wanyonge huku akiwa anafanya vya watu wa hali ya juu analeta ndege nani mnyonge wa kuweza kupanda hiyo ndege................. bora hata na alieleta ndege za fastjet zenye ubei nafuu... Matokeo yake anatusababishia shida mpk kufanya mama ashindwe ongoza vema nchi hii... MTAELEWA TUU
Magufuli alikuwa na taarifa zote za kiintelijensia kuhusu Lissu,taarifa ambazo wewe huna,kwa hiyo unaongea usiyo yajua,ingekuwa busara kwako kunyamaza.Hata body language huijui?
Magufuli alipokuwa anatoa hizo kauli ilikuwa ni critical threat kwa watu wote ambao wanamkosoa
Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi
Kama utataka kumtetea kuwa sio yeye, kwanini hakuunda operation ya uchunguzi wa tukio hilo?
Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?
Magufuli kafariki ila sio wote wameumia, kwangu mimi kipaumbele nakiweka kwenye kujali uhai wa mtu kuliko tozo za mihamala
Wewe ni mnyonge ambaye hujui maovu na mauaji aliyofanya jiwe. Mkiona barabara basi unabinuka na kusema maendeleo si ndiyo haya, hujui maendeleo ni zaidi ya barabara. Mtu kama wewe ambaye hata kodi hulipi kweli unaweza kuchambua mambo ya nchi? Jua tu kuwa mungu wako alikuwa muovu sanaWe know why you are so angry with JPM.
Aidha alikuwajibisha kwa uovu wako,ni kuadi wa mabeberu au you are just evil,because evil people do not like good people.
Anyway,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the President Tanzania has ever had.
Sasa asiwe nazo wakati yeye ndiye aliye lead the whole operation?Magufuli alikuwa na taarifa zote za kiintelijensia kuhusu Lissu,kwa hiyo unaongea usiyo yajua,ingekuwa busara kwako kunyamaza.
Watu wengine aisee, sijui mbegu zenu huna zinapatikanaje, yaani wewe humjui dikteta mpaka uambiwe?Hujui maana ya dikteta, umewekewa maneno mdomoni.
Serikalini yenyewe hata ilishampuuzaNarudia,ninyi ni warriors tu wa mtandaoni,hamtabadilisha msimamo wa Watanzania kwamba JPM is the best President Tanzania has ever had.
Maombolezo ya kifo chake proves this assertion
"Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi"Hata body language huijui?
Magufuli alipokuwa anatoa hizo kauli ilikuwa ni critical threat kwa watu wote ambao wanamkosoa
Wakati Magufuli anasema msaliti lazima auwawe ndio siku hiyo hiyo ambayo masaa machache lissu akapigwa risasi
Kama utataka kumtetea kuwa sio yeye, kwanini hakuunda operation ya uchunguzi wa tukio hilo?
Kwanini alizuia watu wasimuombee lisu pamoja na kumnyima haki zake za kibunge?
Magufuli kafariki ila sio wote wameumia, kwangu mimi kipaumbele nakiweka kwenye kujali uhai wa mtu kuliko tozo za mihamala
Watu wenye upeo sawa huwa pamoja. Usiangalie mbali bali anza na weweTell us why you say he was sick mentally,and not you who is sick mentally.
Nchi yoyote mambo kama hayo hayakosi. Sema yanafanywa na nani? Jiwe alikuwa anaua watu wake.Kauli zipi?
Kikwete ulikuwa husikii sababu bado mitandao ya kijamii ilikuwa haina nguvu, kama ungekuwa msomaji wa magazeti kama Mwanahalisi au Raia Mwema walikuwa wanaongelea sana kupotea kwa watu na watu kupatikana ufukweni.
Hivi kauli hii ya Nyerere "Tunakuapisha ili usitusaliti........." unajua ina maana gani?
Halafu unasema yalikuwa machache, vipi la Dr Mwakyembe kulishwa sumu, ambayo ili athiri ngozi yake, vipi Kubenea kumwagiwa tindikali bado kuna duka moja la kuuza nguo, lilikuwa maeneo ya Msimbazi boss wake alimwagiwa tindikali au ulikuwa bado hujazaliwa.
Kama wew ni mjinga na ukaitwa mjinga basi huna budi kukwazika, just enjoy it.Ndiyo maana nimekuambia ignorance is bliss. Let them not be bothered with your opinion and your line of thinking
Mlikuwa mnaua wote?Nchi yoyote mambo kama hayo hayakosi. Sema yanafanywa na nani? Jiwe alikuwa anaua watu wake.
Wewe wasemaMlikuwa mnaua wote?
Unajua kwamba ujinga siyo tusi? And is just a subjective opinion. So long you cannot prove it na wewe ukibaki unalazimisha mawazo yako yawe sahihi then unakuwa ni tatizoKama wew ni mjinga na ukaitwa mjinga basi huna budi kukwazika, just enjoy it.
Siku ukitoka hapo kwa shemeji ndio utajua kwanini Magufuli ataendelea kuishi mioyoni mwa wapenda haki, amani na maendeleo ya kweli.Nani anataka kujua kabila lako jombaa?
Don't act smart , we have freedom to believe and choose.
I believe sukuma gang lipo, na Marehemu hakufanya lolote la maana zaidi ya ukabila na kuwaonea watu.
Of cause kuna 1.5 Trillion hazionekani, be informed.
Kumbe ww ulikia unajisemea, mimi nilivyo ona umeandika vile nikajua labda mlikuwa mnaua wote.Wewe wasema