Magufuli, a Man of the People

Kumbe ww ulikia unajisemea, mimi nilivyo ona umeandika vile nikajua labda mlikuwa mnaua wote.
So ukajua Rais alikuwa ananifata twende tukaue? Watu wengine mna matumiz mabaya ya bongo zenu. Ona aibu basi
 
Siku ukitoka hapo kwa shemeji ndio utajua kwanini Magufuli ataendelea kuishi mioyoni mwa wapenda haki, amani na maendeleo ya kweli.
Kwa taarifa yako Bandari ya Dar es salaam inatafutiwa mwekezaji, imetushinda!
Haki my foot.

Msiwabomolee hawa kwa sababu walinipigia kura.

Hapo haki iko wapi?

Acha aungue moto huko aliko.
 
Ukitaka legacy yako iishi milele.

Ishi kwa kufuata kususdi kuu la kuishi ambalo ni kuwa jawabu(msaada) kwa wengine, Si rahisi kwani inahitaji ujitoe mhanga kwa maslahi ya wengine kitu ambacho si rahisi kwa dunia hii tuliopo sasa.

JPM ataishi mioyoni mwa watu makini vizazi na vizazi(wasioshawishika kirahisi).

Japo wapo wachache wanajaribu kumchafua, ndio watafanikiwa kiasi Fulani kuwahadaa baadhi(wepesi wa kusikia bila kutafiti) lakini mwisho wa yote ni aibu,

Iko wazi siku zote nuru ina nguvu zaidi ya giza, hiyo ni kanuni ya Ulimwengu si ya kwangu.

JPM ulitimiza wajibu wako vyema.

Rest In Power Mwamba.
 
So ukajua Rais alikuwa ananifata twende tukaue? Watu wengine mna matumiz mabaya ya bongo zenu. Ona aibu basi
Kwani hii sentensi uliandika mwenyewe au uliandikiwa ".....Jiwe alikuwa anaua watu wake......." au una tembea na kiwiliwili kichwa ushamkabizi mwengine.

Mimi na kuuliza kutokana na ulicho andika may be inawezeka mlikuwa mkiua wote. Kama hujaandika ww basi samahani.
 
Siku ukitoka hapo kwa shemeji ndio utajua kwanini Magufuli ataendelea kuishi mioyoni mwa wapenda haki, amani na maendeleo ya kweli.
Kwa taarifa yako Bandari ya Dar es salaam inatafutiwa mwekezaji, imetushinda!
Sawa Mkuu
 
Mnavyompamba lakini hapambiki kabisa. Mimi naamini Jiwe ataishi kwa sukuma gang lakini nao baada ya miaka miwili akili zitawarudia tu.
 
Mnavyompamba lakini hapambiki kabisa. Mimi naamini Jiwe ataishi kwa sukuma gang lakini nao baada ya miaka miwili akili zitawarudia tu.
Sawa ni mawazo yako pia sina budi kuyasikiliza.
 
Watu wenye upeo sawa huwa pamoja. Usiangalie mbali bali anza na wewe
Nimesema tell us why you think Magufuli was sick mentally,and not you who is sick mentally.Vinginevyo Kama umewekewa maneno mdomoni keep quite.
 
Which people? Are Azory gwanda, Lissu, Ben Saanane, ... among them?
 
Serikalini yenyewe hata ilishampuuza
Ki vipi iliimpuuza?Serikali ilifanya nini ambacho kilionyesha kwamba iliimpuuza na huku yeye akiwa ndiye kiongozi mkuu wa hiyo serikali unayo sema ili-mpuuza.Aisee,comments yako ni ya kijinga sana.
 
Which people? Are Azory gwanda, Lissu, Ben Saanane, ... among them?
Narudia,kama huna intelligence reports za hao watu shut your bick,you are not well placed to talk about them.

Sio siri kwamba CIA wana a secret covert army in Tanzania,sasa wakiwa identified,na wakawa a threat to our country waachwe?Pigeni kelele at the top of your voices,lakini a leader for the people,hawezi kuwaacha,atawa-shuhulikiwa tu.
 
Usipaniki ndugu. Leo ni zaidi ya mwaka tangu Mungu atoe hukumu yake ambayo haina rufaa. Hakuna haja ya kupandisha majini...
 
Usipaniki ndugu. Leo ni zaidi ya mwaka tangu Mungu atoe hukumu yake ambayo haina rufaa. Hakuna haja ya kupandisha majini...
Hata humjui Mungu unayemuongelea,Mungu anaua watu kwa sumu,huyo Mungu katengenezwa kwa maboksi!!!!????Acheni umbumbumbu.Narudia yeyote atakayegundulika kwamba ni CIA operative,and he is working against the state in anyway,hata kuwa spared,you can shout as you wish at the top of your voices,no body will listen.
 
Stuxnet,wewe nawe you will rot in hell,sasa kwa nini ufurahie kifo cha mwenzio,mbona it's just a matter of time.Labda ni kesho,unajuaje?
Ninajuwa nitakufa, haina ubishi. Lakini kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake

Hicho ndicho kinatufurahisha
 
Tatizo la watu wa leo ni kwamba hamuwezi ku-distinguish between good and evil.

Umegushi cheti,ukiwajibishwa, umeonewa;umeiba hela ya uma ukiwajibishwa,umeonewa;umekula rushwa,ukiwajibishwa,umeonewa;umezembea kazini,ukafukuzwa,kazi umeonewa;umejenga mahali pasipo stahili,nyumba ikivunjwa umeonewa;umekwepa kulipa kodi ukawajibishwa,umeonewa nk.nk.

Hilo halitakuwa Taifa tena,litakuwa Taifa la kufikirika,la wahuni,na majuha na Rais anayevumilia uozo huo ni punguani.
 
Has does?

Sukuma gang kiingereza hakipandi kama alivyokuwa baba yenu.
Sijafanya editing tu mkuu,si unajua smartphone.Ila sina shida ya Kingereza mkuu,kwangu ni kama Kiswahili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…