Magufuli, a Man of the People

Mimi sio mtoto kwa taarifa yako,ni kaka yake Magufuli.Mwaka 1961 wakati tunapata Uhuru nilikuwa darasa la kwanza,kwa hiyo nimeona Marais wote,so I know what I am talking about.
 
Ila jamaa ana watu kote kote.. kwenye ubaya na uzuri pia
 
hao uliyowataja sidhani kama walikuwa na faida kwa Taifa kama siyo propaganda na matusi kwa viongozi wa nchi
Jiwe faida yake ni kupandikiza chuki, mauaji +wasiojulikana.
 
Wengine wanafuata mkumbo tu Wala hata hawakufaidi wakati wa mfumo wa kifisadi...hata sasa hawatafaidi...watabaki kiungana nao kupiga kelele kupambana na marehemu...ila hawatashinda
 
Mnavyompamba lakini hapambiki kabisa. Mimi naamini Jiwe ataishi kwa sukuma gang lakini nao baada ya miaka miwili akili zitawarudia tu.
Kwani kuna sukuma gang na mini,,?

Wewe si ndoyule uliyekuwa unatumia cheti bandia? Hivi kweli hata ningekuwa Mimi, ningempendaje mtu anayenizuia kuiba ili niwe mwema na wakati huohuo wizi wangu ndio Maisha yangu, msosi na familia inategemea na wakati huo sikuwa tayari kuacha wizi

Nitaanzaje kumpenda mtu huyo?

Jambazi wewe utampendaje JPM
 
Nikuulize swali dogo tu, mimi cheti cha nini ili hali nimejiajiri? Au unadhani kila mmoja anaishi maisha kama yako? Turudi upande wako, Ben Saa tisa aliwahi kutaka kujua uhalali wa cheti cha Mungu wako cha PhD, hope wajua nini kilimtokea
 
Nice article, congratulations to you!
 
Mbona Bashite aligushi cheti na kujiita Paul Christian Makonda hakumtoa nafasibya RC. Na yeye mwenyewe OhD yake ni ya kughushi, alipoulizwa na Ben Saanane akamteka na kumuua
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Hayati JPM alisimamia alichokiamini Hayati BWM na alijipambanua Kwenye sikukuu ya wafanyakazi Dar es salaam,MEI MOSI 2001,

kuwa kusema "Napenda kuwakumbusha kuwa njia ya maendeleo imejaa jasho na vumbi. Tuzingatie utamaduni wa kupenda kufanya kwa bidii, maarifa, ubunifu na kujituma. Lawama ni tamu ikitoka mdomoni, lakini peke yake haitapeleka mkono kinywani. Na katika kujituma kila mfanyakazi akumbuke kuwa la muhimu si muda anaotumia kufanya kazi, bali kiasi cha kazi anayoweza kuifanya katika muda aliopewa.
Wenzetu majirani na duniani kote wanajishughulisha, usiku na mchana, kuongeza uzalishaji na kunoa uwezo wao wa tija na ushindani. Na sisi tuamke. Nina matumaini makubwa nanyi viongozi wapya wa vyama huru vya wafanyakazi kwamba mtashirikiana vizuri na Serikali na waajiri ili nchi yetu ijikomboe kiuchumi na kuleta ustawi kwa wananchi wake. Hakuna njia ya mkato, isiyo na machungu. Tuwaongoze wafanyakazi kujua na kuzingatia jambo hilo. Na tuwashirikishe kama tunataka kushinda vita hivi. "
Tanzania inahitaji mtu mwenye kusimamia anachokiamiamini .JPM aliamini na kusimamia alichokiamini kuhusu Kazi na kwa hilo atabaki kuwa Bora mbali na Mapungufu yote na Nguvu kubwa isitumike kupotosha ukweli Huu .
Ingawa Tumaini bado ni Kubwa Kwa Tanzania kwani SSH ni muunganiko wa JPM na JK hivyo tusife Moyo tuendelee kuombea viongozi wetu bado tupo Mikono salama .
 
Mbona Bashite aligushi cheti na kujiita Paul Christian Makonda hakumtoa nafasibya RC. Na yeye mwenyewe OhD yake ni ya kughushi, alipoulizwa na Ben Saanane akamteka na kumuua
A very stupid comment.Kwa hiyo tuhalalishe uovu?
 
Alikuwa kimeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…