Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Mpaka kuna wakati nikikumbuka amekufa, najiuliza hivi ni kweli amekufa yule muuaji ama naota! Alikuwa anatupeleka kuzimu, na mbaya zaidi alikuwa anatengeneza mazingira aongezewe muda wa kutawala kupitia kwa chizi lingine la mirembe, " atake asitake!"
Nchi ilifika pabaya, watu wanauwawa ili kutengeneza nafasi ya fedha za misaada kuliwa, a.k.a Lwajabe kule hazina.
Watu wananyang’anya pesa zao nyumbani na mabenki kama beureu za Arusha.
TRA ndio mkono wa kuwafix watu.
Hata wazee kina Makamba wanadukuliwa sauti kwenye simu na kuundiwa zengwe.

Lakini Mungu si Asumani, alitenda aliyotenda kuondoa kadhia hii.
Mama Samia Mungu amlinde.
 
Kwenye medani ya uongo na uzandiki mbona hana mpinzani huyo. Anapita bila kupingwa wala hafanyi hata kampeni (CV yake inambeba kishenz).

● Alituambia tuwachange bukoba wahanga wa tetemeko waliovunjiwa nyumba zao. Tukajikaza kiaskari na kujibana watanzania kuwachangia. Waulize kama waliona hata Sh 100 ya ujenzi wa nyumba zao.

● Alituambia kila mwalimu atapewa Laptop. Waulize kama amepewa hata mmoja.

● Alituambia kila kijiji atawapa Millioni 50 kwaajili ya kufanya maendeleo na uchumi. Waulize kama waliiona hio hela.

● Alituambia wafanyakazi sekta za umma/walimu, wataongezewa mishahara na madaraja kabla hajaondoka. Waulize kama wameongezewa hizo nyongeza za mishahara na madaraja (Labda madaraja ya ubungo na mfugale ndio wameyaona).

● Alituambia tutalipwa hela ndefu kwenye fidia ya makinikia. Kila raia noah moja moja. Waulize kama mabeberu walitoa hio hela.

● Alituambia Tanzania tutatoa misaada kwa wazungu, sisi ni "DONA KANTRI". Hakuna cha donna wala sembe, ni mwendo wa hali ngumu mpaka skin tight kupwaya mitaani.

● Alituambia serikali yake kutakua hakuna wizi wala ufisadi, na atakefanya ufisadi wa hela basi zitamtokea tundu lolote. Mbona yeye na kina Ole Sabaaya na Makonda walifisadi nchi na kuiba.

● Kwenye kutupa idadi za samaki, watoto wa samaki pamoja na mayai yao kwenye Ziwa Victoria na Baharini. Wala tusipagusie kabisa, tuache hio issue siku ingine.

Yule mzee sio kabisa. Siku alivyofukiwa mpaka malaika watoa kichapo waliokua likizo, ilibidi waitwe kazini kwa dharura kumpokea.
Alikuwa hafai,afu alitaka kutuharibu kisaikolojia kutaka kumwogopa yeye tu.Wafuasi wake walijipa mamlaka,walitutesa na kujitutumua hadharani.Nasema hivi,MLIOBAKIA JIFUNZENI MUNGU HADHIHAKIWI.Sina kitu lakini nina amani,watasema mbona tulikuwa nayo...NASEMA AMANI YA MOYO.sina vita ya ndani kwa ndani
 
Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?

Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
Dah huyu wakina kangi walimuita yesu na shehe wa mkoa alumfananisha na muhammad na kabudi alimuita Mungu wakati raia tunalua kila uchao huko majumbani...ha ha ha leo chali kafa akifukuliwa hata hutamani kumsogelea...mungu anamabavu sana...munao kuwa kwenye uongozi mujifunze...Histiria ya Magufur na Farao wa misr inatofautiana kudogo sana
 
Mbona husemi kuwa baba alivyo kuwa muongo kwa mama yako alisema kuwa anampenda kumbe mama yako alikuqa mchepuko kwa baba yako wakakuzaaa kwa bahati mbaya nje ya ndoa? Sema huo nao je baba yako alikuwa mkweli
 
Kweli ya wapi? Ule ulikuwa uongo wa wazi. Babu yangu alikuwa anamuamini ile mbaya, nikawa namuuliza aseme ni kipimo gani ametumia kujua idadi ya samaki huko kwenye maji, akawa anasema eti serikali ina mkono mrefu!
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Mbavu zanguuu

Serikali ina mkono mrefu mpaka baharini daaah[emoji16]
 
Back
Top Bottom