thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
Ila hii video inaonyesha kuwa yeye ndio amefix Hilo.Mpaka miaka ya 2000, hivi vitu kama hijawahi kukutana navyo huwezi elewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hii video inaonyesha kuwa yeye ndio amefix Hilo.Mpaka miaka ya 2000, hivi vitu kama hijawahi kukutana navyo huwezi elewa
Yaani alikuwa anajiropokea tu....!!Huyu si ndiye alituambia kitambulisho cha machinga wanaweza kukopea hela benki
Wakati
Hakina
Jina
Signature
Picha
Wala makazi au malazi
Alikuwa bingwa wa utapeli na uwongo
😂 😂 😂 😂Kweli ya wapi? Ule ulikuwa uongo wa wazi. Babu yangu alikuwa anamuamini ile mbaya, nikawa namuuliza aseme ni kipimo gani ametumia kujua idadi ya samaki huko kwenye maji, akawa anasema eti serikali ina mkono mrefu!
Umesha-panic.Mbona husemi kuwa baba alivyo kuwa muongo kwa mama yako alisema kuwa anampenda kumbe mama yako alikuqa mchepuko kwa baba yako wakakuzaaa kwa bahati mbaya nje ya ndoa? Sema huo nao je baba yako alikuwa mkweli
stupidEti kuna wafuasi wake wanamuita mzalendo takataka kabisa
Wazazi wa Akwilina ni mabeberu!!??Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.
Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.
Tanzania sio ya kwenu.
😂 😂 😂 😂 😂aliwahi kuokota vichwa vya treni
Muongi mwingine huyo mkuu. Baba wa uongo lazima awe na watoto waongo waongo.Anasema mbona muda mfupI tu ukiopita....miaka ya 96 ndio muda mfupi tu uliopita?
Hili nalo la kuleta JF kweli? Una matatizo ya akili.Ni lini mishahara ililipwa tarehe 15 au 20 ya mwezi unaofuata?
Mimi sikumbuki aisee kwenye utawala wa Kikwete sikumbuki nasisitiza kama kuna mtu anakumbuka aniambie.
View attachment 1831163
alikuwa ana juwa adi idadi ya mayai samaki walio nayo na vifaranga dah![emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Mbavu zanguuu
Serikali ina mkono mrefu mpaka baharini daaah[emoji16]