Magufuli alikuwa muongo sana

Magufuli alikuwa muongo sana

Mabeberu Sasa yanatudhihaki lakini Mungu wetu mkuu, atanyanyua Tena mtetezi mwingine.

Nawaambia nyie mabeberu na makuwadi wenu hamtaitawala hii nchi milele.

Tanzania sio ya kwenu.
Wazazi wa Akwilina ni mabeberu!!??
Wazazi na watoto wa Azory ni mabeberu!!??
Wazazi na ndugu wa Ben Saanane ni mabeberu!!??
Sisi tulionyanganywa pesa kwenye maduka ya kubadilishia fedha ni mabeberu!!??
Watumishi ambao hawajapanda madaraja wala kupata haki yao ya nyongeza ya mshahara ni mabeberu!!???
Walioathirika na tetemeko Kagera kisha Watanzania tukawachangia na mwendakuzimu akaziiba hela hizo ni mabeberu!!???
 
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Mbavu zanguuu

Serikali ina mkono mrefu mpaka baharini daaah[emoji16]
alikuwa ana juwa adi idadi ya mayai samaki walio nayo na vifaranga dah!
samaki aina ya migebuka wapo milioni 5 na elfu enee!
sangara wenye uzito wa kilo 10 wapo milioni hamsini saba sabini na tano elf! Baharini kuu kuna vifaranga vya pweza trillion moja na point 5 dah hakuna alie bisha adi ma profesa🙆
 
Back
Top Bottom