6. Somo la Sita: Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete Walikuwa na Vibali Vikakamilika.
Kama nilivyoeleza lengo kuu la somo hili la vibali, ni vibali vya kutawala nchi.
Siasa za Bongo : Mwalimu Nyerere
Alikuwa na kibali toka anazaliwa!, kuna mambo ya kuzaliwa kwa Nyerere naomba tuyaache yabaki kama ni siri za familia yake tuu, lakini hivyo ndivyo mambo ya vibali yanavyokuwa. Kibali chake kilianza kuonekana alipokuwa Tabora School Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!
Kibali chake kilikuwa ni kutupatia uhuru, hiki kilikamilika, kufuta ukabila na kutujengea umoja, hili lilikamilika. Mwalimu alipaswa kuongoza taifa hili kwa miaka 10 tuu, 1961-1971, kisha aingie mtawala wa kuleta maendeleo.
Kwa vile kibali chake ilikuwa ni kuleta uhuru na umoja, kibali cha mwalimu kilikwisha, alipoendelea, badala ya kupata mafanikio ndipo yakafuata majanga ya vita, kuanguka kwa uchumi, hivyo ni mwaka 1985 akakubali kuwa alifanya makosa, akawaomba msamaha Watanzania kuwa kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa, Japo Watanzania tulimsamehe, na akastaafu kwa amani, ila kuna issues zake nyingine ambazo public hatuzijui, zilizopolelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri unaendelea, ili mwisho wa siku aje kutangazwa ni mtakatifu, unaendelea.
Ali Hassan Mwinyi Alikuwa na Kibali.
Aliyempokea Mwalimu Nyerere ni Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyezaliwa Mkuranga kwa wazazi wote wawili wa Bara, akaenda Zanzibar akalowea, kibali chake kilithibitika licha ya kujiuzuli kwa kashfa, akiwa waziri wa mambo ya ndani, aliukwaa urais wa Zanzibar huku akiwa sio Mzanzibari wa kuzaliwa, na baadae kuwa rais wa JMT. Hayo ndio mambo ya vibali. Yeye alimaliza vizuri kwa kukitumia vizuri kibali chake, Mungu akampa umri mrefu na heri duniani, amakufa na umri wa zaidi ya miaka 100!.
Benjamin William Mkapa Alikuwa na Kibali.
Mwinyi alifuatiwa na Benjamin William Mkapa, huyu kibali chake kilionekane toka alipozaliwa huko aliko zaliwa , Mama ni Mtanzania na jina la Mkapa ni la kikeni. Zile issues za Mchungaji Mtikila kumhusu Ben, japo wengi wanamuona Mtikila kama alikuwa kama kichaa fulani, ila kiukweli alikuwa na hoja, na hayo ndio mambo ya kibali hicho ndicho kilichomsimamia yote mpaka kuwa rais wa JMT.
Alimaliza salama kwa kukamilisha kibali chake, ila na yeye alikuwa na issues zake binafsi na Mungu wake zilizopelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Nilimtengenezea kipindi View: https://youtu.be/DUOg28gosy8?si=QLzc-SZb6xRbQTcD
Jakaya Mrisho Kikwete Alikuwa na Kibali
JK pia alikuwa na kibali, haijalishi kuhusu sarakasi zote zilizopigwa hadi JK kutinga Ikulu, ikiwemo mtu kuchomolewa, mtandao kuasisiwa, timu ya Boys II Men kuundwa, EPA kutumika, na rise of King Maker, etc, ile mtu tuu kutinga Ikulu, hilo peke ni kibali tosha. Kumhusu JK niliandika humu kuhusu mapungufu yake Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na sifa zake njema Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" Alikitumia kibali chake to the fullest na mpaka sasa anadunda.
Yaani hapa ndio umepuyanga, nilidhani upo siriaz 🤣🤣, mada yako umeiharibu kwa kuweka mapenzi binafsi kwenye jambo lililoonekana la msingi hapo mwanzo. Uncle unaleta uchawa.
Leo, naendelea na zile mada zangu za kwa maslahi ya taifa。Leo naendesha somo la kitu kinachoitwa “Kibali”
Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada hii naileta kwa vipande vipande hadi ikamilike, naanza na Outline
Kibali ni nini?
Kibali ni cha kazi gani?Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kinatolewa na nani?
Kinatolewa kwa nani?
Anyepewa Kibali Anajua Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu Mwenye Kibali?
Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?
Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au tumuachie mwenyewe?
A Way Foward 2025
1. Somo la Kwanza: Kibali ni nini?
Kibali ni ruhusa ya kufanya japo fulani,ambalo ili ulifanye ni lazima upate kibali au ruhusa kutoka mamlaka husika。Kibali cha kikuu cha kwanza kwa binadamu baada ya kuumbwa ni kibali cha uhai,kibali cha kuishi na kibali cha kuumba binadamu wengine。Baada ya hapo ni kibali cha kufanya kila kinachofanyika。Kibali kwa mwanamke kuwa mama na mwanaume kuwa baba,ni kupevuka,kibali cha kujenga familia ni kuoa,kibali cha kujenga nyumba ni kumiliki ardhi,kibali cha kufanya biashara ni kuwa na leseni,kibali cha kusafiri nje ni kuwa na passport,kibali cha kuingia nchi fulani ni kuwa na visa, hivyo vibali viko vya aina nyingi。
Kibali ninacho kizungumza kwenye uzi huu ni kibali cha kutawala nchi,kuwa mkuu wa nchi。
Somo la Pili
2. Kibali ni cha kazi gani?
Kibali ni cha kutimiza lile jukumu la kibali ulichopewa,kama tulivyoona kwenye somo la kwanza, kuna vibali tofauti vya kufanya mambo tofauti tofaouti, ukipewa kibali cha ndoa,inatimiza majukumu ya ndoa,ukipewa kibali cha kufanya biashara,unafanya biashara kwa mujibu wa leseni yako。
Kuna vibali vingi,hadi vibali vya kuua,licence to kill,hata mtu anayehukumiwa kunyongwa,hukumu hiyo haitekelezwi hadi mkuu wa nchi asaini death warrant ndipo anyongwe
Hivyo hata kibali cha kutawala nchi,unatawala kwa mujibu wa kibali chako
japo kibali cha kutawala nchi kimetolewa kwa mujibu wa katiba,anayepewa kibali hicho anapewa na YEYE na anapaswa sio tuu kufuata katiba,bali pia kutimiza madhumuni ya YEYE alIyempa kibali hicho,alimdhamiria afanye nini,kibali chake ni cha nini na kwanini ni yeye na sio mtu mwingine yeyote?
Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kama nilivyoeleza, kibali kinatolewa kwa madhumuni kusudiwa, au kuna vibali vya kazi maalum, task force, ukiisha ikamilisha kazi, unakuwa rewarded accordingly, kibali kimekamilika na kazi ya kibali hicho inakuwa imekwisha.
Musa kibali chake kilikuwa ni kuwakomboa tuu wana wa Israel kutoka utumwani Misri, alipokamilisha kazi ya kuwaondoa na kuwasafirisha mpaka nchi ya ahadi, kibali chake kikakamika, yeye hakuingia nchi ya ahadi, alitwaliwa, na kibali cha kuwaingiza nchi ya ahadi, kikatolewa kwa mtu mwingine.
Kwa vile kibali, ni kibali cha kazi maalum kwa mtu maalum, ukiwa ni mtu mwenye kibali, usipokitumia kibali hicho kikamilifu, kibali hicho kinafutwa!.
Ufutaji wa vibali au ufutwaji wa vibali, hufanyika kwa namna mbili
1. Ufutwaji wa uwezo wako, kufutwa, mtu alikuwa mfanyabiashara mkubwa maarufu na tajiri, anafilisika hadi kubaki apeche alolo!. Mtu alikuwa msanii mzuri, mwanamuzi mzuri, mchezaji mzuri, ghafla uwezo wake unashuka, anajikuta anatupwa nje ya gemu.
2. Ufutwaji wa kibali wa aina ya pili ni kwa wewe kufutwa kwenye uso wa dunia, kwa kutwaliwa!, kama inavyotokea kwa wengi wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana. Musa, Kanumba, Sembuli, Mbaraka Mwishehe, Shaaban Robert, John F Kennedy, Bruce Lee, JPM na wengine wengi, wameitwa kurejea kwa Muumba wao.
3. Somo la Tatu: Kibali Kinatolewa na Nani?
Kama tulivyoona kwenye somo la kwanza la kibali ni nini, kuna aina nyingi za vibali, somo la pili kibali ni cha nini, tumeona vibali vya kufanya shughuli tofauti tofauti, sasa ni vibali hivi vinatolewa na nani. Vibali vinatolewa na mamlaka husika, kutegemeana na ni kibali cha nini, na cha aina gani, nimesema kuna two types ya vibali, vibali za shughuli za kidunia, vinatolewa na mamlaka za kidunia, na vibali vya mambo makuu, vinatolewa na mamlaka Kuu ambayo ni Mungu, YEYE Mwenyewe, unakuwa umepata kibali machoni mwake.
Vibali vya YEYE mwenyewe, mtu hauombi, anazaliwa nacho, ama unapewa na YEYE mwenyewe kwa madhumuni mahsusi.
Mfano urais wa nchi hupatikana kwa kuomba kuteuliwa, waombaji wanakuwa ni wengi, anayepata ni mmoja, huyo mmoja anayefanikiwa kupata, anakuwa ndie mwenye kibali kutoka kwa YEYE. Mungu anakuwa na madhumini fulani, kwanini amempa kibali huyo aliyempa. kati ya wagombea wote wanaogombea, mwenye kibali anaitwa "the chosen one", mfano mzuri ni uchaguzi wa 2015, watu walimshobokea sana Lowassa, mimi nikiwemo, tofauti na wengi, pia nikawaandaa watu kisaikolojia Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni..., hivyo JPM ndie was the chosen one mwenye kibali cha urais 2015-2020. 4. Somo la Nne: Kibali Kinatolewa kwa Nani?
Kwa vile kibali kinatolewa na YEYE Mungu mwenyewe, kinatolewa kwa aliyemchagua YEYE, au aliyemteua yeye.
Mfano wa Familia.
Mara nyingi kwenye familia zetu, Baba ndio huhesabika ni kichwa cha familia, tangu Mungu alipomuumba Adam, akampa kibali cha kutawala viumbe wote wa dunia hii. ila katika mambo ya tamaa za mwili, mke ndie amepewa kibali!, Eva baada ya kufundishwa na shetani jinsi tunda linavyomegwa, akaonjeshwa kwa kumegewa, kisha Eva na shetani wakamega tunda, wakala, Eva akauona utamu wa tunda, alipewa kibali cha tamaa za mwili, akamfua Adam, akamfundisha jinsi tunda linavyomegwa, japo Adamu mwanzo alikataa, kwa vile Eva ndio amepewa kibali hicho, Eva alimlaziisha Adam kumega tunda, wakamega tunda, wakala na kuishia zao usingizini. Hivyo Mwanamke nae ana kibali cha baadhi ya mambo, na ndio maana baadhi ya makabila haswa ya wafugaji, wanai katilia ile kitu, inayoweza kumpa mwanamke tamaa ya kumegwa tunda!.
Japo baba ndio anapaswa kuwa kichwa cha familia, kuna familia nyingi, mama ndio anakuwa amepewa kibali, hivyo ndie kichwa cha familia.
Familia nyingi pia huwa zinapenda mtoto wa kwanza awe mwanaume ili apewe kibali cha mzaliwa wa kwanza, lakini kuna familia nyingi, mzaliwa wa kwanza ni mtoto wa kike, hivyo anapata kibali cha uzaliwa wa kwanza.
Kwa vile kibali kinatolewa na Mungu mwenyewe, sio lazima mzaliwa wa kwanza, apate kibali, Mungu anaweza kumteua mtoto yoyote na kumpa kibali. Mfano japo mzaliwa wa kwanza wa Nabii Ibrahim ni Ismail, aliyepewa kibali ni mzaliwa wa pili Isaka. Na kwa Yakobo, japo mzaliwa wa kwanza ni Essau, aliyepata kibali ni Yakobo. Yakobo yeye alipata watoto 12, mtoto mwenye kibali ni Yusufu, mzaliwa wa 11. Na Daudi katika familia ya Yese ndie alipewa kibali.
Hivyo kibali kinaweza kutolewa kwa yeyote, anayeamua nani apewe kibali ni YEYE .
Hata kwenye imani zetu za kiasili, watoto wanakuwa na vipawa mbalimbali, anayechaguliwa kuridhi mikoba, anaweza kuwa ni mtoto wa mwisho. Hicho ndio kibali.
5. Somo la Tano: Anyepewa Kibali Anajua Kuwa Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu mwenye Kibali?.
Hii ndio the trickiest part ya vibali. Je mtu mwenye kibali hujijua kuwa ana kibali?.
Kwa vile kibali hutoka kwa Mungu, na humpa amtakae au ampendae, hivyo kwanza ni Mungu mwenyewe ndio hutoa taarifa za baadhi ya vibali. Adam alizungumza na Mungu na kupokea kibali chake direct, Mungu huzungumza kwa njia za ndoto, maono, sauti, au kunena kwa vinywa vya manabii au kutumia malaika wake kuhusu vibali mbalimbali ambavyo kwa kawaida mtu huzaliwa navyo ama hupewa.
Kibali cha Musa, kabla hajazaliwa Farao alitoa amri watoto wote wa kiume wanaozaliwa na Waebrania, hivyo Musa alipozaliwa ni malaika walisimamia atupwe mtoni, mara aokotwe na binti Farao, Binti Farao akakilea kichanga kama mtoto wake!.
Kibali cha kuzaliwa Isaka kililetwa nyumbani kwa Nabii Ibrahim na malaika watatu walio jigeuza wageni.
Kibali cha kuzaliwa Yesu kililetwa na Roho Mtakatifu, kumpachika Bikira Maria ujauzito bila 'tunda' lake kumegwa!. Mumewe Yosefu baada ya kuona mkewe ni mjamzito huku wakiwa bila bila, akapanga kulala mbele, ndipo Mungu akamtokea kwenye ndoto kumtuliza kuwa ni mpango wa Mungu!, ndipo akatulia.
Hivyo hata katika uongozi, tuna viongozi wengi sio viongozi wa wito, vipawa, karama wala uwezo, ni matutusa tuu, hawana vipawa vya uongozi, karama zozote, vipaji vya uongozi na uwezo wa uongozi, lakini wanapata uongozi wa umma kwa kutumia "the universal power".
Kuna watoto wengi wanazaliwa vibali, wazazi wao hawana uwezo wa kuwabaini mapema, hivyo mwisho wa siku vibali vyao vinavutwa!. Kuna watoto wanazaliwa na vipaji fulani, bila wazazi wao kuwabaini na kuwaendeleza, vipaji hivyo vinakufa. Kuna watoto wanazaliwa na uwezo Kiislamu wanaitwa ma Sharufu, usipowabaini, uwezo wao unapotea.
Kwa vile mtoa kibali ni Mungu, yeye Mungu huwaeleza wenye vibali vyao, kuwa wana vibali, na sometimes, huwatumia watu baki kuwaeleza kuhusu vibali fulani, hao wanaotumwa ni manabii, wakisikilizwa, vibali vinatumika, wasiposikilizwa, vibali vinafutwa!.
Namna ya mtu wa kawaida kuwatambua wenye vibali, ni jinsi tuu mambo yao, yavyowanyookea. Kwa chicho la kawaida wanaonekana ni watu wenye bahati, wana ngekewa, wanafanikiwa, kumbe hicho ni kibali.
Watu wote wenye mafanikio yanayotokana na vipaji mbalimbali ni watu wenye vibali. Wafanyabiashara, wanamuzi, na wasanii wenye vipaji vikubwa, wenye vibali wanafanikiwa, na kuna watu huku mitaani, wana vipaji vya ajabu sana, lakini hawana vibali, hivyo hawatusui!.
Somo la Sita: Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
Mwalimu Nyerere
Alikuwa na kibali toka anazaliwa!, kuna mambo ya kuzaliwa kwa Nyerere naomba tuyaache yabaki kama ni siri za familia yake tuu, lakini hivyo ndivyo mambo ya vibali yanavyokuwa. Kibali chake kilianza kuonekana alipokuwa Tabora School Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!
Kibali chake kilikuwa ni kutupatia uhuru, hiki kilikamilika, kufuta ukabila na kutujengea umoja, hili lilikamilika. Mwalimu alipaswa kuongoza taifa hili kwa miaka 10 tuu, 1961-1971, kisha aingie mtawala wa kuleta maendeleo.
Kwa vile kibali chake ilikuwa ni kuleta uhuru na umoja, kibali cha mwalimu kilikwisha, alipoendelea, badala ya kupata mafanikio ndipo yakafuata majanga ya vita, kuanguka kwa uchumi, hivyo ni mwaka 1985 akakubali kuwa alifanya makosa, akawaomba msamaha Watanzania kuwa kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa, Japo Watanzania tulimsamehe, na akastaafu kwa amani, ila kuna issues zake nyingine ambazo public hatuzijui, zilizopolelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri unaendelea, ili mwisho wa siku aje kutangazwa ni mtakatifu, unaendelea.
Ali Hassan Mwinyi Alikuwa na Kibali.
Aliyempokea Mwalimu Nyerere ni Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyezaliwa Mkuranga kwa wazazi wote wawili wa Bara, akaenda Zanzibar akalowea, kibali chake kilithibitika licha ya kujiuzuli kwa kashfa, akiwa waziri wa mambo ya ndani, aliukwaa urais wa Zanzibar huku akiwa sio Mzanzibari wa kuzaliwa, na baadae kuwa rais wa JMT. Hayo ndio mambo ya vibali. Yeye alimaliza vizuri kwa kukitumia vizuri kibali chake, Mungu akampa umri mrefu na heri duniani, amakufa na umri wa zaidi ya miaka 100!.
Benjamin William Mkapa Alikuwa na Kibali.
Mwinyi alifuatiwa na Benjamin William Mkapa, huyu kibali chake kilionekane toka alipozaliwa huko aliko zaliwa , Mama ni Mtanzania na jina la Mkapa ni la kikeni. Zile issues za Mchungaji Mtikila kumhusu Ben, japo wengi wanamuona Mtikila kama alikuwa kama kichaa fulani, ila kiukweli alikuwa na hoja, na hayo ndio mambo ya kibali hicho ndicho kilichomsimamia yote mpaka kuwa rais wa JMT.
Alimaliza salama kwa kukamilisha kibali chake, ila na yeye alikuwa na issues zake binafsi na Mungu wake zilizopelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Nilimtengenezea kipindi View: https://youtu.be/DUOg28gosy8?si=QLzc-SZb6xRbQTcD
Jakaya Mrisho Kikwete Alikuwa na Kibali
JK pia alikuwa na kibali, haijalishi kuhusu sarakasi zote zilizopigwa hadi JK kutinga Ikulu, ikiwemo mtu kuchomolewa, mtandao kuasisiwa, timu ya Boys II Men kuundwa, EPA kutumika, na rise of King Maker, etc, ile mtu tuu kutinga Ikulu, hilo peke ni kibali tosha. Kumhusu JK niliandika humu kuhusu mapungufu yake Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na sifa zake njema Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" Alikitumia kibali chake to the fullest na mpaka sasa anadunda.
7. Somo la Saba: JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kufutwa!.
Rais JPM, pia alikuwa na kibali, ila kibali chake sina uhakika kama kilikuwa ni kibali kifupi cha miaka 5 tuu, hivyo JPM alikitumia kibali chake hadi mwisho, lakini alipoamua kujiongeza kwa kuufuata mtindo wa mserereko wa CCM, kibali hicho kikaondoshwa, au pia kibali chake kilikuwa ni kibali cha miaka 10, lakini hapa katikati akatofautiana kitu na mtoa vibali, mtoa vibali akaamua kukikatisha kibali cha JPM, na kumpa Rais Samia Kibali.
Pia tulitoa angalizo muhimu Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! Alipoamua kundelea na term yake ya pili, ndio mambo yakawa kama vile, sijui ni kibali kilifutwa au!,
Nilisema mtu ukiwa na kibali ni lazima ujitambue kwanza kwa kujua kuwa una kibali, ujue ni kibali kufanya nini, na ni cha muda gani, then kitumikie kibali chako, kwa mujibu wa kibali chako na muda wako ukiisha pisha wengine, maisha yaendelee.
Miongoni mwa vitu vinavyosabisha kufutwa kwa vibali ni ukosefu wa haki kwenye demokrasia yetu na umwagikwaji wa machozi, jasho na damu zisizo na hatia, zinazopekekea kitu kinachoitwa a bad karma hivyo tulipopata fursa ya kukutana nae, tulimkabili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.
Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?.
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
Leo, naendelea na zile mada zangu za kwa maslahi ya taifa。Leo naendesha somo la kitu kinachoitwa “Kibali”
Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada hii naileta kwa vipande vipande hadi ikamilike, naanza na Outline
Kibali ni nini?
Kibali ni cha kazi gani?Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kinatolewa na nani?
Kinatolewa kwa nani?
Anyepewa Kibali Anajua Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu Mwenye Kibali?
Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au tumuachie mwenyewe?
A Way Foward 2025
1. Somo la Kwanza: Kibali ni nini?
Kibali ni ruhusa ya kufanya japo fulani,ambalo ili ulifanye ni lazima upate kibali au ruhusa kutoka mamlaka husika。Kibali cha kikuu cha kwanza kwa binadamu baada ya kuumbwa ni kibali cha uhai,kibali cha kuishi na kibali cha kuumba binadamu wengine。Baada ya hapo ni kibali cha kufanya kila kinachofanyika。Kibali kwa mwanamke kuwa mama na mwanaume kuwa baba,ni kupevuka,kibali cha kujenga familia ni kuoa,kibali cha kujenga nyumba ni kumiliki ardhi,kibali cha kufanya biashara ni kuwa na leseni,kibali cha kusafiri nje ni kuwa na passport,kibali cha kuingia nchi fulani ni kuwa na visa, hivyo vibali viko vya aina nyingi。
Kibali ninacho kizungumza kwenye uzi huu ni kibali cha kutawala nchi,kuwa mkuu wa nchi。
Somo la Pili
2. Kibali ni cha kazi gani?
Kibali ni cha kutimiza lile jukumu la kibali ulichopewa,kama tulivyoona kwenye somo la kwanza, kuna vibali tofauti vya kufanya mambo tofauti tofaouti, ukipewa kibali cha ndoa,inatimiza majukumu ya ndoa,ukipewa kibali cha kufanya biashara,unafanya biashara kwa mujibu wa leseni yako。
Kuna vibali vingi,hadi vibali vya kuua,licence to kill,hata mtu anayehukumiwa kunyongwa,hukumu hiyo haitekelezwi hadi mkuu wa nchi asaini death warrant ndipo anyongwe
Hivyo hata kibali cha kutawala nchi,unatawala kwa mujibu wa kibali chako
japo kibali cha kutawala nchi kimetolewa kwa mujibu wa katiba,anayepewa kibali hicho anapewa na YEYE na anapaswa sio tuu kufuata katiba,bali pia kutimiza madhumuni ya YEYE alIyempa kibali hicho,alimdhamiria afanye nini,kibali chake ni cha nini na kwanini ni yeye na sio mtu mwingine yeyote?
Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kama nilivyoeleza, kibali kinatolewa kwa madhumuni kusudiwa, au kuna vibali vya kazi maalum, task force, ukiisha ikamilisha kazi, unakuwa rewarded accordingly, kibali kimekamilika na kazi ya kibali hicho inakuwa imekwisha.
Musa kibali chake kilikuwa ni kuwakomboa tuu wana wa Israel kutoka utumwani Misri, alipokamilisha kazi ya kuwaondoa na kuwasafirisha mpaka nchi ya ahadi, kibali chake kikakamika, yeye hakuingia nchi ya ahadi, alitwaliwa, na kibali cha kuwaingiza nchi ya ahadi, kikatolewa kwa mtu mwingine.
Kwa vile kibali, ni kibali cha kazi maalum kwa mtu maalum, ukiwa ni mtu mwenye kibali, usipokitumia kibali hicho kikamilifu, kibali hicho kinafutwa!.
Ufutaji wa vibali au ufutwaji wa vibali, hufanyika kwa namna mbili
1. Ufutwaji wa uwezo wako, kufutwa, mtu alikuwa mfanyabiashara mkubwa maarufu na tajiri, anafilisika hadi kubaki apeche alolo!. Mtu alikuwa msanii mzuri, mwanamuzi mzuri, mchezaji mzuri, ghafla uwezo wake unashuka, anajikuta anatupwa nje ya gemu.
2. Ufutwaji wa kibali wa aina ya pili ni kwa wewe kufutwa kwenye uso wa dunia, kwa kutwaliwa!, kama inavyotokea kwa wengi wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana. Musa, Kanumba, Sembuli, Mbaraka Mwishehe, Shaaban Robert, John F Kennedy, Bruce Lee, JPM na wengine wengi, wameitwa kurejea kwa Muumba wao.
3. Somo la Tatu: Kibali Kinatolewa na Nani?
Kama tulivyoona kwenye somo la kwanza la kibali ni nini, kuna aina nyingi za vibali, somo la pili kibali ni cha nini, tumeona vibali vya kufanya shughuli tofauti tofauti, sasa ni vibali hivi vinatolewa na nani. Vibali vinatolewa na mamlaka husika, kutegemeana na ni kibali cha nini, na cha aina gani, nimesema kuna two types ya vibali, vibali za shughuli za kidunia, vinatolewa na mamlaka za kidunia, na vibali vya mambo makuu, vinatolewa na mamlaka Kuu ambayo ni Mungu, YEYE Mwenyewe, unakuwa umepata kibali machoni mwake.
Vibali vya YEYE mwenyewe, mtu hauombi, anazaliwa nacho, ama unapewa na YEYE mwenyewe kwa madhumuni mahsusi.
Mfano urais wa nchi hupatikana kwa kuomba kuteuliwa, waombaji wanakuwa ni wengi, anayepata ni mmoja, huyo mmoja anayefanikiwa kupata, anakuwa ndie mwenye kibali kutoka kwa YEYE. Mungu anakuwa na madhumini fulani, kwanini amempa kibali huyo aliyempa. kati ya wagombea wote wanaogombea, mwenye kibali anaitwa "the chosen one", mfano mzuri ni uchaguzi wa 2015, watu walimshobokea sana Lowassa, mimi nikiwemo, tofauti na wengi, pia nikawaandaa watu kisaikolojia Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni..., hivyo JPM ndie was the chosen one mwenye kibali cha urais 2015-2020. 4. Somo la Nne: Kibali Kinatolewa kwa Nani?
Kwa vile kibali kinatolewa na YEYE Mungu mwenyewe, kinatolewa kwa aliyemchagua YEYE, au aliyemteua yeye.
Mfano wa Familia.
Mara nyingi kwenye familia zetu, Baba ndio huhesabika ni kichwa cha familia, tangu Mungu alipomuumba Adam, akampa kibali cha kutawala viumbe wote wa dunia hii. ila katika mambo ya tamaa za mwili, mke ndie amepewa kibali!, Eva baada ya kufundishwa na shetani jinsi tunda linavyomegwa, akaonjeshwa kwa kumegewa, kisha Eva na shetani wakamega tunda, wakala, Eva akauona utamu wa tunda, alipewa kibali cha tamaa za mwili, akamfua Adam, akamfundisha jinsi tunda linavyomegwa, japo Adamu mwanzo alikataa, kwa vile Eva ndio amepewa kibali hicho, Eva alimlaziisha Adam kumega tunda, wakamega tunda, wakala na kuishia zao usingizini. Hivyo Mwanamke nae ana kibali cha baadhi ya mambo, na ndio maana baadhi ya makabila haswa ya wafugaji, wanai katilia ile kitu, inayoweza kumpa mwanamke tamaa ya kumegwa tunda!.
Japo baba ndio anapaswa kuwa kichwa cha familia, kuna familia nyingi, mama ndio anakuwa amepewa kibali, hivyo ndie kichwa cha familia.
Familia nyingi pia huwa zinapenda mtoto wa kwanza awe mwanaume ili apewe kibali cha mzaliwa wa kwanza, lakini kuna familia nyingi, mzaliwa wa kwanza ni mtoto wa kike, hivyo anapata kibali cha uzaliwa wa kwanza.
Kwa vile kibali kinatolewa na Mungu mwenyewe, sio lazima mzaliwa wa kwanza, apate kibali, Mungu anaweza kumteua mtoto yoyote na kumpa kibali. Mfano japo mzaliwa wa kwanza wa Nabii Ibrahim ni Ismail, aliyepewa kibali ni mzaliwa wa pili Isaka. Na kwa Yakobo, japo mzaliwa wa kwanza ni Essau, aliyepata kibali ni Yakobo. Yakobo yeye alipata watoto 12, mtoto mwenye kibali ni Yusufu, mzaliwa wa 11. Na Daudi katika familia ya Yese ndie alipewa kibali.
Hivyo kibali kinaweza kutolewa kwa yeyote, anayeamua nani apewe kibali ni YEYE .
Hata kwenye imani zetu za kiasili, watoto wanakuwa na vipawa mbalimbali, anayechaguliwa kuridhi mikoba, anaweza kuwa ni mtoto wa mwisho. Hicho ndio kibali.
5. Somo la Tano: Anyepewa Kibali Anajua Kuwa Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu mwenye Kibali?.
Hii ndio the trickiest part ya vibali. Je mtu mwenye kibali hujijua kuwa ana kibali?.
Kwa vile kibali hutoka kwa Mungu, na humpa amtakae au ampendae, hivyo kwanza ni Mungu mwenyewe ndio hutoa taarifa za baadhi ya vibali. Adam alizungumza na Mungu na kupokea kibali chake direct, Mungu huzungumza kwa njia za ndoto, maono, sauti, au kunena kwa vinywa vya manabii au kutumia malaika wake kuhusu vibali mbalimbali ambavyo kwa kawaida mtu huzaliwa navyo ama hupewa.
Kibali cha Musa, kabla hajazaliwa Farao alitoa amri watoto wote wa kiume wanaozaliwa na Waebrania, hivyo Musa alipozaliwa ni malaika walisimamia atupwe mtoni, mara aokotwe na binti Farao, Binti Farao akakilea kichanga kama mtoto wake!.
Kibali cha kuzaliwa Isaka kililetwa nyumbani kwa Nabii Ibrahim na malaika watatu walio jigeuza wageni.
Kibali cha kuzaliwa Yesu kililetwa na Roho Mtakatifu, kumpachika Bikira Maria ujauzito bila 'tunda' lake kumegwa!. Mumewe Yosefu baada ya kuona mkewe ni mjamzito huku wakiwa bila bila, akapanga kulala mbele, ndipo Mungu akamtokea kwenye ndoto kumtuliza kuwa ni mpango wa Mungu!, ndipo akatulia.
Hivyo hata katika uongozi, tuna viongozi wengi sio viongozi wa wito, vipawa, karama wala uwezo, ni matutusa tuu, hawana vipawa vya uongozi, karama zozote, vipaji vya uongozi na uwezo wa uongozi, lakini wanapata uongozi wa umma kwa kutumia "the universal power".
Kuna watoto wengi wanazaliwa vibali, wazazi wao hawana uwezo wa kuwabaini mapema, hivyo mwisho wa siku vibali vyao vinavutwa!. Kuna watoto wanazaliwa na vipaji fulani, bila wazazi wao kuwabaini na kuwaendeleza, vipaji hivyo vinakufa. Kuna watoto wanazaliwa na uwezo Kiislamu wanaitwa ma Sharufu, usipowabaini, uwezo wao unapotea.
Kwa vile mtoa kibali ni Mungu, yeye Mungu huwaeleza wenye vibali vyao, kuwa wana vibali, na sometimes, huwatumia watu baki kuwaeleza kuhusu vibali fulani, hao wanaotumwa ni manabii, wakisikilizwa, vibali vinatumika, wasiposikilizwa, vibali vinafutwa!.
Namna ya mtu wa kawaida kuwatambua wenye vibali, ni jinsi tuu mambo yao, yavyowanyookea. Kwa chicho la kawaida wanaonekana ni watu wenye bahati, wana ngekewa, wanafanikiwa, kumbe hicho ni kibali.
Watu wote wenye mafanikio yanayotokana na vipaji mbalimbali ni watu wenye vibali. Wafanyabiashara, wanamuzi, na wasanii wenye vipaji vikubwa, wenye vibali wanafanikiwa, na kuna watu huku mitaani, wana vipaji vya ajabu sana, lakini hawana vibali, hivyo hawatusui!.
Somo la Sita: Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
Mwalimu Nyerere
Alikuwa na kibali toka anazaliwa!, kuna mambo ya kuzaliwa kwa Nyerere naomba tuyaache yabaki kama ni siri za familia yake tuu, lakini hivyo ndivyo mambo ya vibali yanavyokuwa. Kibali chake kilianza kuonekana alipokuwa Tabora School Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!
Kibali chake kilikuwa ni kutupatia uhuru, hiki kilikamilika, kufuta ukabila na kutujengea umoja, hili lilikamilika. Mwalimu alipaswa kuongoza taifa hili kwa miaka 10 tuu, 1961-1971, kisha aingie mtawala wa kuleta maendeleo.
Kwa vile kibali chake ilikuwa ni kuleta uhuru na umoja, kibali cha mwalimu kilikwisha, alipoendelea, badala ya kupata mafanikio ndipo yakafuata majanga ya vita, kuanguka kwa uchumi, hivyo ni mwaka 1985 akakubali kuwa alifanya makosa, akawaomba msamaha Watanzania kuwa kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa, Japo Watanzania tulimsamehe, na akastaafu kwa amani, ila kuna issues zake nyingine ambazo public hatuzijui, zilizopolelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri unaendelea, ili mwisho wa siku aje kutangazwa ni mtakatifu, unaendelea.
Ali Hassan Mwinyi Alikuwa na Kibali.
Aliyempokea Mwalimu Nyerere ni Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyezaliwa Mkuranga kwa wazazi wote wawili wa Bara, akaenda Zanzibar akalowea, kibali chake kilithibitika licha ya kujiuzuli kwa kashfa, akiwa waziri wa mambo ya ndani, aliukwaa urais wa Zanzibar huku akiwa sio Mzanzibari wa kuzaliwa, na baadae kuwa rais wa JMT. Hayo ndio mambo ya vibali. Yeye alimaliza vizuri kwa kukitumia vizuri kibali chake, Mungu akampa umri mrefu na heri duniani, amakufa na umri wa zaidi ya miaka 100!.
Benjamin William Mkapa Alikuwa na Kibali.
Mwinyi alifuatiwa na Benjamin William Mkapa, huyu kibali chake kilionekane toka alipozaliwa huko aliko zaliwa , Mama ni Mtanzania na jina la Mkapa ni la kikeni. Zile issues za Mchungaji Mtikila kumhusu Ben, japo wengi wanamuona Mtikila kama alikuwa kama kichaa fulani, ila kiukweli alikuwa na hoja, na hayo ndio mambo ya kibali hicho ndicho kilichomsimamia yote mpaka kuwa rais wa JMT.
Alimaliza salama kwa kukamilisha kibali chake, ila na yeye alikuwa na issues zake binafsi na Mungu wake zilizopelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Nilimtengenezea kipindi View: https://youtu.be/DUOg28gosy8?si=QLzc-SZb6xRbQTcD
Jakaya Mrisho Kikwete Alikuwa na Kibali
JK pia alikuwa na kibali, haijalishi kuhusu sarakasi zote zilizopigwa hadi JK kutinga Ikulu, ikiwemo mtu kuchomolewa, mtandao kuasisiwa, timu ya Boys II Men kuundwa, EPA kutumika, na rise of King Maker, etc, ile mtu tuu kutinga Ikulu, hilo peke ni kibali tosha. Kumhusu JK niliandika humu kuhusu mapungufu yake Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na sifa zake njema Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" Alikitumia kibali chake to the fullest na mpaka sasa anadunda.
7. Somo la Saba: JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Rais JPM, pia alikuwa na kibali, ila kibali chake sina uhakika kama kilikuwa ni kibali kifupi cha miaka 5 tuu, hivyo JPM alikitumia kibali chake hadi mwisho, lakini alipoamua kujiongeza kwa kuufuata mtindo wa mserereko wa CCM, kibali hicho kikaondoshwa, au pia kibali chake kilikuwa ni kibali cha miaka 10, lakini hapa katikati akatofautiana kitu na mtoa vibali, mtoa vibali akaamua kukikatisha kibali cha JPM, na kumpa Rais Samia Kibali.
Pia tulitoa angalizo muhimu Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! Alipoamua kundelea na term yake ya pili, ndio mambo yakawa kama vile, sijui ni kibali kilifutwa au!,
Nilisema mtu ukiwa na kibali ni lazima ujitambue kwanza kwa kujua kuwa una kibali, ujue ni kibali kufanya nini, na ni cha muda gani, then kitumikie kibali chako, kwa mujibu wa kibali chako na muda wako ukiisha pisha wengine, maisha yaendelee.
Miongoni mwa vitu vinavyosabisha kufutwa kwa vibali ni ukosefu wa haki kwenye demokrasia yetu na umwagikwaji wa machozi, jasho na damu zisizo na hatia, zinazopekekea kitu kinachoitwa a bad karma hivyo tulipopata fursa ya kukutana nae, tulimkabili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Naombeni tumwacheni huyu baba apumzike. 8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
Sio hapa tu huwa najaribu kumwagalia hata kwenye vile vipindi vyake vya saba saba kama si nane nane, naona kabisa mzee wetu anahitaji kupumzika atume tu vijana yeye abakie kwenye menejimenti.
8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
Hapa umekosea sana kumwita SSH eti ni "KIBALI"; are you serious about writing this out of your independent thinking?
The president of the USA JF Kennedy once said "....Trust, but Verify" Do you clearly understand what he meant? This is your new assignment to come up with deductive reasoning.
"..Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali......" P
Hapa Kuna namna Paschal ameficha kwa kumhusisha Sir God ila kiundani yupo /wapo watoa kibali na kwa maelezo ya Paschal ukisoma kiundani , Bi Mkubwa Hana Kibali hadi Sasa
Somo la Tisa: A Way Foward- Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au Tumuachie Mwenyewe na Kibali Chake?
Japo kibali, kinatolewa na Mungu mwenyewe, na kila anayepewa kibali, pia anapewa uwezo wa kutekeleza mahitaji ya kibali chake, lakini binadamu ni kiumbe dhaifu, hakuna mkamilifu hivyo kunaweza kutokea makosa ya hapa na pale, na hakuna mtu anayeweza kufanya kila kitu yeye mwenyewe, ni lazima asaidiwe, ndio maana japo Rais wetu ana kibali lakini ana wasaidizi wa kumsaidia kwenye kila eneo, na bado kunatokea makosa ya hapa na pale Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Hivyo pamoja na uwepo wa wasaidizi wa kutosha ambao ni manguli, wazoefu, wabobezi na wabebovu, lakini bado makosa yanafanyika. Na kuna watu huku mtaani, sio wabobezi, sio wabebovu lakini wana uwezo wa kusaidia. ndipo nikauliza, unapoona Rais Samia na serikali yake, imeshindwa jambo fulani na wewe umeona unaweza kusaidia, jee tumsaidie au kwa vile yeye ndie mwenye kibali, then tumuachie mwenyewe na kibali chake? WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Hapa Kuna namna Paschal ameficha kwa kumhusisha Sir God ila kiundani yupo /wapo watoa kibali na kwa maelezo ya Paschal ukisoma kiundani , Bi Mkubwa Hana Kibali hadi Sasa
Nadhani watu wengi wangekuwa waumini wa Less is More ingewasaidia sana Wasomaji kuweza kuchambua Mengi kwa siku hususan in this day and age ambapo mambo ni mengi na muda ni mchache...
"Entities must not be multiplied beyond necessity", Hii mada yako huenda ina ujumbe murua sasa kama ungeweza kuuweka katika paragraph moja au mbili kwanini utumie kumi.... Kumbuka kizazi hiki cha Tik Tok kinahitaji mambo in summary...
Leo, naendelea na zile mada zangu za kwa maslahi ya taifa。Leo naendesha somo la kitu kinachoitwa “Kibali”
Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada hii naileta kwa vipande vipande hadi ikamilike, naanza na Outline
Kibali ni nini?
Kibali ni cha kazi gani?Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kinatolewa na nani?
Kinatolewa kwa nani?
Anyepewa Kibali Anajua Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu Mwenye Kibali?
Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
A way Foward: Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au tumuachie mwenyewe?
1. Somo la Kwanza: Kibali ni nini?
Kibali ni ruhusa ya kufanya japo fulani,ambalo ili ulifanye ni lazima upate kibali au ruhusa kutoka mamlaka husika。Kibali cha kikuu cha kwanza kwa binadamu baada ya kuumbwa ni kibali cha uhai,kibali cha kuishi na kibali cha kuumba binadamu wengine。Baada ya hapo ni kibali cha kufanya kila kinachofanyika。Kibali kwa mwanamke kuwa mama na mwanaume kuwa baba,ni kupevuka,kibali cha kujenga familia ni kuoa,kibali cha kujenga nyumba ni kumiliki ardhi,kibali cha kufanya biashara ni kuwa na leseni,kibali cha kusafiri nje ni kuwa na passport,kibali cha kuingia nchi fulani ni kuwa na visa, hivyo vibali viko vya aina nyingi。
Kibali ninacho kizungumza kwenye uzi huu ni kibali cha kutawala nchi,kuwa mkuu wa nchi。
Somo la Pili
2. Kibali ni cha kazi gani?
Kibali ni cha kutimiza lile jukumu la kibali ulichopewa,kama tulivyoona kwenye somo la kwanza, kuna vibali tofauti vya kufanya mambo tofauti tofaouti, ukipewa kibali cha ndoa,inatimiza majukumu ya ndoa,ukipewa kibali cha kufanya biashara,unafanya biashara kwa mujibu wa leseni yako。
Kuna vibali vingi,hadi vibali vya kuua,licence to kill,hata mtu anayehukumiwa kunyongwa,hukumu hiyo haitekelezwi hadi mkuu wa nchi asaini death warrant ndipo anyongwe
Hivyo hata kibali cha kutawala nchi,unatawala kwa mujibu wa kibali chako
japo kibali cha kutawala nchi kimetolewa kwa mujibu wa katiba,anayepewa kibali hicho anapewa na YEYE na anapaswa sio tuu kufuata katiba,bali pia kutimiza madhumuni ya YEYE alIyempa kibali hicho,alimdhamiria afanye nini,kibali chake ni cha nini na kwanini ni yeye na sio mtu mwingine yeyote?
Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kama nilivyoeleza, kibali kinatolewa kwa madhumuni kusudiwa, au kuna vibali vya kazi maalum, task force, ukiisha ikamilisha kazi, unakuwa rewarded accordingly, kibali kimekamilika na kazi ya kibali hicho inakuwa imekwisha.
Musa kibali chake kilikuwa ni kuwakomboa tuu wana wa Israel kutoka utumwani Misri, alipokamilisha kazi ya kuwaondoa na kuwasafirisha mpaka nchi ya ahadi, kibali chake kikakamika, yeye hakuingia nchi ya ahadi, alitwaliwa, na kibali cha kuwaingiza nchi ya ahadi, kikatolewa kwa mtu mwingine.
Kwa vile kibali, ni kibali cha kazi maalum kwa mtu maalum, ukiwa ni mtu mwenye kibali, usipokitumia kibali hicho kikamilifu, kibali hicho kinafutwa!.
Ufutaji wa vibali au ufutwaji wa vibali, hufanyika kwa namna mbili
1. Ufutwaji wa uwezo wako, kufutwa, mtu alikuwa mfanyabiashara mkubwa maarufu na tajiri, anafilisika hadi kubaki apeche alolo!. Mtu alikuwa msanii mzuri, mwanamuzi mzuri, mchezaji mzuri, ghafla uwezo wake unashuka, anajikuta anatupwa nje ya gemu.
2. Ufutwaji wa kibali wa aina ya pili ni kwa wewe kufutwa kwenye uso wa dunia, kwa kutwaliwa!, kama inavyotokea kwa wengi wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana. Musa, Kanumba, Sembuli, Mbaraka Mwishehe, Shaaban Robert, John F Kennedy, Bruce Lee, JPM na wengine wengi, wameitwa kurejea kwa Muumba wao.
3. Somo la Tatu: Kibali Kinatolewa na Nani?
Kama tulivyoona kwenye somo la kwanza la kibali ni nini, kuna aina nyingi za vibali, somo la pili kibali ni cha nini, tumeona vibali vya kufanya shughuli tofauti tofauti, sasa ni vibali hivi vinatolewa na nani. Vibali vinatolewa na mamlaka husika, kutegemeana na ni kibali cha nini, na cha aina gani, nimesema kuna two types ya vibali, vibali za shughuli za kidunia, vinatolewa na mamlaka za kidunia, na vibali vya mambo makuu, vinatolewa na mamlaka Kuu ambayo ni Mungu, YEYE Mwenyewe, unakuwa umepata kibali machoni mwake.
Vibali vya YEYE mwenyewe, mtu hauombi, anazaliwa nacho, ama unapewa na YEYE mwenyewe kwa madhumuni mahsusi.
Mfano urais wa nchi hupatikana kwa kuomba kuteuliwa, waombaji wanakuwa ni wengi, anayepata ni mmoja, huyo mmoja anayefanikiwa kupata, anakuwa ndie mwenye kibali kutoka kwa YEYE. Mungu anakuwa na madhumini fulani, kwanini amempa kibali huyo aliyempa. kati ya wagombea wote wanaogombea, mwenye kibali anaitwa "the chosen one", mfano mzuri ni uchaguzi wa 2015, watu walimshobokea sana Lowassa, mimi nikiwemo, tofauti na wengi, pia nikawaandaa watu kisaikolojia Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni..., hivyo JPM ndie was the chosen one mwenye kibali cha urais 2015-2020. 4. Somo la Nne: Kibali Kinatolewa kwa Nani?
Kwa vile kibali kinatolewa na YEYE Mungu mwenyewe, kinatolewa kwa aliyemchagua YEYE, au aliyemteua yeye.
Mfano wa Familia.
Mara nyingi kwenye familia zetu, Baba ndio huhesabika ni kichwa cha familia, tangu Mungu alipomuumba Adam, akampa kibali cha kutawala viumbe wote wa dunia hii. ila katika mambo ya tamaa za mwili, mke ndie amepewa kibali!, Eva baada ya kufundishwa na shetani jinsi tunda linavyomegwa, akaonjeshwa kwa kumegewa, kisha Eva na shetani wakamega tunda, wakala, Eva akauona utamu wa tunda, alipewa kibali cha tamaa za mwili, akamfua Adam, akamfundisha jinsi tunda linavyomegwa, japo Adamu mwanzo alikataa, kwa vile Eva ndio amepewa kibali hicho, Eva alimlaziisha Adam kumega tunda, wakamega tunda, wakala na kuishia zao usingizini. Hivyo Mwanamke nae ana kibali cha baadhi ya mambo, na ndio maana baadhi ya makabila haswa ya wafugaji, wanai katilia ile kitu, inayoweza kumpa mwanamke tamaa ya kumegwa tunda!.
Japo baba ndio anapaswa kuwa kichwa cha familia, kuna familia nyingi, mama ndio anakuwa amepewa kibali, hivyo ndie kichwa cha familia.
Familia nyingi pia huwa zinapenda mtoto wa kwanza awe mwanaume ili apewe kibali cha mzaliwa wa kwanza, lakini kuna familia nyingi, mzaliwa wa kwanza ni mtoto wa kike, hivyo anapata kibali cha uzaliwa wa kwanza.
Kwa vile kibali kinatolewa na Mungu mwenyewe, sio lazima mzaliwa wa kwanza, apate kibali, Mungu anaweza kumteua mtoto yoyote na kumpa kibali. Mfano japo mzaliwa wa kwanza wa Nabii Ibrahim ni Ismail, aliyepewa kibali ni mzaliwa wa pili Isaka. Na kwa Yakobo, japo mzaliwa wa kwanza ni Essau, aliyepata kibali ni Yakobo. Yakobo yeye alipata watoto 12, mtoto mwenye kibali ni Yusufu, mzaliwa wa 11. Na Daudi katika familia ya Yese ndie alipewa kibali.
Hivyo kibali kinaweza kutolewa kwa yeyote, anayeamua nani apewe kibali ni YEYE .
Hata kwenye imani zetu za kiasili, watoto wanakuwa na vipawa mbalimbali, anayechaguliwa kuridhi mikoba, anaweza kuwa ni mtoto wa mwisho. Hicho ndio kibali.
5. Somo la Tano: Anyepewa Kibali Anajua Kuwa Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu mwenye Kibali?.
Hii ndio the trickiest part ya vibali. Je mtu mwenye kibali hujijua kuwa ana kibali?.
Kwa vile kibali hutoka kwa Mungu, na humpa amtakae au ampendae, hivyo kwanza ni Mungu mwenyewe ndio hutoa taarifa za baadhi ya vibali. Adam alizungumza na Mungu na kupokea kibali chake direct, Mungu huzungumza kwa njia za ndoto, maono, sauti, au kunena kwa vinywa vya manabii au kutumia malaika wake kuhusu vibali mbalimbali ambavyo kwa kawaida mtu huzaliwa navyo ama hupewa.
Kibali cha Musa, kabla hajazaliwa Farao alitoa amri watoto wote wa kiume wanaozaliwa na Waebrania, hivyo Musa alipozaliwa ni malaika walisimamia atupwe mtoni, mara aokotwe na binti Farao, Binti Farao akakilea kichanga kama mtoto wake!.
Kibali cha kuzaliwa Isaka kililetwa nyumbani kwa Nabii Ibrahim na malaika watatu walio jigeuza wageni.
Kibali cha kuzaliwa Yesu kililetwa na Roho Mtakatifu, kumpachika Bikira Maria ujauzito bila 'tunda' lake kumegwa!. Mumewe Yosefu baada ya kuona mkewe ni mjamzito huku wakiwa bila bila, akapanga kulala mbele, ndipo Mungu akamtokea kwenye ndoto kumtuliza kuwa ni mpango wa Mungu!, ndipo akatulia.
Hivyo hata katika uongozi, tuna viongozi wengi sio viongozi wa wito, vipawa, karama wala uwezo, ni matutusa tuu, hawana vipawa vya uongozi, karama zozote, vipaji vya uongozi na uwezo wa uongozi, lakini wanapata uongozi wa umma kwa kutumia "the universal power".
Kuna watoto wengi wanazaliwa vibali, wazazi wao hawana uwezo wa kuwabaini mapema, hivyo mwisho wa siku vibali vyao vinavutwa!. Kuna watoto wanazaliwa na vipaji fulani, bila wazazi wao kuwabaini na kuwaendeleza, vipaji hivyo vinakufa. Kuna watoto wanazaliwa na uwezo Kiislamu wanaitwa ma Sharufu, usipowabaini, uwezo wao unapotea.
Kwa vile mtoa kibali ni Mungu, yeye Mungu huwaeleza wenye vibali vyao, kuwa wana vibali, na sometimes, huwatumia watu baki kuwaeleza kuhusu vibali fulani, hao wanaotumwa ni manabii, wakisikilizwa, vibali vinatumika, wasiposikilizwa, vibali vinafutwa!.
Namna ya mtu wa kawaida kuwatambua wenye vibali, ni jinsi tuu mambo yao, yavyowanyookea. Kwa chicho la kawaida wanaonekana ni watu wenye bahati, wana ngekewa, wanafanikiwa, kumbe hicho ni kibali.
Watu wote wenye mafanikio yanayotokana na vipaji mbalimbali ni watu wenye vibali. Wafanyabiashara, wanamuzi, na wasanii wenye vipaji vikubwa, wenye vibali wanafanikiwa, na kuna watu huku mitaani, wana vipaji vya ajabu sana, lakini hawana vibali, hivyo hawatusui!.
Somo la Sita: Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
Mwalimu Nyerere
Alikuwa na kibali toka anazaliwa!, kuna mambo ya kuzaliwa kwa Nyerere naomba tuyaache yabaki kama ni siri za familia yake tuu, lakini hivyo ndivyo mambo ya vibali yanavyokuwa. Kibali chake kilianza kuonekana alipokuwa Tabora School Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!
Kibali chake kilikuwa ni kutupatia uhuru, hiki kilikamilika, kufuta ukabila na kutujengea umoja, hili lilikamilika. Mwalimu alipaswa kuongoza taifa hili kwa miaka 10 tuu, 1961-1971, kisha aingie mtawala wa kuleta maendeleo.
Kwa vile kibali chake ilikuwa ni kuleta uhuru na umoja, kibali cha mwalimu kilikwisha, alipoendelea, badala ya kupata mafanikio ndipo yakafuata majanga ya vita, kuanguka kwa uchumi, hivyo ni mwaka 1985 akakubali kuwa alifanya makosa, akawaomba msamaha Watanzania kuwa kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa, Japo Watanzania tulimsamehe, na akastaafu kwa amani, ila kuna issues zake nyingine ambazo public hatuzijui, zilizopolelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri unaendelea, ili mwisho wa siku aje kutangazwa ni mtakatifu, unaendelea.
Ali Hassan Mwinyi Alikuwa na Kibali.
Aliyempokea Mwalimu Nyerere ni Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyezaliwa Mkuranga kwa wazazi wote wawili wa Bara, akaenda Zanzibar akalowea, kibali chake kilithibitika licha ya kujiuzuli kwa kashfa, akiwa waziri wa mambo ya ndani, aliukwaa urais wa Zanzibar huku akiwa sio Mzanzibari wa kuzaliwa, na baadae kuwa rais wa JMT. Hayo ndio mambo ya vibali. Yeye alimaliza vizuri kwa kukitumia vizuri kibali chake, Mungu akampa umri mrefu na heri duniani, amakufa na umri wa zaidi ya miaka 100!.
Benjamin William Mkapa Alikuwa na Kibali.
Mwinyi alifuatiwa na Benjamin William Mkapa, huyu kibali chake kilionekane toka alipozaliwa huko aliko zaliwa , Mama ni Mtanzania na jina la Mkapa ni la kikeni. Zile issues za Mchungaji Mtikila kumhusu Ben, japo wengi wanamuona Mtikila kama alikuwa kama kichaa fulani, ila kiukweli alikuwa na hoja, na hayo ndio mambo ya kibali hicho ndicho kilichomsimamia yote mpaka kuwa rais wa JMT.
Alimaliza salama kwa kukamilisha kibali chake, ila na yeye alikuwa na issues zake binafsi na Mungu wake zilizopelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Nilimtengenezea kipindi View: https://youtu.be/DUOg28gosy8?si=QLzc-SZb6xRbQTcD
Jakaya Mrisho Kikwete Alikuwa na Kibali
JK pia alikuwa na kibali, haijalishi kuhusu sarakasi zote zilizopigwa hadi JK kutinga Ikulu, ikiwemo mtu kuchomolewa, mtandao kuasisiwa, timu ya Boys II Men kuundwa, EPA kutumika, na rise of King Maker, etc, ile mtu tuu kutinga Ikulu, hilo peke ni kibali tosha. Kumhusu JK niliandika humu kuhusu mapungufu yake Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na sifa zake njema Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" Alikitumia kibali chake to the fullest na mpaka sasa anadunda.
7. Somo la Saba: JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Rais JPM, pia alikuwa na kibali, ila kibali chake sina uhakika kama kilikuwa ni kibali kifupi cha miaka 5 tuu, hivyo JPM alikitumia kibali chake hadi mwisho, lakini alipoamua kujiongeza kwa kuufuata mtindo wa mserereko wa CCM, kibali hicho kikaondoshwa, au pia kibali chake kilikuwa ni kibali cha miaka 10, lakini hapa katikati akatofautiana kitu na mtoa vibali, mtoa vibali akaamua kukikatisha kibali cha JPM, na kumpa Rais Samia Kibali.
Pia tulitoa angalizo muhimu Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! Alipoamua kundelea na term yake ya pili, ndio mambo yakawa kama vile, sijui ni kibali kilifutwa au!,
Nilisema mtu ukiwa na kibali ni lazima ujitambue kwanza kwa kujua kuwa una kibali, ujue ni kibali kufanya nini, na ni cha muda gani, then kitumikie kibali chako, kwa mujibu wa kibali chako na muda wako ukiisha pisha wengine, maisha yaendelee.
Miongoni mwa vitu vinavyosabisha kufutwa kwa vibali ni ukosefu wa haki kwenye demokrasia yetu na umwagikwaji wa machozi, jasho na damu zisizo na hatia, zinazopekekea kitu kinachoitwa a bad karma hivyo tulipopata fursa ya kukutana nae, tulimkabili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Naombeni tumwacheni huyu baba apumzike. 8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
Sasa sijui kama kwa vile ni mimi ndie niliulizia kuhusu kibali cha Rais Samia 2025-2030, then ni mimi niliambiwa kitu kuu HII issue ya 2025. Somo la Tisa: A Way Foward- Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au Tumuachie Mwenyewe na Kibali Chake?
Japo kibali, kinatolewa na Mungu mwenyewe, na kila anayepewa kibali, pia anapewa uwezo wa kutekeleza mahitaji ya kibali chake, lakini binadamu ni kiumbe dhaifu, hakuna mkamilifu hivyo kunaweza kutokea makosa ya hapa na pale, na hakuna mtu anayeweza kufanya kila kitu yeye mwenyewe, ni lazima asaidiwe, ndio maana japo Rais wetu ana kibali lakini ana wasaidizi wa kumsaidia kwenye kila eneo, na bado kunatokea makosa ya hapa na pale Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Hivyo pamoja na uwepo wa wasaidizi wa kutosha ambao ni manguli, wazoefu, wabobezi na wabebovu, lakini bado makosa yanafanyika. Na kuna watu huku mtaani, sio wabobezi, sio wabebovu lakini wana uwezo wa kusaidia. ndipo nikauliza, unapoona Rais Samia na serikali yake, imeshindwa jambo fulani na wewe umeona unaweza kusaidia, jee tumsaidie au kwa vile yeye ndie mwenye kibali, then tumuachie mwenyewe na kibali chake? WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kuuelewa urais na changamoto zake pamoja na mema wanayoyatenda pia ni kwa kibali cha Mungu.
Kuelewa kwamba mwanasiasa anaweza kuteswa na wakati mwingine akauliwa vichakani ili tu awamu iliyopo wakati huo iweze kuchafuliwa pia inahitajika kibali maalum.
Mara nyingi wengi wetu tunakuja kuujua ukweli baada ya mwenye kupewa kibali kuwa keshaondoka ikulu na imeingia awamu nyingine yenye mtazamo tofauti na ule wa awali.
Leo, naendelea na zile mada zangu za kwa maslahi ya taifa。Leo naendesha somo la kitu kinachoitwa “Kibali”
Kufuatia Watanzania waliowengi hawapendi kusoma vitu virefu,mada hii naileta kwa vipande vipande hadi ikamilike, naanza na Outline
Kibali ni nini?
Kibali ni cha kazi gani?Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kinatolewa na nani?
Kinatolewa kwa nani?
Anyepewa Kibali Anajua Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu Mwenye Kibali?
Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
A way Foward: Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au tumuachie mwenyewe?
1. Somo la Kwanza: Kibali ni nini?
Kibali ni ruhusa ya kufanya japo fulani,ambalo ili ulifanye ni lazima upate kibali au ruhusa kutoka mamlaka husika。Kibali cha kikuu cha kwanza kwa binadamu baada ya kuumbwa ni kibali cha uhai,kibali cha kuishi na kibali cha kuumba binadamu wengine。Baada ya hapo ni kibali cha kufanya kila kinachofanyika。Kibali kwa mwanamke kuwa mama na mwanaume kuwa baba,ni kupevuka,kibali cha kujenga familia ni kuoa,kibali cha kujenga nyumba ni kumiliki ardhi,kibali cha kufanya biashara ni kuwa na leseni,kibali cha kusafiri nje ni kuwa na passport,kibali cha kuingia nchi fulani ni kuwa na visa, hivyo vibali viko vya aina nyingi。
Kibali ninacho kizungumza kwenye uzi huu ni kibali cha kutawala nchi,kuwa mkuu wa nchi。
Somo la Pili
2. Kibali ni cha kazi gani?
Kibali ni cha kutimiza lile jukumu la kibali ulichopewa,kama tulivyoona kwenye somo la kwanza, kuna vibali tofauti vya kufanya mambo tofauti tofaouti, ukipewa kibali cha ndoa,inatimiza majukumu ya ndoa,ukipewa kibali cha kufanya biashara,unafanya biashara kwa mujibu wa leseni yako。
Kuna vibali vingi,hadi vibali vya kuua,licence to kill,hata mtu anayehukumiwa kunyongwa,hukumu hiyo haitekelezwi hadi mkuu wa nchi asaini death warrant ndipo anyongwe
Hivyo hata kibali cha kutawala nchi,unatawala kwa mujibu wa kibali chako
japo kibali cha kutawala nchi kimetolewa kwa mujibu wa katiba,anayepewa kibali hicho anapewa na YEYE na anapaswa sio tuu kufuata katiba,bali pia kutimiza madhumuni ya YEYE alIyempa kibali hicho,alimdhamiria afanye nini,kibali chake ni cha nini na kwanini ni yeye na sio mtu mwingine yeyote?
Sifa za Kibali: Kikitumika Kinakamilika, Kisipotumika, Kinafutwa!
Kama nilivyoeleza, kibali kinatolewa kwa madhumuni kusudiwa, au kuna vibali vya kazi maalum, task force, ukiisha ikamilisha kazi, unakuwa rewarded accordingly, kibali kimekamilika na kazi ya kibali hicho inakuwa imekwisha.
Musa kibali chake kilikuwa ni kuwakomboa tuu wana wa Israel kutoka utumwani Misri, alipokamilisha kazi ya kuwaondoa na kuwasafirisha mpaka nchi ya ahadi, kibali chake kikakamika, yeye hakuingia nchi ya ahadi, alitwaliwa, na kibali cha kuwaingiza nchi ya ahadi, kikatolewa kwa mtu mwingine.
Kwa vile kibali, ni kibali cha kazi maalum kwa mtu maalum, ukiwa ni mtu mwenye kibali, usipokitumia kibali hicho kikamilifu, kibali hicho kinafutwa!.
Ufutaji wa vibali au ufutwaji wa vibali, hufanyika kwa namna mbili
1. Ufutwaji wa uwezo wako, kufutwa, mtu alikuwa mfanyabiashara mkubwa maarufu na tajiri, anafilisika hadi kubaki apeche alolo!. Mtu alikuwa msanii mzuri, mwanamuzi mzuri, mchezaji mzuri, ghafla uwezo wake unashuka, anajikuta anatupwa nje ya gemu.
2. Ufutwaji wa kibali wa aina ya pili ni kwa wewe kufutwa kwenye uso wa dunia, kwa kutwaliwa!, kama inavyotokea kwa wengi wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana. Musa, Kanumba, Sembuli, Mbaraka Mwishehe, Shaaban Robert, John F Kennedy, Bruce Lee, JPM na wengine wengi, wameitwa kurejea kwa Muumba wao.
3. Somo la Tatu: Kibali Kinatolewa na Nani?
Kama tulivyoona kwenye somo la kwanza la kibali ni nini, kuna aina nyingi za vibali, somo la pili kibali ni cha nini, tumeona vibali vya kufanya shughuli tofauti tofauti, sasa ni vibali hivi vinatolewa na nani. Vibali vinatolewa na mamlaka husika, kutegemeana na ni kibali cha nini, na cha aina gani, nimesema kuna two types ya vibali, vibali za shughuli za kidunia, vinatolewa na mamlaka za kidunia, na vibali vya mambo makuu, vinatolewa na mamlaka Kuu ambayo ni Mungu, YEYE Mwenyewe, unakuwa umepata kibali machoni mwake.
Vibali vya YEYE mwenyewe, mtu hauombi, anazaliwa nacho, ama unapewa na YEYE mwenyewe kwa madhumuni mahsusi.
Mfano urais wa nchi hupatikana kwa kuomba kuteuliwa, waombaji wanakuwa ni wengi, anayepata ni mmoja, huyo mmoja anayefanikiwa kupata, anakuwa ndie mwenye kibali kutoka kwa YEYE. Mungu anakuwa na madhumini fulani, kwanini amempa kibali huyo aliyempa. kati ya wagombea wote wanaogombea, mwenye kibali anaitwa "the chosen one", mfano mzuri ni uchaguzi wa 2015, watu walimshobokea sana Lowassa, mimi nikiwemo, tofauti na wengi, pia nikawaandaa watu kisaikolojia Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni..., hivyo JPM ndie was the chosen one mwenye kibali cha urais 2015-2020. 4. Somo la Nne: Kibali Kinatolewa kwa Nani?
Kwa vile kibali kinatolewa na YEYE Mungu mwenyewe, kinatolewa kwa aliyemchagua YEYE, au aliyemteua yeye.
Mfano wa Familia.
Mara nyingi kwenye familia zetu, Baba ndio huhesabika ni kichwa cha familia, tangu Mungu alipomuumba Adam, akampa kibali cha kutawala viumbe wote wa dunia hii. ila katika mambo ya tamaa za mwili, mke ndie amepewa kibali!, Eva baada ya kufundishwa na shetani jinsi tunda linavyomegwa, akaonjeshwa kwa kumegewa, kisha Eva na shetani wakamega tunda, wakala, Eva akauona utamu wa tunda, alipewa kibali cha tamaa za mwili, akamfua Adam, akamfundisha jinsi tunda linavyomegwa, japo Adamu mwanzo alikataa, kwa vile Eva ndio amepewa kibali hicho, Eva alimlaziisha Adam kumega tunda, wakamega tunda, wakala na kuishia zao usingizini. Hivyo Mwanamke nae ana kibali cha baadhi ya mambo, na ndio maana baadhi ya makabila haswa ya wafugaji, wanai katilia ile kitu, inayoweza kumpa mwanamke tamaa ya kumegwa tunda!.
Japo baba ndio anapaswa kuwa kichwa cha familia, kuna familia nyingi, mama ndio anakuwa amepewa kibali, hivyo ndie kichwa cha familia.
Familia nyingi pia huwa zinapenda mtoto wa kwanza awe mwanaume ili apewe kibali cha mzaliwa wa kwanza, lakini kuna familia nyingi, mzaliwa wa kwanza ni mtoto wa kike, hivyo anapata kibali cha uzaliwa wa kwanza.
Kwa vile kibali kinatolewa na Mungu mwenyewe, sio lazima mzaliwa wa kwanza, apate kibali, Mungu anaweza kumteua mtoto yoyote na kumpa kibali. Mfano japo mzaliwa wa kwanza wa Nabii Ibrahim ni Ismail, aliyepewa kibali ni mzaliwa wa pili Isaka. Na kwa Yakobo, japo mzaliwa wa kwanza ni Essau, aliyepata kibali ni Yakobo. Yakobo yeye alipata watoto 12, mtoto mwenye kibali ni Yusufu, mzaliwa wa 11. Na Daudi katika familia ya Yese ndie alipewa kibali.
Hivyo kibali kinaweza kutolewa kwa yeyote, anayeamua nani apewe kibali ni YEYE .
Hata kwenye imani zetu za kiasili, watoto wanakuwa na vipawa mbalimbali, anayechaguliwa kuridhi mikoba, anaweza kuwa ni mtoto wa mwisho. Hicho ndio kibali.
5. Somo la Tano: Anyepewa Kibali Anajua Kuwa Ana Kibali?. Utamjuaje Mtu mwenye Kibali?.
Hii ndio the trickiest part ya vibali. Je mtu mwenye kibali hujijua kuwa ana kibali?.
Kwa vile kibali hutoka kwa Mungu, na humpa amtakae au ampendae, hivyo kwanza ni Mungu mwenyewe ndio hutoa taarifa za baadhi ya vibali. Adam alizungumza na Mungu na kupokea kibali chake direct, Mungu huzungumza kwa njia za ndoto, maono, sauti, au kunena kwa vinywa vya manabii au kutumia malaika wake kuhusu vibali mbalimbali ambavyo kwa kawaida mtu huzaliwa navyo ama hupewa.
Kibali cha Musa, kabla hajazaliwa Farao alitoa amri watoto wote wa kiume wanaozaliwa na Waebrania, hivyo Musa alipozaliwa ni malaika walisimamia atupwe mtoni, mara aokotwe na binti Farao, Binti Farao akakilea kichanga kama mtoto wake!.
Kibali cha kuzaliwa Isaka kililetwa nyumbani kwa Nabii Ibrahim na malaika watatu walio jigeuza wageni.
Kibali cha kuzaliwa Yesu kililetwa na Roho Mtakatifu, kumpachika Bikira Maria ujauzito bila 'tunda' lake kumegwa!. Mumewe Yosefu baada ya kuona mkewe ni mjamzito huku wakiwa bila bila, akapanga kulala mbele, ndipo Mungu akamtokea kwenye ndoto kumtuliza kuwa ni mpango wa Mungu!, ndipo akatulia.
Hivyo hata katika uongozi, tuna viongozi wengi sio viongozi wa wito, vipawa, karama wala uwezo, ni matutusa tuu, hawana vipawa vya uongozi, karama zozote, vipaji vya uongozi na uwezo wa uongozi, lakini wanapata uongozi wa umma kwa kutumia "the universal power".
Kuna watoto wengi wanazaliwa vibali, wazazi wao hawana uwezo wa kuwabaini mapema, hivyo mwisho wa siku vibali vyao vinavutwa!. Kuna watoto wanazaliwa na vipaji fulani, bila wazazi wao kuwabaini na kuwaendeleza, vipaji hivyo vinakufa. Kuna watoto wanazaliwa na uwezo Kiislamu wanaitwa ma Sharufu, usipowabaini, uwezo wao unapotea.
Kwa vile mtoa kibali ni Mungu, yeye Mungu huwaeleza wenye vibali vyao, kuwa wana vibali, na sometimes, huwatumia watu baki kuwaeleza kuhusu vibali fulani, hao wanaotumwa ni manabii, wakisikilizwa, vibali vinatumika, wasiposikilizwa, vibali vinafutwa!.
Namna ya mtu wa kawaida kuwatambua wenye vibali, ni jinsi tuu mambo yao, yavyowanyookea. Kwa chicho la kawaida wanaonekana ni watu wenye bahati, wana ngekewa, wanafanikiwa, kumbe hicho ni kibali.
Watu wote wenye mafanikio yanayotokana na vipaji mbalimbali ni watu wenye vibali. Wafanyabiashara, wanamuzi, na wasanii wenye vipaji vikubwa, wenye vibali wanafanikiwa, na kuna watu huku mitaani, wana vipaji vya ajabu sana, lakini hawana vibali, hivyo hawatusui!.
Somo la Sita: Nyerere, Mwinyi na Mkapa, Walikuwa na Vibali, Vikatumika na Kukamilika.
Mwalimu Nyerere
Alikuwa na kibali toka anazaliwa!, kuna mambo ya kuzaliwa kwa Nyerere naomba tuyaache yabaki kama ni siri za familia yake tuu, lakini hivyo ndivyo mambo ya vibali yanavyokuwa. Kibali chake kilianza kuonekana alipokuwa Tabora School Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura Afukuzwe Tabora School!
Kibali chake kilikuwa ni kutupatia uhuru, hiki kilikamilika, kufuta ukabila na kutujengea umoja, hili lilikamilika. Mwalimu alipaswa kuongoza taifa hili kwa miaka 10 tuu, 1961-1971, kisha aingie mtawala wa kuleta maendeleo.
Kwa vile kibali chake ilikuwa ni kuleta uhuru na umoja, kibali cha mwalimu kilikwisha, alipoendelea, badala ya kupata mafanikio ndipo yakafuata majanga ya vita, kuanguka kwa uchumi, hivyo ni mwaka 1985 akakubali kuwa alifanya makosa, akawaomba msamaha Watanzania kuwa kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa, Japo Watanzania tulimsamehe, na akastaafu kwa amani, ila kuna issues zake nyingine ambazo public hatuzijui, zilizopolelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Mchakato wa kumtangaza Mwenye Heri unaendelea, ili mwisho wa siku aje kutangazwa ni mtakatifu, unaendelea.
Ali Hassan Mwinyi Alikuwa na Kibali.
Aliyempokea Mwalimu Nyerere ni Rais Ali Hassan Mwinyi, aliyezaliwa Mkuranga kwa wazazi wote wawili wa Bara, akaenda Zanzibar akalowea, kibali chake kilithibitika licha ya kujiuzuli kwa kashfa, akiwa waziri wa mambo ya ndani, aliukwaa urais wa Zanzibar huku akiwa sio Mzanzibari wa kuzaliwa, na baadae kuwa rais wa JMT. Hayo ndio mambo ya vibali. Yeye alimaliza vizuri kwa kukitumia vizuri kibali chake, Mungu akampa umri mrefu na heri duniani, amakufa na umri wa zaidi ya miaka 100!.
Benjamin William Mkapa Alikuwa na Kibali.
Mwinyi alifuatiwa na Benjamin William Mkapa, huyu kibali chake kilionekane toka alipozaliwa huko aliko zaliwa , Mama ni Mtanzania na jina la Mkapa ni la kikeni. Zile issues za Mchungaji Mtikila kumhusu Ben, japo wengi wanamuona Mtikila kama alikuwa kama kichaa fulani, ila kiukweli alikuwa na hoja, na hayo ndio mambo ya kibali hicho ndicho kilichomsimamia yote mpaka kuwa rais wa JMT.
Alimaliza salama kwa kukamilisha kibali chake, ila na yeye alikuwa na issues zake binafsi na Mungu wake zilizopelekea kuitwa kwa jinsi ile alivyoitwa. Nilimtengenezea kipindi View: https://youtu.be/DUOg28gosy8?si=QLzc-SZb6xRbQTcD
Jakaya Mrisho Kikwete Alikuwa na Kibali
JK pia alikuwa na kibali, haijalishi kuhusu sarakasi zote zilizopigwa hadi JK kutinga Ikulu, ikiwemo mtu kuchomolewa, mtandao kuasisiwa, timu ya Boys II Men kuundwa, EPA kutumika, na rise of King Maker, etc, ile mtu tuu kutinga Ikulu, hilo peke ni kibali tosha. Kumhusu JK niliandika humu kuhusu mapungufu yake Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim! na sifa zake njema Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour" Alikitumia kibali chake to the fullest na mpaka sasa anadunda.
7. Somo la Saba: JPM alikuwa na kibali, Japo Kilitumika, Kilikatishwa na Kuondolewa!.
Rais JPM, pia alikuwa na kibali, ila kibali chake sina uhakika kama kilikuwa ni kibali kifupi cha miaka 5 tuu, hivyo JPM alikitumia kibali chake hadi mwisho, lakini alipoamua kujiongeza kwa kuufuata mtindo wa mserereko wa CCM, kibali hicho kikaondoshwa, au pia kibali chake kilikuwa ni kibali cha miaka 10, lakini hapa katikati akatofautiana kitu na mtoa vibali, mtoa vibali akaamua kukikatisha kibali cha JPM, na kumpa Rais Samia Kibali.
Pia tulitoa angalizo muhimu Elections 2015 - Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni serikali dhalimu na haramu? Hukumu ya karma ijuu yake! Alipoamua kundelea na term yake ya pili, ndio mambo yakawa kama vile, sijui ni kibali kilifutwa au!,
Nilisema mtu ukiwa na kibali ni lazima ujitambue kwanza kwa kujua kuwa una kibali, ujue ni kibali kufanya nini, na ni cha muda gani, then kitumikie kibali chako, kwa mujibu wa kibali chako na muda wako ukiisha pisha wengine, maisha yaendelee.
Miongoni mwa vitu vinavyosabisha kufutwa kwa vibali ni ukosefu wa haki kwenye demokrasia yetu na umwagikwaji wa machozi, jasho na damu zisizo na hatia, zinazopekekea kitu kinachoitwa a bad karma hivyo tulipopata fursa ya kukutana nae, tulimkabili Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Naombeni tumwacheni huyu baba apumzike. 8. Somo la Nane: Je Rais Samia ni Kibali?, Je Anajitambua kuwa yeye ni kibali?Anakitumia Kibali chake Ipasavyo?
Mtu wetu wa sasa ni Rais Samia.
Hoja ya kwanza ya Rais Samia, je ni Kibali?.
Jibu ni ndio, Rais Samia ni kibali, mapito yake toka alipoanza mpaka hapa alipofikia, kote kuna viashiria vyote kuwa huyu ni kibali.
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Hivyo mtu kuniita mimi ni chawa kwa kumzungumzia Rais Samia kwasababu sasa ni rais, ni kunionea bure!
Kwa vile Rais Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, ili kutokea jambo kama lile kisha mtu kuukwaa urais bila kutegemea ni ishara tosha ya kuthibitisha kuwa hicho ni kibali tosha. Kama nilivyoeleza huko nyuma, aliyempa kibali, anaweza kuwa amemweleza kwanini amekifuta kibali cha mtangulizi wake, hivyo yeye anatakiwa kufanya nini kurekebisha makosa ya mtangulizi wake ambaye time frame ya kibali chake mwisho ni 2025.
Sisi Watanzania, wengi wetu ni ma simple mind, they don't have time to think, kazi yao kubwa is to discuss people, wanaofuatia ni ordinary minds, they discuss events, wachache ni great minds ambao wana discuss ideas, humu tunawaita ni ma GT, na miongoni mwa hao ma GT, wamo ma deep thinkers, mmoja wa deep thinkers hawa ni Balozi Humphrey Polepole, huyu ndie pekee aliwahi kukifafanua kibali cha Rais Samia aliposema Rais Samia, ni rais wa 6, ila anamalizia kwanza awamu ya 5 ya JPM, kisha ndipo aanze awamu yake 2025, ila kwa vile ameipokea ndani ya mwaka mmoja, hii inahesabika ni awamu ya 6, lakini ilani ni ile ile ya awamu ya 5.
Hivyo Rais Samia alipoanza, alianza vizuri kwa kuyarekebisha makosa ya mtangulizi wake, tulimpongeza, sana tuu kwa kumwandikia humu, mitandaoni, magazetini na kwenye vipindi vyetu vya Redio na TV, our expectations of her, we had very high expectations, alipokuja na zile 4R, akaunda kikosi kazi, akaja na haki jinai, maridhiano, akafutia watu kesi, kwenye haya, nyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia anastahili kupewa maua yake.
Licha ya pongezi, karibu kwenye kila pongezi, pia kulikuwa na maombi fulani, mengine yametekelezwa na mengine bado. Haya ni baadhi ya maombi mahsus kwake
Kwa vile kibali alichoingia nacho ni cha kumalizia ngwe ya Magufuli, ule utaratibu wa mserereko wa CCM, lengo lake ni kuondoa duplicity kwenye mchakato wa usaili wa ushindani wa wagombea urais ambao walisailiwa ili kumpata the best, Rais Samia eye hakusailiwa kwa ushindani, kwa vile ameupata urais kwa kudra tuu ya Mwenyeenzi Mungu, ni kibali kimemuepushia na ushindani, hivyo 2025 ndiye mgombea wa CCM wa mserereko.
Sasa sijui kama kwa vile ni mimi ndie niliulizia kuhusu kibali cha Rais Samia 2025-2030, then ni mimi niliambiwa kitu kuu HII issue ya 2025. Somo la Tisa: A Way Foward- Tumsaidie ili atimize matakwa ya kibali chake kikamilifu au Tumuachie Mwenyewe na Kibali Chake?
Japo kibali, kinatolewa na Mungu mwenyewe, na kila anayepewa kibali, pia anapewa uwezo wa kutekeleza mahitaji ya kibali chake, lakini binadamu ni kiumbe dhaifu, hakuna mkamilifu hivyo kunaweza kutokea makosa ya hapa na pale, na hakuna mtu anayeweza kufanya kila kitu yeye mwenyewe, ni lazima asaidiwe, ndio maana japo Rais wetu ana kibali lakini ana wasaidizi wa kumsaidia kwenye kila eneo, na bado kunatokea makosa ya hapa na pale Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Hivyo pamoja na uwepo wa wasaidizi wa kutosha ambao ni manguli, wazoefu, wabobezi na wabebovu, lakini bado makosa yanafanyika. Na kuna watu huku mtaani, sio wabobezi, sio wabebovu lakini wana uwezo wa kusaidia. ndipo nikauliza, unapoona Rais Samia na serikali yake, imeshindwa jambo fulani na wewe umeona unaweza kusaidia, jee tumsaidie au kwa vile yeye ndie mwenye kibali, then tumuachie mwenyewe na kibali chake? WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kaka Paskali asante kwa ujumbe muruwaa! Kabla sijachangia naomba unisaidie kujibu swali langu!
JE! KUNA AWAMU AMBAYO DAMU HAZIKUMWAGIKA?
Pili! Je! Kama watu wanafanya mambo yao huko wanauana au Wanaua na Rais hahusiki kwanini hiyo dhambi aibebe?
Kumbuka Rais SAMIA alisema hajawahi Kuua mtu labda sisimizi! Maana yake inawezekana kabisa hata yale ya Mwembechai, Arusha, Zanzibar, Mbeya, Mwangosi, kina Ulimboka nk haya kuwa matakwa ya kiongozi husika!! Hivyo kwanini ahukumiwe???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.