Shida ipo kwenye muda huo, je ni miezi, mwaka au miaka?Ndugu zangu,
Mwaka 2016 Hayati Rais Dr.John Magufuli akiulizwa kuhusu mikutano ya vyama vya siasa na Katiba Mpya alisema "nataka niinyooshe nchi kwanza nipeni muda".
Leo Rais Samia Hassan akijibu hoja hizi za "Katiba mpya" na Mikutano ya vyama vya siasa" kasema "nipeni muda nisimamie uchumi wa nchi" ameendelea kusema "mbunge afanye Mkutano jimboni kwake".
Ni dhahiri tunahitaji kujenga nchi.
[emoji3][emoji1][emoji2][emoji2]Yani uende kule halafu acha kelele watu watasikia. Namaanisha kuwa uende kule ukawahi vyeo. Si unajua kuwa alikuwa anapiga kampeni kuwa akifika huko awe mkuu wa kina naniluu atakuwa keshapata ushindi huko. Wahi unaweza kuwa mkuu wa wilaya ya sayari ya Jupiter [emoji23]
Ninyi watu hamuna hoja za kumpinga mama
Magufuli alivyosema hivyo kila kitu nchi hii kilisimama
Hakuajiri, kupandisha madaraja, annual increament na mengine mengi kwa sababu ya kunyoosha nchi
Mama anasimamisha nchi huku mambo mengine yanaenda kama kawaida
Nikweli [emoji2][emoji1][emoji3]Mh. Samia S. S. si sawa na Magufuli.
Samia ni Mcha Mungu huku Magufuli akiwa mcha miungu.
Samia ni mpenda haki huku Magufuli ni mnyang'anya uhai.
Samia ni mkweli huku Magufuli akiwa baba wa uongo.
Kufananisha Mh. Samia na Magufuli ni kujitakia laana ya bure.
Mkuu huwa husikilizi vyombo vya habari ama kusoma taarifa mbalimbali kutoka vyanzo tofauti vya habari hapa nchini?Wapinzani Wana hoja gani
Kujenga mchi inawezakana hata kwa kuvunja katiba, lkn siyo kujenga nchiKamanda tulia,acha kupuyanga,jenga mchi
Swali la kipuuzi sana.Ukumbuke akina Mbowe ndiyo walitoa nauli ya mwalimu kwenda UNO.Wakati huo weye umejibanza kwenye punje ya karanga kuleee Nkuhungu!πππππHivi 1961 mwenyekiti wenu alikuwa na uwezo kula bata Dubai?
kama sio CCM kukuza uchumi Mwentekiti wenu angeishia kuwa DJ tu
Ukiwa MUONGO uwe unanyoosha maneno.Wakuu,
Ifikie hatua watanzania mstuke sasa na mjue hawa jamaa hakuna wanachofanya tena wanahitaji mbadala ili wapumzike,
Toka 1961 bado jamaa wanadai wanajenga nchi huku wakitegemea misaada ya wahisani ukiangalia dhahabu kila kona, makaa ya mawe kila kona, Tanzanite, bahari, maziwa makubwa kama tanganyika na victoria, mafuta na gesi, hayo yote kwao ni bure bila aibu unakwenda kupandisha kodi kwenye mafuta, kosa ushushe maisha yawe nafuu wewe unapandisha na bila aibu unaenda kuchaji line za simu!
Mjue hawa akili zao zimechoka na haihitajiki tafiti kujua jamaa wamechoka, hawajengi tena wanazidi kubomoa wanatakiwa wapishe wengine wao wapumzike.
Nauli ilikuwa Sh ngapi?Achana na hizo story za kijiweni.Swali la kipuuzi sana.Ukumbuke akina Mbowe ndiyo walitoa nauli ya mwalimu kwenda UNO.Wakati huo weye umejibanza kwenye punje ya karanga kuleee Nkuhungu!πππππ
HahahahahahahHivi 1961 mwenyekiti wenu alikuwa na uwezo kula bata Dubai?
kama sio CCM kukuza uchumi Mwentekiti wenu angeishia kuwa DJ tu
Mbona babu yako hakutoa hiyo "senti" ngapi?Jibu ukiegemea swali lako la awali kabla ya hili.@jingalao the jingest.ππππππNauli ilikuwa Sh ngapi?Achana na hizo story za kijiweni
CCM imezaliwa mwaka 1977.....
Mwaka mmoja tu baadae yaani 1978....nchi ikaingia VITANI kumuondoa IDD AMIN DADA aliyeivamia KAGERA na kutishia kuja mpaka Dodoma na Dar es salaam.....
Nchi iliyoasisiwa miaka 17 nyuma ikatumia DOLA MILIONI 500 kuilinda mipaka yake.......
*********************
Miaka 44 ya CCM si mingi katika KUIJENGA NCHI....hususani nchi za kiafrika ambazo TEKNOLOJIA HAZINA....ambazo maadui 3 UJINGA ,MARADHI NA UMASKINI bado ni CHANGAMOTO KUBWA kuliko nchi zilizoendelea Kama UJERUMANI (marafiki wakubwa wa CHADEMA).
#KaziIendelee