Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Na kakingereza kako usifikiri utaonekana una akili wakati umejaza matope tu kichwani
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kakingereza kako usifikiri utaonekana una akili wakati umejaza matope tu kichwani
To frozen the economy of our country because of hate late behavior was a stupidity kind of life Jiwe made in our country,this person was an evil person and shall be an evilo person always.
una ushaidi nani alimchukulia.Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.
Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!
Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.
Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.
Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!
Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Aliondokaje bana?, Muache jabali apumzike[emoji16][emoji16][emoji16]aliweza vipi kundoka bila kuweka misingi mizuri ya kusimamia Mali za umma...
Kipindi cha magufuli au hata jakaya kulikuwa na hzi tozo?
una ushaidi nani alimchukulia.
Kama wewe 50 kwa 50 fara.Basi nmehitimisha umejaza mavi kichwani
Why tuku-entertain? Go jump. The man was EVIL. End of story!Taja wafabishara walioporwa na kiasi walichoparwa kisha tulinganishe na vitu alivyofanya
CCM ni ile ile, mtaji wao ni ule ule!
Watu wale wale, ujinga ule ule!
Kwa kuwa ujinga ni chachu ya umasikini
Umasikini unavyozidi kukua ndivyo ujinga unavyozidi kunawiri.
Ujinga unavyozidi kunawiri, ndivyo mtaji wa CCM unavyozidi kukua.
Jiwe aliweza kwasababu....alipewa ramani ya wafanyabiashara hawa na hawa hawajalipa Kodi ya serikali nyingi Tu...yeye moja Kwa moja akawa anadili nao...kama unavyojua watu walimjua jiwe Hana masikhara ni mtu kazi....so watu walilipa miamala na fedha kuonekana
Wapo wengi nimekutolea tu mfano ila kwa vile huna akili unahangaika kutafuta ushahidi wa kutetea maovu lakini hautoupata kamwe.Kwamba Peter na Manji na dewji ndio walikuwa na hayo matililioni?
Huwa nakuheshina na kukubali kuwa we jamaa una IQ hasa kwenye nyuzi zako ila hapa umeharibu na angalia comment yako isije poteza mashabiki maana ulicho kitoa ni tofauti na ulivyo au upo na K vant pembeni ,Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.
Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!
Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.
Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.
Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!
Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Unaweza nipa mfano wa nchi yo-yoed ile ya kistaarabu yenye hofu ya Mungu na iliyoendelea ambapo masikini wanalipa kodi na siyo matajiri? Hivi kwa masikini unaweza kupata kodi ya maana kuendesha nchi? Kwa pato gani ?
Am always open you cannot raise the economy by creating many crisis in your country.Be open how?
Peter Zakaria,Manji na Dewji ni wahanga wa huyo rais wa wanyonge.
Hao ni mfano tu.Okey tufanye nakubaliana na wewe kua alipora izo ela kwa hao watu...basi toa data ni jinsi gani kuporwa kwa ela za hao watu ziliyumbisha uchumi kwa wananchi na taifa, alafu unalinganishaje hasara ya watu wanne kwa faida ya watu mianne!!!? Huenda unayesema apo huna undugu ata na mmoja kati ya hao mabillionea
Inshot kuua watu sijui kufirisi watu ni na ujasusi wote upo tena hasa kama mtu anacheza na njia yako ya mafanikio kwa maslahi ya watu wengi ndo maana hata ayo mataifa sijui US usipolipa kod au kukwepa kod mtiti wake ni mkubwa mno na wao wanaua na kufirisi pia so kwa JPM acha apumzike tuu kazi aloifanya ni kubwa mno.
Jamaa inaonekana uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana,na ningependekeza watoto kama nyie mwende Facebook huko ndio kuna watoto wenzenu.Nenda chattle kamuulize humu huwezi pata majibu,Sasa tupo awamu ya sita kazi iendele,Bibi tozo anachapa kazi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile
Ukweli ni kwamba hata walokua tulompinga JPM, kwa sasa tunamkumbuka,Kinacho ni uma mimi pamoja na tozo hizo hakuna miradi mipya ya kielezo....na ht walioachiwa inaenda mwendo wa kinyonga anaeumwa mdondo...
Dar ilikua ukikatiza unakuta huku Mibarabara inajengwa, huku wanafunga taa barabara za mitaaani, huku mi flyover watu wanachakarika, huku masoko huku hospitali, huku Dawasco wanavuta mabomba...
Asubuhi unapishana na Jaffo na watu wake wa Tamisemi wanaenda kukagua miradi, ukitatiza mbele unakutana na mkutano wa Lukuvi or Bashite wanatatua migogoro ya ardhi...
Ukifungulia TV unakutana na Waziri wa Maji ameliamsha huko mkoani, or waziri wa Nishati yupo Rusumo kwenye Bwawa la Umeme kukagua maendeleo...
Ndalichako na shule zake za Mfano..
Huku Bi Ummy anahangaika na vituo vyake vya Afya
Huku Mpango anapokea gawiwo...
kule Biteko anafungua soko la madini...
kule wakuu wa mkoa wanacheki km tofali za ujenzi ndo zenyewe or wanapokea madawati...
Ukiingia youtube ni video tu za miradi, kuanzia TRC, Tanrods, MeliTV mpaka Tamisemi.
huku JPM anapokea mindege
ili mradi kazi kazi, purukushani za kazi kila sehemu.
Nlikua kila week lazima nipitie website ya Tanraods kujishtua moyo na miradi mipya mipyaaa...now ht ule mradi wa mwendokasi wa kule kwetu g'mboto uliotanganzwa Aug 2020 mpaka leo hakuna jipya.
Now with all that money za mitozo na mikopo inchi bado imelala doro.
What happened to us?
I real miss the old days..