Magufuli amekufa bila kuacha hata Kiwanda Kimoja cha Mfano

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†,sijui wasukuma watasema nini hapa
 
Hicho ni cha

Warundi jamaa yangu na siyo mali ya waTZ
Unaelewa maana ya uwekezaji? Kwani mali za wafanyabiashara/wawekezaji zinakuaje mali za Serikali ya Tanzania?

Hivi nyie hata civics mlisoma lakini? How comes minor issues kama hizi hamzielewi?

Investors wakija wanaleta mitaji au wanakuja Kukopa kwenye banks zetu,wananunua bidhaa za Nchi wakati wa Ujenzi,wanaajiri Watanzania,wanaleta teknolojia,wanapanua soko la bidhaa za nje na mwisho wanalipa Kodi mbalimbali za serikali na wao wanafaidika..

Kwa taarifa yako ukiacha hicho kiwanda hao Intracom wanajenga kiwanda cha saruji Kigoma kikubwa kuliko hicho cha mbolea.
 

Attachments

  • Screenshot_20220513-104418.png
    147 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220513-104556.png
    57.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220513-104822.png
    58.9 KB · Views: 6
Watu wanaumia huko ngorongoro we unaleta umalaya wako wa kisiasa apa je rais anajenga viwanda au anaweka sera
 
Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Mazingira yawe rafiki sasa fashisti alifanya mazingira kimbiza wawekezaji
 
Kilimanjaro Ikternational Leather Industries Co. Ltd, Kiwanda cha viatu bora kabisa vya ngozi kwa Africa, chenye kutumia tekkologia kutoka italy, kilijengwa na serikali 2017
Mchakato wa hicho kiwanda ulianza back 2010 wakati wa jk
 
Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Maana anataka kusema Obama, Trump, Reagan, Bush walijenga sana viwanda ndio maana Marekani ina viwanda vinhi! Ahahahahaha!
 
Una mafi mengi sana matakoni tumboni sasa yanapanda kichwani kayatoe.
 
Alafu we Figa miyeyusho kinoma.
 
Hv tukisema Tanzania ya viwanda maana yake serikali ijenge viwanda na kufanya biashara? Au iweke mazingira rafiki ya watu wake kufanya hivyo?
Ungekaa kimya mkuu. Kumjibu mjinga ni kununua ujinga wake.
 
You know nothing about Mwalimu Nyerere and I wonder if you were born when he was still the president of Tanzania.
 
Pssf ni serikali magereza ni serikali kwaiyo ni cha serikali na alikizindua maguful 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…