Magufuli angekuwepo sio tu vitu vingepanda bei, vingeadimika kabisa

Nonsense,😎
😁😁😁😁 Nonsense kwa sababu nimekuelza ukweli na wapuuzi ndio mkawadanganye..

Ni Jiwe ndio aliwaambia watu kwamba wajenge viwanda vyao ilinwauze bidhaa bei ya chini hapo ni baada ya Bei za bidhaa hasa za ujenzi kuanza kupanda..

Ni Jiwe ndio aliwaambia watu kama wanaona chakula kimepanda.bei nao wakalime akisisitiza kufa kufaana na hapo ni 2019 mafuta ya kula yalipanza kupanda bei..

Jiwe alipoambiwa vyuma vimekaza alikuwa anasingizia wapiga dili wakati Uchumi unaanguka..

Kwa hiyo Jiwe angekuwepo saizi uchumi ungekuwa very worse na angezidi kuwa katili Ili kujihami na kuficha udhaifu wake kama tuu alivyokuwa analeta Takwimu za uongo..
 
Sio wangelipa walikua wanalipa tayari, alianza na tozo ya sh100 kwenye mafuta ikamnogea mwaka uliofuata ikawa sh200 na watu hawakulalamika sababu ya kuogopa wasiojulikana,

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Una elimu gani?!
Umeajiliwa au umejiajili?!
Milembe una vyeti vingapi?!
Bado unaishi nyumbani ehh?!
Em kaongee na mama ako muulize wanapata vp pesa ya chakula hapo ndani?!
 
Tunamuongelea hadi Hitler itakuwa huyo dictator uchwara wa juzi?
Hitler haongelewi kama JPM, JPM anawatesa sana nyie walamba asali.

Kuna mda mnatamni mbomoe hata daraj ala Ubungo/Ubungo fly over.
 
Huwa nikikumbuka sakata la sukari na korosho hakika dhalimu alikuwa na maamuzi ya hovyo Sana ila ndo rais aliye pendwa na masikini wengi kwa jina la rais wa wanyonge
Huwa nafurahi sana ninapoona mnamsema jinsi alivyokuwa mweupe kichwani. Kaharibu sana nchi yetu.

Rais wa hovyo kuwahi tokea ulimwenguni
 
Alikuwa rais wa hovyo mpuuzi kuwahi kutokea kwenye USO wa dunia
 
Vitu vingeadimika na Watu wakilalamika wangeendelea kubambikiwa kesi na kupotezwa.

Ole Sabaya na wenzake wangeemdelea kuharass Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha na hueda angepewa ukuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Maiti na mizoga ya Wananchi ingekuwa imetapakaa kwenye kila Mito na Misitu.
 
Mfumo imara! Hupi?
"Kwa kuwa sisi Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya Uhuru,haki,udugu na amani" kipengele cha kwanza katika Utangulizi wa Misingi ya Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
Umesikia yaliyotokea Mara? umesikia aliyokutanayo Catherine Ruge? ndicho unacho kizungumzia au?
 
Hata wewe watakutafuna tu wakati wako ukifika hakuna ujanja kwa hilo Acha viroja
Mimi siyo muaji,mimi sikandamizi watu,mimi sibagui watu,mimi nathamini kila Mtanzania awe ccm ni ndugu yangu,awe chadema ni ndugu yangu,awe ACT ni ndugu yangu,awe tlp ni ndugu yangu,awe chauma ni ndugu yangu,awe wa rangi gani ni Mtanzania kwa hiyo sikuwahi mchukia au kumwonea mtu yeyote kwa matakwa yangu hivyo basi nitakufa kama wanadamu wengine wafaavyo ila siyo kifo cha dharau kama cha
Umesikia yaliyotokea Mara? umesikia aliyokutanayo Catherine Ruge? ndicho unacho kizungumzia au?
Hayo hawezi kuisha ila baraka za kipumbavu za Tembeeni kifua mbele nitawalinda hazipo tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…