Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

mramba nimependa confidence yako japo kuna jambo umetuangusha raia... why unagawa umeme bure.. kwa watumishi wako halafu unapandishia wananchi maskini bei....

tunapata shida kukutetea.. sababu ya kugawa umeme bure kwa wafanyakazi.wako.ambao wana underperform
 
Maamuzi yanayotolewa yanaonyesha kabisa hakuna mawasiliano kati ya Raisi na watendaji wake Kwa nini Raisi asiwe anafanya vikao na watendaji wake kuwaonyesha/kuwaeleza anachokitaka kuliko kusubiri wanavyokosea na kuwatumbua ?
Unafikiri huu utaratibu wa kuwavizia wanapokosea na kuwatumbua utamsaidia Raisi ?
 
Hivi kosa ndio hilo la kuiomba EWURA ipandishe bei ili kuweza kujiendesha?au kuna mengine?
Mauza uza ya tanesco yoooote huyu jamaa anayajua vizuri, mi nashangaa kamaliza mwaka na JPM. Mwingine ni gavana, bado nashangaa yupo mpaka leo, ama bahati katiba inamlinda.
 
Huyu Mramba akae kimya tu.Anachofanya sasa ni chokochoko.
Waswahili wanasema Chokochoko mchokoe pweza binadamu hatawaweza.
 
Hiyo madhani sio barua rasmi. Haina tarehe, haina saini, haina japo muhuri.

Hii itakuwa imeandikwa bar.
 
Duuh !! Mhandisi hujaitendea haki microsoft office word
 
Huyu Mramba akae kimya tu.Anachofanya sasa ni chokochoko.
Waswahili wanasema Chokochoko mchokoe pweza binadamu hatawaweza.
Uwoga nao ugonjwa!! watumbuliwa wengine wanajikunyata kama vifaranga vya bata!! Bravo Mramba
 
Umenena sawa kabisa Mkuu watu wanafikiri eti ukiwa Na Phd au unnaweza kila kitu....jama hawajifunzi Private sector Nchini na hata Duniani zinavyofanya vizuri????? only CVs....not Academician....Au angalia CV za "CEOs roundtables" wana basic degree then uzoefu labda kidogo na Masters....but uzoefu mwingi kwenye eneo lake....kifupi ni amefanya nini kwenye sector husika...
hivi ECSE Ni nini Mkuu??
 

Hii hapa ndio format ya barua za tanesco.
 
Duh...... Yaani siku ya kwanza tu ya mwaka 2017, tayari Magu kauanza kwa kutumbua mtu!

Basi tutarajie mwaka huu utakuwa wa utumbuaji wa kutisha zaidi .......
Mh utumbuaji umeanza tangu mwaka Jana kutumbua vijipu uchungu huu Ni mwendelezo
 
Bwana Mramba tayari umepita katika nun-return valve inabidi uendelee tu na process ya waliotumbuliwa. There is no backward motion here!
 
Mramba ni bomu lakutisha, timua hiyo mijitu ilishatunyonya miaka mingi mno.
 
..Duh!!

..yaani kila anayekosoa basi ana chuki.

..huo ni mtizamo hasi sana kuwa nao hasa ukiwa na madaraka.
Kwanini iwe kukosoa tu!!?
Tens upande wa Serikali pekee
Upande wa cdm hujawahi kukosoa zaidi ya kuunga mkono hata kama ni ujinga
 
JF kwanini manalizimasha huu uzi uunganishwa, kama vile nashindwa kuwaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…