Kama sijakosea na km nimekosea niwiwe radhi bure Rais alisema "kama hujui kitu cha kufanya uliza" Hii kauli ndio inayowatumbua wengi. Na pia nafikiri wale waliopewa mamlaka ktk vitengo au wizara fulani hawajajua nini maono ya Rais maguful. Jambo usilolijua nisawa na usiku wa giza hata km utaonekana unaenda wale wanaojua hiyo njia watajua kuwa haujui kutokana na mwendo wako,utakuwa wa mashaka ingawa unaonekana unaenda. Maguful anajua ni wapi anataka kuipeleka hii nchi,ndie mbeba maono. Ishu wengine hawajajua tunakopelekwa kwakuwa tulizoea mfumo fulani wakila mtu kuwa na maono yake. Hii ndio shida. Mm aijamchaagua ila ni raisi wangu na inanibidi nikubaliane nae tena hata km sikutaka kumuombea ninamuombea sasa kwakuwa aliomba tumuombee. Tusubiri tuone tunakoelekea na ninyi viongozi si kila jambo mnatutwisha sisi wananchi mzigo. Leo hii kila mtu analia maisha magumu sheleli haionekani,matokeo yake mnatuongezea 8 asilimia ya umeme. Hamna hata aibu kweli au kwasababu mko kwenye vitengo? Wale wa vijijini wanaotegemea zao moja la msimu wafanyeje? Mvua yenyewe imegoma,mnaongeza bei ya umeme!! Ni shida. Nampongeza Rais na Mungu amlinde. Tulikuwa tumepotea njia saana ,sasa tutajua km tuendako ndionau siko,ila magufuli km dreva anajua anakoenda,tukifika atashika brek tu.