Huko ahera Magufuli yuko bweni moja na Adolph Hitler, Mussolini, Iddi Amini na BokassaWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
wafu husifia wafu wenzaoMmeanza lini kuimbia wafu😏
Huyo mji utakuwa na mzimu wenye ile sauti inayomkosesha amani SSH!Hapa Kazi & Kasi Tu!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!
^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
KabisaWamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.
Aliua alitesa na kupoteza watu
Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.
Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Hata mimihata kwa kiwanja bure ama kujengewa nyuma siwezi kuishi hiyo sehemu - hata ndugu yangu atakayeishi humo ajue mimi ya yeye undugu basi, siwezi kushiriki dhambi.
Mwendazake aliua nae KAFAGaidi ameona aachane na mambo ya katiba mpyaaa
Baada ya wazazi wako kufariki!Mmeanza lini kuimbia wafu😏
Yule jamaa yenu anayeshikishwa ukuta marinda kwishiney!Liko la Skeleton huko Chato
Wewe Milembe inakuhusuYule jamaa yenu anayeshikishwa ukuta marinda kwishiney!
Washington DCPanaitwa MTUMBA nadhani ni ushamba wa Jaffo tu halafu bado sana nipo DODOMA hapa
Ndo mana huolewiMajizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.
Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.
Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
HahahahsNdo mana huolewi