Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Huko ahera Magufuli yuko bweni moja na Adolph Hitler, Mussolini, Iddi Amini na Bokassa
 
Nakula raha kwa kazi zngu kabla hata hajakuwa Rais. Japo yeye ameharibu uchumi wetu
Gaidi anapata tabu
IMG-20220209-WA0000.jpg
 
Hapa Kazi & Kasi Tu!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Nani Kiboko!??? John Pombe kiboko yao!!!

^Amefanya mengi, hata sisi sote tunayaona!!!^ (TOT)
Huyo mji utakuwa na mzimu wenye ile sauti inayomkosesha amani SSH!
 
Wamuite tu vyovyote ila uhalisia utabaki ndiye rais aliyekuwa mkatili kuliko marais wote Tanzania.

Aliua alitesa na kupoteza watu

Hata apakwe mafuta vipi atabaki kwenye historia hiyo.

Hata umchole kwenye choo yako ili ukienda kunya uwe unamsalimia historia haitabadilika!!
Kabisa
 
hata kwa kiwanja bure ama kujengewa nyuma siwezi kuishi hiyo sehemu - hata ndugu yangu atakayeishi humo ajue mimi ya yeye undugu basi, siwezi kushiriki dhambi.
Hata mimi
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Ndo mana huolewi
 
Back
Top Bottom