Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Hao unaowaita watateseka kodi zao hazitumiki hapo ?

Awamu ya Tano imeleta uwao na sisi ambao hauna maana kabisa (Wamevunja kabisa umoja wetu tuliokuwa tunatembea kifua mbele Afrika na Dunia nzima)
Mwangushwa konyagi na kusingizia wasiojulikana si aliwaambia mpinge kila kitu?
 
Tunahitaji Marais makatili zaidi ya Magufuli maana majizi matapeli na majambazi kama nyie mtakoma na mlikoma mkakomaa maamaayonyie
 
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!

Hamuaminiki nyinyi nyumbu
 

Wanaotaka kumuua JPM hawataweza.
🤝🤝🤝
 
Nanyi mmeanza lini kuwacheka wafu, as if mna guarantee ya immortality!???
Magufuli na vibaraka wake walipokuwa wanakejeli watu waliowaua kama Ben Saaane, na waliowapiga risasi kama kina Lissu walikuwa na gurantee ya immortality? Hilo swali mngekuwa mmemuuliza kipindi hicho pengine leo angekuwa hai. Sisi tulijua na tunajua hatutaishi milele ndiyo maana tunakemea watu kuuawa au kuumizwa na wenye madaraka. Wewe ndiyo unajua leo? Pole sana!
 
Ni jambo la kheri na faraja kwa watanzania wenzetu walioko huko kuendeleza nchi yetu sote kwa mapenzi mema kabisa.
 
Tutamkumbuka kwa kuteka na kuua SHETANI MWENDAKUZI a.k.a IDD AMIN II KUTOKA CHATO.
Mbowe aliangushwa na konyagi akasingizia wasiojulikana.!

Hamuaminiki nyinyi nyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…