Upuuzi kama huu ni wa kupuuzwa!Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure[emoji120]
View attachment 2618627
Cheti feki.Upuuzi kama huu ni wa kupuuzwa!
Hakika nimeku-disqualify kabisaa!
Hizo haki zao za kisheria ni zip? Funguka, si vizuri kuweka mambo kwenye mabano mabano.Watanzania wapi kwani watumishi wa serikali walionyimwa haki zao za kisheria siyo Watanzania.
Siku hizi Kuuwa ni jambo jema?Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
Sawa,Mimi hapana
Pole Kwanza Kwa Ban nzito iliyokukuta ndugu yangu.Siku hizi Kuuwa ni jambo jema?
Then what's!
Thibitisha.
Pole Kwanza Kwa Ban nzito iliyokukuta ndugu yangu.
Heko Mods kwa kuli-ban jamaa hili.Siku hizi Kuuwa ni jambo jema?
Punguza ujinga alijitolea kitugani mwizi yule yeye nakichaa mwenzake mpina wavuvi tumeumizwa sana na majambazi haya mungu awachome moto usiozima mileleMagufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
Kwa nini wewe uliandika nn?Nithibitishe nini?
Huyu ndiye kiongozi wa ukweli kuwahi kutokea hapa Tanzania, hakika nchi inammiss mno.Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe.
Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
View attachment 2618627
January Makamba alivyo na hasira na Magu, yaani basi tu. Wewe ulitemwa kutokana na unafiki na wizi wa kijinga ulionao, na ndiyo maana sasa hivi unaiba kijinga kama hauna akili vile.Punguza ujinga alijitolea kitugani mwizi yule yeye nakichaa mwenzake mpina wavuvi tumeumizwa sana na majambazi haya mungu awachome moto usiozima milele
Cheti fekiMageuzi ya kijinga.
Upuuzi kama huu ni wa kupuuzwa!
Hakika nimeku-disqualify kabisaa!
Kwa nini wewe uliandika nn?
Majina utumika ku-represent nini?sijasema kitu chochote zaidi ya kuandika majina.
Majina utumika ku-represent nini?