Kilichobadilika ni nini? Wameruhusiwa mikutano ya hadhara? Ni rahisi sana kubomoa kuliko kujenga. Uharibifu uliosababishwa na awamu ya tano unakaribiana kwa kiasi na mauaji ya kimbari. Ndo maana mnalalamika akisimangwa.Nyie ndo huwa sababu, nimeamini. Ukute hata wewe humpendi ila unaogopa kumtukana wewe moja kwa moja unajidai kuanzisha mada za kuudhi ili Magu atukanwe.
Kama unampenda kweli, uwe mkweli usijidai zuzu kwamba hujui aliharibu kiasi gani ukuaji wa demokrasia. Wape break familia yake kwa kupunguza unafiki wako.