Magufuli ili TAZARA isife, ongea na China ili iunganishwe na Malawi kupitia Mbeya au Tunduma, na pia ipitie Morogoro na Iringa mjini!


Dona kantri haihitaji mchina kwenye hilo.

Tunakomaa wenyewe tu kwanza tochi hazina magunzi.
 
Mzee baba anafikiria namna ya kuipifikisha bahari ya Hindi na SGR chato kuiboost hifadhi bubu ya burigi chato(hifadhi ambayo watu wanapita kwa miguu)
 
Itafika Novemba 2021,bado asilimia 92.
Wapinzani walituchelewesha.
Nasema uwongo ndugu zangu
 
Major Gen.Nyirenda alisumbuliwa sana miaka 1986, aliondolewa kwa hisani ya Mzee Kaunda,hajatokea tena Gen.Manager kama Nyirenda,wazo la mtoa madam ni zuri mno,lifanyiwe kazi.
 
Tazara,na Urafiki ni miradi iliyoanzishwa kipindi Cha vita baridi,Kati ya mashariki na magharibi,sie turikimbilia kwa wajamaa,china,na Urusi,ndio wakatujengea hii miradi,sasa hv,haina tija kabisa,tulikuwa na viwanda vya nguo kibao,vyote vimekufa,kimebaki Urafiki ambacho china anakitumia kuingiza bidhaa zake bila Kodi,na inawezekana kinatumika kijasusi zaidi,ni kama front tu,lakini kinafanya Kazi zaidi za Siri,
Tazara imeishajifia haina faida kabisa
 
Sio kweli,kutoka Mpemba kupitia Ileje inawezekana na kutoka Mbeya Tukuyu pia inaweza maana survey ya reli ya Mbeya to Kiwira coal mine ilifanyika, kutoka hapo na kufika border haizidi 20km
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…