Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Siku moja akaja kwenye kikao akaulizwa unatoa kiasi gani kuinua hili eneo, alichodai kuwa yeye ni mwananchi wa kawaida hivyo atatoa kama wengine......


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Bongo ni maigizo kila idara

Pumbavu kbs hawa
 
Siku moja akaja kwenye kikao akaulizwa unatoa kiasi gani kuinua hili eneo, alichodai kuwa yeye ni mwananchi wa kawaida hivyo atatoa kama wengine......


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Bongo ni maigizo kila idara

Pumbavu kbs hawa
 
Nachelea kukosea.
Huu mpango wa maendeleo ya nchi nzima inaonekana kama kuna mahala nyeti ambapo kuna orodha nzima kuhusu maendeleo nikiwa namaanisha wamepanga kuboresha kila mahala ila kwa mpango maalum ambao upo kwenye hiyo orodha.
DMDP Dar: hii ni kampuni ambayo inahusika na kujenga miundombinu dar hawa jamaa wamepambana sana kujenga barabara za mitaa mkoani dar ingawa hawajamaliza lakini pongezi kwao.unaweza kujiuliza kwann wajenge barabara za mitaa na wakati kuna wilaya hazina barara ya lami hata moja alau ya kuunganisha wilaya na mkoa.
Je Tanzania tumeridhika na miundombinu ya mikoa na wilaya mpaka waanze kujenga barabara za mitaa dar? Jibu hapana na hapo ndo kunapokuja mawazo ya kua suala la maendeleo lipo mahala ambapo nikama mfumo wa alfabeti kwamba ikitoka A ije B C D.......
 
Mtoa mada nakukubali hakika umesema jambo kubwa sana, Magufuli kakosea sana kwa hilo.
 
Salaam wana JF...

Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.

Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.

Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-

1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.

-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.

Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.

Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.

Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.

ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.

Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.

Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).

-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli

Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.

Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?

UME FAIL....

Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.

Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.

Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.

- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.

Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;

Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?

Haya BUTIAMA je?

Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.

- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.

-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!

2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.

Aisee you're very WRONG.

Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.

Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.

Nakuhurumia sana.

Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.

Ni uongo mkubwa...

Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..

1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........

Mwana JF...

Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...

Comment hapa Chini.....
Ya mwisho hapo weka Mpwapwa
 
Inaskitisha kuwa kauli za kibaguzi zinatolewa katika mkoa ama eneo ambalo mwasisi wa Taifa hili alietuunganisha kuwa wamoja Julius Kambarage Nyerere amelala ..yaani ni sawa na kupiga kelele juu ya ubaguz ukihamasisha ubaguzi juu ya kaburi ya aliepiga vita ubaguzi..Hawa viongoz kama wananchi wataona ndyoo watafaa kupewa kura basi tutakua tumelogwa hakika nawambia ndugu zanguni tutakua tumelogwa!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Wananchi wenye Akili watachagua wabunge wenye connection na chama kilichopo madarakani. Mkitaka muyasikie maendeleo redion Basi chagueni watu wa kwenda kuzila na kuziba mask bungeni.


Magufuli ni mtu wa kusema ukweli hanaga chembe chembe yeyote ya unafiki kabisa hivyo Ni jukumu la Wana bunda kuchagua aidha waendelee na hao Wahuni ambao hawana waume ama wachague kiongozi Alie Bora akawaombee maendeleo ambayo ni haki yao kupata japo siyo lazima.
 
Ni mbaguzi toka ameanza siasa
Baada ya kuapishwa alikuja Chuga ambako hakupata kura nyingi akiwa kavalia kombati za JWTZ kuonesha msiyempenda kaja....katumia miaka mitano kutunyoosha, sasa ni zamu yetu kutumia walau siku moja tu kumyoosha....tukutane October 28.
 
Kila kitu hata kama ni kizuri kikiwa too much kitakinaisha.
Kingine hana washereheshaji. Mh Majaliwa na Mama Samia wako very cold. Polepole hana bashasha kwenye kuongea. Yeye Mh Rais anaweza kuwa charming lakini tatizo hakai kwenye script, ni sekunde moja tu anatoka nje ya script.

Ili kunusuru hizi kampeni lazima awarudishe kina Mzee Makamba na Kinana, Jakaya and Co wazunguke naye.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana JF...

Jana tarehe 04.09.2020 nikiwa nimetulia sehemu nilibahatika kufungulia TBC1 na kukuta kampeni za Dkt. Magufuli akiwa mkoani Mara.

Muda wa alasiri, alikuwa Bunda, badae akapita na kusimama Kiabakari, ni eneo la mnada wilayani Butiama.
Leo najua atakuwa na mkutano Musoma mjini.

Mambo niliyoshangaa kwa Dkt. Magufuli:-

1. Aliwaambia wananchi wa Bunda kwamba hakuwafanyia maendeleo yoyote, kwa sababu wao walichagua upinzani.

-Akawauliza "nyinyi hamjiulizi mko karibu na Ziwa lakini hamna maji?"
-Akawauliza "hamuoni wenzenu Lamadi (mpakani mwa Bunda, jimbo Busega) wana taa za barabarani, nyie hamna?!"
- Akawaambia, hata barabara nimeendeleza zinazowazunguka hapa nikawaruka.

Mwisho akaishia kuwaambia mnichagulie mbunge wa CCM, na madiwani wa CCM.

Nilishangaa hakueleza zaidi atawafanyia nn, ila aliwaahidi kuwa mkinichagulia mbunge wa CCM nitakuja kuwashukuru, na siku hiyo ndio ntakuja na mipango yote kuibadilisha Bunda.

Akawasisitiza wasichague maupinzani tena.

ETI HAWEZI KUACHA MTOTO WAKE, AKAMHUDUMIA WA JIRANI.

Nampa pole Dkt. Magufuli kwa haya na timu yake ya kampeni.

Inaelekea hajui vizuri watu wa Mara (hasa eneo la Bunda).

-Moja, sio watu wa kutishiwa vitu kabisa. Pole Dkt. Magufuli

Kwa hili, Bunda umepoteza.
Wale wamezoea kuishi na upinzani tangu Nyerere akiwa hai.

Unamtishia mwana Bunda (Mwikizu, Msizaki, Mzanaki, Mkurya, n.k) vitu?!!!! Eti ndio akuchague?

UME FAIL....

Hawakuchagui, watasema baki na taa zako za barabarani.

Wale ni kina LadyJaydee hawatishwi na hawapigi magoti.

Sijui huko usukumani labda wanapiga magoti.

- Mbili,
Ni uongo mkubwa kwamba Bunda haina maendeleo kisa kuwa upinzani.

Nikuulize leo upo Musoma mjini, ambayo ipo CCM awamu hii yako ya kwanza;

Mbona Musoma mjini imefubaa kuliko Bunda?, mji umepotea na biashara haziendi mpaka watu wameukimbia?! Mbona huko yupo mbunge wa CCM?

Haya BUTIAMA je?

Mbona siku zote wapo CCM. Tena wanapitaga bila kupingwa. Mbona BUTIAMA imechoka sana.

- BUTIAMA haina maji, lakini ipo CCM.
Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA kampuni yako ya Mayanga imeshindwa kujenga Barabara ya Butiama - Serengeti, na hela walilipwa, Mradi wa kumalizika 2015, mpaka leo umekufa.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

- BUTIAMA haina hospital ya maana, Haina sekondari ya maana, Haina soko la maana.

Mbunge CCM, Madiwani CCM.

ACHA HADAA, HAKUNA CHA CCM.

-HALAFU UNAJIITA KABISA RAIS WA MAENEO YA CCM TU.!!

2. AKIWA KIABAKARI.
Akiwa hapa alisema tatizo kubwa la Jimbo la BUTIAMA, ni ukabila.

Aisee you're very WRONG.

Butiama haina ukabila kabisa.
Ndio maana hata ulivyosema hivyo niliona kila mtu ananyamaza.

Sijui ulimaanishi nini. Ila umedanganywa pakubwa, matatizo ya BUTIAMA ni mengine kabisa.

Nakuhurumia sana.

Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.

Ni uongo mkubwa...

Haya ni majimbo ambayo yapo CCM, lakini ni maskini vibaya sana..

1. BUTIAMA
2. BUKOMBE
3. BUSEGA
4. MANYONI
5. MUSOMA VIJIJINI
6. KIBITI
7. RUFIJI
8. MKURANGA
9. MVOMERO
10. UKONGA
11. KAKONKO
12. MAGU
13. IRAMBA
14. MAKETE
15. NEWALA
16. MTAMA
17. KIVUU
18. SUMBAWANGA
19. NZEGA KASKAZINI
20. NZEGA KUSINI
21. SENGEREMA
22. CHATO
23. LONGIDO
24...........

Mwana JF...

Taja MAJIMBO mengine yaliyopo CCM lakini ni maskini vibaya mno...

Comment hapa Chini.....
Campaign team yake imsaidie!!This time anashindana na Mwanasheria na si mwanansheria tu lakini anayependa kusoma.Tume ya uchaguzi imsaidie ili mwishowe isipate shida
 
Ukweli ni kwamba Magufuli amepwaya mno kwenye hizi kampeni 2020.
Nilishasema huyu Jiwe anaweza akaishia njiani. Ameshaanza kuhubiri chuki badala ya kunadi sera. Kinachofuata ni matusi kisha kuanza kucheza rafu.

Jiwe siasa haziwezi na hivi sasa ataanza kujionyesha wazi kuwa hana asili ya Tanz. Huwezi kukusanya kodo toka kwa wapiga kura kisha urudi kuwakejeli namna ile. Ataanguka jukwaani kwa jazba.
 
Kingine hana washereheshaji. Mh Majaliwa na Mama Samia wako very cold. Polepole hana bashasha kwenye kuongea. Yeye Mh Rais anaweza kuwa charming lakini tatizo hakai kwenye script, ni sekunde moja tu anatoka nje ya script.

Ili kunusuru hizi kampeni lazima awarudishe kina Mzee Makamba na Kinana, Jakaya and Co wazunguke naye.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Hata hao unaosagesti warudishwe wanakinaisha sababu muda wao ulishapita....wasanii wenyewe hawavutii.

Mtu pekee wa kuzinusuru kampeni za Magu ni Lissu.
 
Back
Top Bottom