kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #101
Hiyo mifumo kwa nchi yetu ni migumu wala haitosaidia chochote kwa kuwa kila raisi aingie ana madaraka makubwa bado anaweza akaifumua na akafanya mambo kwa utashi wake!Kiongozi hili bandiko lako linaonyesha changamoto tuliyonayo ya kuamini kwenye utashi binafsi badala ya kujenga mifumo ambayo itatuongoza wote leo na kesho.
Na hata angekuja MALAIKA, utaratibu na mazingira ya utawala yaliyopo..hatuwezi kutoboa!
Polepole alishindwa uongozi akiwa kwenye kiti leo anataka afundishe wengine akiwa darasani!
Baada ya hapo chadema iliingia madarakani!Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika.
Na ni afadhali yule aliyekimbilia mamtoni kwenda kushikishwa ukuta na wazunguToeni hapa UPUUZI.
Afadhali WASIOJULIKANA na VIROBA VYA MAITI
COCO BEACH havipo tena.
MUNGU NI MWEMA SANA!!!
Baada ya hapo chadema iliingia madarakani!
Ni mtazamo tu lini nchi ilikuwa haina amani!Nchi imerejea kwenye amani ya wastani.
KabisaMwezi marchi ni kimbukizi ya shujaa wetu mwana wa africa!
Waliosema nchi inapumua, ooh wasiojulikana wametoweka ndio wanalalama tena.Mwezi marchi ni kimbukizi ya shujaa wetu mwana wa africa!
Sukuma Gang, ilifia wapi???The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.
Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.
Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.
Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.
Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.
Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana
Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.
Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.
NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.
Tunawakumbuka daima!
Nadharia kamq nadharia nyingine!Sukuma Gang, ilifia wapi???
Wanafiki hawajahi kwisha ulimwenguni!Waliosema nchi inapumua, ooh wasiojulikana wametoweka ndio wanalalama tena.
Hakika!Kabisa
RIP JPM
Shujaa wako na familia yako kipara kizee?Mwezi marchi ni kimbukizi ya shujaa wetu mwana wa africa!