Magufuli lala kwa Amani, kazi tunaiona kabla hata ya mwaka nusu

Magufuli lala kwa Amani, kazi tunaiona kabla hata ya mwaka nusu

Baba we nenda tuuu ,mama huku ametupiga na kitu kizitto kichwani ata tumepoteana hatujui tushike lipi tuache lipi kweli yatima hadeki.
 
The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.

Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.

Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.

Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.

Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana

Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.

Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.

NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.

Tunawakumbuka daima!

Mama wa Kanguye bado anamlilia mwanae ,Mtoto wa ben saa nane anamlilia baba yake,Mke wa Azory bado anamtafuta mmewe ,Ndugu wa Rwajabe bado hawaamini ripoti ya Mambosasa!!
 
Tatizo biashara kubwa zote za nchi hii zipo chini ya wanasiasa ndo maana wanajifanyia chochote wanachotaka.
 
Mkuu, twende Mbele na Kurudi Nyuma
Kwa Matendo ya Kishetani ya Mzee Mwendakuzimu, kama wewe Ungekuwa Maulana, ungemtupia wapi ?
Sio huyo aliyesema dhambi zako zikiwa nyekundu zitakuwa nyeupe
na zikiwa nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama sufu.
au amepiga u-turn nakurud kama alivyokuwa Mungu wa visasi wa agano la kale
au Kuna Mungu mwingine utujuze?
 
The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.

Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.

Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.

Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.

Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana

Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.

Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.

NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.

Tunawakumbuka daima!

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika.
 
Sio huyo aliyesema dhambi zako zikiwa nyekundu zitakuwa nyeupe
na zikiwa nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama sufu.
au amepiga u-turn nakurud kama alivyokuwa Mungu wa visasi wa agano la kale
au Kuna Mungu mwingine utujuze?
Huyo Huyo aliyesema ukimkufuru Roho wake Matakatifu, basi utakuwa umejikatia ticket ya Motoni
 
The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.

Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.

Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.

Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.

Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana

Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.

Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.

NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.

Tunawakumbuka daima!
Kiongozi hili bandiko lako linaonyesha changamoto tuliyonayo ya kuamini kwenye utashi binafsi badala ya kujenga mifumo ambayo itatuongoza wote leo na kesho.

Na hata angekuja MALAIKA, utaratibu na mazingira ya utawala yaliyopo..hatuwezi kutoboa!

Polepole alishindwa uongozi akiwa kwenye kiti leo anataka afundishe wengine akiwa darasani!
 
Kiongozi hili bandiko lako linaonyesha changamoto tuliyonayo ya kuamini kwenye utashi binafsi badala ya kujenga mifumo ambayo itatuongoza wote leo na kesho.

Na hata angekuja MALAIKA, utaratibu na mazingira ya utawala yaliyopo..hatuwezi kutoboa!

Polepole alishindwa uongozi akiwa kwenye kiti leo anataka afundishe wengine akiwa darasani!
Hiyo mifumo wanaiongoza misukule?
mifumo imara ni matokeo ya watu imara
sio vice versa hiyo mifumo itakuwa imara watu watanunuliwa kama hao kina halima.
Magufuli alikuwa imara sana
 
Back
Top Bottom