greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Baba we nenda tuuu ,mama huku ametupiga na kitu kizitto kichwani ata tumepoteana hatujui tushike lipi tuache lipi kweli yatima hadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nani kabisha mkuu!Hebu acha nongwa, mama anaupiga mwingi...anafungua uchumi na kuitangaza nchi kimataifa...unga mkono juhudi za chama
The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.
Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.
Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.
Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.
Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.
Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana
Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.
Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.
NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.
Tunawakumbuka daima!
Ongeza na familia ya chacha wangwe!Mama wa Kanguye bado anamlilia mwanae ,Mtoto wa ben saa nane anamlilia baba yake,Mke wa Azory bado anamtafuta mmewe ,Ndugu wa Rwajabe bado hawaamini ripoti ya Mambosasa!!
Ongeza na familia ya chacha wangwe!
HahahahahahahajajaNchi inaongozwa na chadema kwanini tusipoteane!
Mkuu, twende Mbele na Kurudi NyumaMungu ndie ajuaye sio wewe mwanaadamu!
Naam, Kama ambavyo wengi tunaishukuru Sana Covid-19 kutuondolea balaahatuwezi fanana kuona mkuu.. kila mtu aheashimu hisia na machaguzi ya mwingine ndio uungwana
Nimeumbwa Kwa Sura na Mfano wa MunguWewe sio Mungu
Sio huyo aliyesema dhambi zako zikiwa nyekundu zitakuwa nyeupeMkuu, twende Mbele na Kurudi Nyuma
Kwa Matendo ya Kishetani ya Mzee Mwendakuzimu, kama wewe Ungekuwa Maulana, ungemtupia wapi ?
Amina Amina, Natumai hii Dua Maulana ataipokea, tena Moto wa GasElitwege yule mjombaako tunatamani awe anakufa huko aliko anafufuka anapelekewa Moto alafu anakufa Tena akifufuka Moto yaan kuni tuu..
The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.
Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.
Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.
Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.
Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.
Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana
Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.
Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.
NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.
Tunawakumbuka daima!
Huyo Huyo aliyesema ukimkufuru Roho wake Matakatifu, basi utakuwa umejikatia ticket ya MotoniSio huyo aliyesema dhambi zako zikiwa nyekundu zitakuwa nyeupe
na zikiwa nyekundu kama bendera zitakuwa nyeupe kama sufu.
au amepiga u-turn nakurud kama alivyokuwa Mungu wa visasi wa agano la kale
au Kuna Mungu mwingine utujuze?
Kwa Kipekee sanaaaa, tulishukuru Sana Dude Covid-19 kwa kucheza kama FinsisherTunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika.
Ni huyo huyo ndie anasamehe dhambi zote?Huyo Huyo aliyesema ukimkufuru Roho wake Matakatifu, basi utakuwa umejikatia ticket ya Motoni
Kiongozi hili bandiko lako linaonyesha changamoto tuliyonayo ya kuamini kwenye utashi binafsi badala ya kujenga mifumo ambayo itatuongoza wote leo na kesho.The best ever one man army John Joseph Pombe Magufuli ulale kwa amani, uliona mbali kwa kutokucheka na kima hilo lilisababisha kupewa majina mabaya ya kuudhi ila leo kazi tunaiona hata kabla ya mwezi na nusu wale watu uliokuwa ukiishi nao wamebadilika labda kikubwa ni sherehe za mwenge kwenda kuzimiwa huko chato.
Mzee baba nchi inalia kukupoteza leo hii Membe anakushambulia ukiwa haupo wala huwezi kumjibu ila atajibiwa na Mungu leo hii yule uliyemsaidia kupita bila kupingwa eti nae anataka ukaguzi kwenye mikopo, Yule askofu sijui nani yule wa Chadema anakusema ulikufa kwa uviko wakati si kweli.
Mama nae anaishi mwezini kila baada ya mwezi anabeba group la watu kwenda nalo huko mwezini kwenye ziara za kutia hasara ambazo kipindi chako ulimtuma yeye.
Baba january anatuletea makampuni na ile mikataba ya kina karl peter wakati alitakiwa aelekeze nguvu bwawa la Nyerere.
Huyo job uliyemuamini hata kabla ya arobaini alikugeuka na kutaka mradi wa bandari ya Bagamoyo.
Mwanao pole pole bado anaendeleza mapambano lakini muda wowote atapigwa Tko, kaka Bashiru kakurwa sijui yu wapi tulipigwa wimbi moja tu wote tukapoteana
Soko letu la kale pale Kariakoo liliungua moto linajengwa upya, ndege bado tunaendelea kuzipokea.
Lala baba kizazi kitakukumbuka daima alama uliyoiwacha haitapotea. Itadumu milele.
NURU YA MILELE IKUANGAZIE
Msalime komredi mwalimu, komredi Mugabe, Komredi mao, komredi Mobuto, Komredi kwame, Samora, Mandela, castro, guevara na wenginio.
Tunawakumbuka daima!
Hiyo mifumo wanaiongoza misukule?Kiongozi hili bandiko lako linaonyesha changamoto tuliyonayo ya kuamini kwenye utashi binafsi badala ya kujenga mifumo ambayo itatuongoza wote leo na kesho.
Na hata angekuja MALAIKA, utaratibu na mazingira ya utawala yaliyopo..hatuwezi kutoboa!
Polepole alishindwa uongozi akiwa kwenye kiti leo anataka afundishe wengine akiwa darasani!
Ni Mawazo yako nayaheshimu.Hiyo mifumo wanaiongoza misukule?
mifumo imara ni matokeo ya watu imara
sio vice versa hiyo mifumo itakuwa imara watu watanunuliwa kama hao kina halima.
Magufuli alikuwa imara sana