Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Tanzania kiingereza ni lugha maalumu na hata kwenye maofisi hutumika kiingereza na zaidi mikataba yote hua inakua kwa kiingereza sasa ni shida kwa mfano niliwahi hudhuria presentation mbili za Uhuru Kenyatta jamaa hachoshi na anajenga hoja thabiti kwa lugha ya kiingereza
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.
Can you share some examples of when she was a catalyst who brought groups with polarized opinions together so that all voices were at the table?
 
Tanzania Kiingereza ni tatizo la kitaifa. Tell us something we don't know.

What you are choosing now is between Pwagu and Pwaguzi. The devil and the deep blue sea.

hahaha kiranga ,you so funny! The devil and the deep blue sea
 
Hawa wanaong'ang'ana ni wale huwa tunawaita Arts Pure.Huwa husoma masomo na hukuzania sana Kıswahl,Kıingere na Uraia.Wengi wao huwa hawana uwezo wa kutosha kıakili.Magufuli nı mwanasayansi na PhD yake n ya Chemistry,hana haja ya ngwine zenu,ıla kıchwa ni full charged.
 
seminari ukitoka kabla ya kuhitimu ni mawili tu. UMEFUKUZWA KWA TABIA CHAFU AU UMEFELI MASOMO. Sasa chambua je alifeli? Sidhani maana kukariri ni sehemu ya kushinda mtihani. Tabia chafu?? MMH. Hata leo ana tabia chafu.

HATUTAKI PRESIDA MWENYE TABIA CHAFU TENA.
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.



Mhhhh,,,,,,pale ndo Hamna kitu kabisa,,,,,,kumpa yule mama bora Dovutwa awe rais
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Sasa hii kali, wewe mwenyewe hujielewi,halafu unatushauri tuchague.... acha uhuni isee
 
Mdahalo wa Wagombea Uendeshe kwa Kiingereza tutajua hatma yetu mbeleni, Maana ndo nagundua sasa kwanini kila mara wakandarasi wamekuwa wakilipwa penalt na fine mbalimbali kwenye mikataba ya kandarasi mbalimbali chini ya magufuli
 
Mwenye historia yamagufuli atupie hapa.nimekumbuka rafael the observer enzi hizo.
 
Kwa sababu ni tatizo la taifa.

Sasa hivi hata ukitaka rais anayejua kiingereza cha yai kati ya hao wawili ulionao huna.

Lowassa anasema "our people are more poorer", Magufuli anaongea kiingereza cha Malampaka.

Kwa hiyo hata kiingereza kingekuwa priority, huna uchaguzi, kwa sababu ni tatizo la kitaifa.

Kuanzia presidential candidates mpaka housegirls.

Na utabeza umuhimu wa kiingwreza mpaka hapo rais wako atakapoenda Davos na mkalimani na kupoteza deals jwa kuwa kitu kimekuwa lost in translation.

Au kufanya gaffe itakayotufanya tuwe laughingstock of the world.

Hata kama kingekuwa kigezo basi ungemchagua mwenye uafadhali, ambaye ni huyo mwenye "more poorer" kuliko huyo mwenye "congregation"
 
Sisi tuliopita seminari ndo twajua siri ya uko kama hujui acha kugesi.
Kule unaweza sepeshwa kwa kitu kidogo sana.
Mfano ata ukikutwa unasoma usiku baada ya mda wa kujisomea kuisha au kuchelewa kanisani.
Kumbuka si kila afukuzwae uko ni kwa kosa fornication au below wastani LA hasha kuna mengi sana.
 
mwaka huu tusidanganyane si ukawa si ccm kati ya hivyo vyama viwili hakuna mgombea maridadi kwenye kuzungumza hayupo? Ikifikia hatua watu wanapiga pish up ili hali watu maelfu wamejumuika wawasikie watawafanyia nini basi ujue kuna walakini huku ukawa nako wetu hawezi zungumza hata kwa nusu saa na anatafuna maneno si mchezo kwenye suala la kujieleza wote hawapo sawa kabisa
Manufacturing of teachers
 
Usiwe lofa wewe siku hizi teknolojia imekuwa unaweza kuongea hata kisukuma watu wakakuelewa kwa kiingereza mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki? Hakuna issues ya msingi ya kujadili hapa.leteni mambo ya maana siyo huu upuuzi wa kuongea English.

povu linakutoka na vipi kuhusu Kuwait na Sadam Hussein? ni dhahiri huyu mtu IQ yake ni ndogo mno
 
Akili za kijinga hizi.mbona wajapani wanapata PhD zao na kiingereza hawajui na mkiwaona mnawasifia? Pumbavu sana.

Kwani wajapani walisoma kwa kiingereza hiyo elimu yao? Poor reasoning huyu kiingereza ndo lugha aliyoisomea digrii zote 3
 
Kama hajui English ni advantage kwetu Tz safari za nje vitapungua uko wanaenda akina Migiro kumwakilisha.
Ila speech za raisi si huwa zaandikwa pale alikuwa akitoa kichwani izi za kuanikwa kama mseminari atazimudu tuu hasa inapokuwa ndefu atamudu akisimama mda mrefu
 
Eleza hoja sio kuongea kitu ambacho huna uhakika nacho........mtakuja kutigotishwa xk moja
 
Hawa wanaong'ang'ana ni wale huwa tunawaita Arts Pure.Huwa husoma masomo na hukuzania sana Kıswahl,Kıingere na Uraia.Wengi wao huwa hawana uwezo wa kutosha kıakili.Magufuli nı mwanasayansi na PhD yake n ya Chemistry,hana haja ya ngwine zenu,ıla kıchwa ni full charged.

teh teh cha kusema sijui Saadam Hussein na Kuwait mkuu? au science huwa hawasomi (G.S)?
 
usitudanganye
hukumuelewa magufuli?????...ILE SIO LUGHA YA MAMA KWA HIYO ALIVYOIVUNJA VUNJA poa tu kwa kuwa alichosema kimeeleweka
ila aibu kwa mbali............
Kwa kweli kaivunjavunja Lugha ya Malkia..PHD holder hajui hata Saddam Hussein alikuwa Rais wa wapi
 
Back
Top Bottom