Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Wewe! tulia upakatwe acha kutapatapa. Magufuli yuko vizuri sana. halafu ngeri sio kigezo. tunachagua Rais wa Tanzania na sio rais wa ughaibuni. plz kuwa muelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Magufuli si lugha tu hata uelewawake wa msmbo kwa jumla unatia hka
[/QUOTE]QUOTE=;14126205]
"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."
"Simple and clear is only congregations to you.."
"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.
Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?
Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?
Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"
LINGANISHA NA MGOMBEA WA UKAWA MHESHIMIWA LOWASA.
Sasa mkuu hapa umeandika nini?
NisahihisheSasa mkuu hapa umeandika nini?
Nasikia eti baada ya kuhutubia hapo ikawa zamu yao hao wazungu kuhutubia na yeye akawa mtafsiri. Walipomaliza wakawaaga wananchi Bye! Bye! Na yeye akawatafsiria Nunua! Nunua!
Ni kweli, ila ishu ya hapa ni je doctorate yake aliipata kwa lugha gani? maana haiwezekani kama mtu uko sawa ukasoma mpaka Phd kwa lugha ya kizungu alafu sentence rahisi tu ya kizungu ukashindwa unga! Hapa ni kwamba eidha mtu haufundishiki au ulikuwa haufiki darasani ila umepitishwa tu na kupewa elimu uliyonayo, haukuitafuta!
Yaani nilisikiza ile clip anayosema -'' I am poritishians... I don't want to take this eehh!!! This time as saying so many poritical words, simple and crear is only I congrugation to you, to the University corumbi.... you... Corumbia University for good assistance we are getting to this hospital.. '' Huyo ni mwalimu wa secondary, na PhD holder. Sipati picha wanafunzi wake..
Magufuli ni mtu wa Kemia na mathematics, matumizi yake ya kiingereza yako limited katika kubalance equations, tests, na vitu related. Pia, Magufuli sio Muingereza, Ni Mtanzania aliekulia na kusomea Tanzania katika shule za kawaida. Hadhira yake katika siasa kwa kiasi kikubwa imekuwa ya Watanzania, sasa kuna umuhimu gani wa yeye kukijua kiingereza kama anaotarajiwa kuwasiliana nao ni watu wasiokijua kiingereza. Tunahitaji kumuelewa anachozungumza na si kusikilizwa na wazungu hasa katika kipindi hiki ambapo tumejidhatiti katika kupunguza utegemezi wa misaada ya hao wenye kiingereza chao. Issue ya kushangaza, ni mtu wa arts asieweza kuongea kiingereza kwa nadhani hilo ndilo la msingi.
Asante, nimekuelewa vizuri.
Mimi nilihoji tu, ila NIMESHAMPIMA KWA VIGEZO VYANGU na kapita with flying colors, ndiye mwenye kura yangu tarehe 25.10.2015.
Yaan hii ni aibu sana pombe hajui kiingereza mm nimeleta hapa uzi kuhusu kingereza cha pombe magamba wakabisha.
Tena wengine wakasema eti pombe atauwa anatembea na mkalimani. Hiyo bajeti itatoka wapi?
Mjionee bandugu pombe ni aibu
Magufuli ni msomi aso na shaka, inawezekana hata darasani somo la lugha lilimpiga chenga maana hata ukisikiliza anapozungumza kiswahili ni dhahiri(anafikiri) anatafsiri toka kikwao, raisi wa japan hajui kingereza, hata putin hajui kingereza, na lugha sio kigezo cha weledi wa uongozi, uongozi hauna lugha ni karama toka kwa muumba, kama kuna wasiwasi na usomi wake ulinganishwe na wakemia wenzake, watoeni popote ulimwenguni uwafanyie majaribio uone -HAPA KAZI TU.
[/QUOTE]QUOTE=;14126205]
"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."
"Simple and clear is only congregations to you.."
"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..
Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.
Kwa kuwa alisoma katika mfumo wa lugha ya Kiingereza, na Katiba ya nchi inahitaji awe na kiwango sahihi cha elimu, huyu jamaa anayo hiyo elimu?
Kwa harufu ya degree za magumashi, ni dhahri alipishana na wahadhari mlangoni. Kwa mtino huu bado anasifa ya kugombea hata ubunge?
Unapochangia, ulinganishe na "SADDAM wa LiBYA/KUWAIT"
LINGANISHA NA MGOMBEA WA UKAWA MHESHIMIWA LOWASA.