Magufuli: Mimi ndio Rais, ninajua siri zote za nchi

Magufuli: Mimi ndio Rais, ninajua siri zote za nchi

HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Kwani ujane bado hujauzowea?
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu


Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241].

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24],MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA[emoji1241]

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
JPM ni Mwamba wa Afrika wa Kweli
 
Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Ufisadi huu utaishi milele na utarejewa na vizazi vijavyo.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2041697View attachment 2041698View attachment 2041702View attachment 2041699
Nonsense!!.
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu


Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241].

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24],MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA[emoji1241]

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA

Kama Kweli Alikuwa Anaipenda Nchi Hii Asinge Kubali Kutumia Katiba Chakavu

Raisi Atakae Ipenda Tanzania Ni Yule Atakaye Ipatia Katiba Mpya Na Sio Mikelele Ya Kulia Lia
 
Magufuli ni Rais aliyekuwa na stress zake nyingi tu,bahati mbaya CCM/taifa likashindwa kuchanga karata zake vizuri mara Magufuli akawa raisi

Yaani mtu wa kijijini huko anayeendesha baisikeli Aina baiskeli Aina ya Avon/Hamilton,ukampa aendeshe Tesla/Ferrari.

Magufuli alikuwa kiongozi mzuri tena mchapa kazi ila hakustahili kuwa Rais,viatu vya urais vilimpwaya mno mwanachato yule

Usiku mwema.
 
M
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Mkuu, kunawatu wanatamani kupiga marufuku hotubazake ama kuziondoa kabisa zisisikike popote lakini ndiohivyotena haiwezekani.

Wewaache wa rukeruke 25 sio mbali tutaelewanatu.
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Kwa nchi za Kiafrika,hata ukiweka chizi Ikulu,ataonekana ana akili kama Profesa na mwenye busara kama nabii Suleiman.
JPM alikuwa mwizi kama majizi mengine yaliopo sasa hv
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu


Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241].

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24],MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA[emoji1241]

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA

Rest In Power JPM

Umetufumbua macho kwa mambo mengi sana

Rest In Power JPM
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?

Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Mwachieni JPM apumzike kwa amani, huu sasa ni uchuro.
 
Achana na huu utopolo huu, unajua kunawatu wanadhani watanzania hawajui nani alietufanyia mema na mabaya.
Muda utaongea.

Mkuu watanzania ni spectrum kubwa:

1. Kuna 8m+ chadema hao.
2. Kuna kina Moses Lijenje, Azory, Adamoo, Ling'wenya, Urio, Mhina nk ndugu, jamaa na marafiki zao pia.
3. Kuna kina Bulembo, Nape, Kinana, Membe, Makamba nk ndugu, jamaa na marafiki zao pia.
4. Kuna kina Diallo ndugu, jamaa na marafiki zao.
5. Waliobambikiziwa kesi, hukumu hadi vifo, wakiwamo ndugu, jamaa na marafiki zao.
6. Nk.

Kuwaambia hao muda kusema? Watakwambia muda upi wakati wamenusurika kutokea kwenye mdomo wa mamba?
 
tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
mjlol.png

Aache Ufala.
 
Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Ufisadi huu utaishi milele na utarejewa na vizazi vijavyo.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2041697View attachment 2041698View attachment 2041702View attachment 2041699
Mnatia hasira, yaani mumue Dkt Magufuli na bado muendelee kutukebehi, subirini. Ni bora kazi za Dkt Magufuli zinaonekana, hata ninyi mnaziona na mna kiri.
 
Mnatia hasira, yaani mumue Dkt Magufuli na bado muendelee kutukebehi, subirini. Ni bora kazi za Dkt Magufuli zinaonekana, hata ninyi mnaziona na mna kiri.
Tokea lini ripoti ya CAG ikawa ni kebehi?Umechanganyikiwa?
 
Back
Top Bottom