Magufuli: Mimi ndio Rais, ninajua siri zote za nchi

Magufuli: Mimi ndio Rais, ninajua siri zote za nchi

Fatma

Ilikuwa nikupe complimentary ya LIKE

ILA kuna chizi umemtaja hapo kwenye aya yako ya Mwisho…..

Hayo mambo ya Hovyo ya JPM ndiyo sababu iliyochangia tabaka la chini kumpenda…


Mutu yenye maamuzi, Mutu yenye msimamo!

Achana na hao mbilimbili wengine,

the guy was really not fake like Chinese handset!

Thanks!
Unataka awaze kama wewe unavyo taka?
 
Ni kweli kila binadamu ana mapungufu yake ila mimi kwenye suala la Corona nitamkumbuka daima na taifa linatakiwa limuheshimu kwa kutuvusha salama kwenye propaganda ile yenye lengo la kudhoofisha uchumi.
 
Huu uzi umejaa mijizi na watu wanaongalia matumbo yao waliumizwa awamu iliyopita na magufuli ndo maana hawatakubali hilo.
 
Kama aliona tumechezewa, aliwachukulia hatua gani hao waliotuchezea? Ukiona kiongozi analinda uozo alioukuta ujue na yeye ana mpango wa kufanya uozo wake. Anawalinda waliopita ili na yeye alindwe akimaliza muda wake.
 
Gwajima kasema Kuna watu mashuhuri 15 atawafufua mwisho wa mwezi huu!!

lolote tutegemee wakuu!
Akimfufua na Magufuli, atakufa tena ndani ya dakika 5 tu baada ya kuona tulivyopindua ujinga wake juu chini
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?

Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Huyu jamaa alikuwa na roho mbaya sana.Makato ya juu bodi ya mikopo,kawafukuza kazi walimu waliotufundisha
 
Mwendazake alikuwa na uwezo tu wa kusema chochote alichotaka kusema, lakini hakuwa na uwezo wa kutenda kadri ya kauli zake, mifano ipo mingi:
1.Alisema Maendeleo hayana chama, Lakini huyohuyo akasema hatopeleka maji wala umeme walipochagua mpinzani
2.Katika hotuba zake alikuwa akiwahamasisha wananchi kuungana na kuwa kitu kimoja kupigania nchi yetu lakini yeye mwenyewe aliwagawa na kuwabagua wananchi waziwazi kabisa kwa misingi ya ukabila, ukanda na itikadi za kisiasa.
3.Alihubiri kupambana na ufisadi wakati yeye manunuzi aliyofanya kwa fedha za wananchi akagoma yasikaguliwe, tutajuwaje kama chenchi yetu ilobakia ilirudishwa hazina?
4. Wapi 1,5 trilion? Hivi huku nako sio kuchezewa???
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?

Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRI
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?

Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Endelea kupumzika kwa amani Jiwe, Chuma, Mzalendo halisi w Taifa letu Tajiri.
Daima utakumbukwa hata wasiokupenda leo, vyumbani mwao wanakukumbuka.
 
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO

Nanukuu

Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.

Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?

Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.

Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?

Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿

PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Na kweli alizikwa kaburini
 
[emoji16][emoji16]
20211212_091430.jpg
 
Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Ufisadi huu utaishi milele na utarejewa na vizazi vijavyo.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2041697View attachment 2041698View attachment 2041702View attachment 2041699
Ni kawaida kwa cheti fake kupunguzia hasira kwa kumponda mwanaume wa shoka
 
Back
Top Bottom