Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nonsense ni kumwita fisadi wa TZS 1.5 trilioni kuwa ni shujaa wa Afrika🐒🐒🐒Nonsense!!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense ni kumwita fisadi wa TZS 1.5 trilioni kuwa ni shujaa wa Afrika🐒🐒🐒Nonsense!!.
Mama awe makini saiz wanampamba kama ilivyokuwa kwa Magufuli lakini akiondoka watamsema hivi hiviHuyu mzee ana laana na kalaaniwa. Yaani ni moja ya majizi na mafisadi makubwa. Tunaamini Mama atayaona na kuyaweka mbali. Kuwa campaign manager wa Dkt Magufuli haikumfanya amvumilie kwa kuiiba mali za chama. Watu kama hawa hawana faida kwenye taifa, ni bora asingezaliwa. Polepole alichokiongea hakihusiani na alichokisema. Pia inaonekana CCM ni chama cha wachache hata Mama wanamhesabu ni mtu wa kuja! So Mama awe makini hawa wauaji maana kauli za bulembo na nape zinaashiria wana hasira na watu wa kuja.
Ni kweli, Mama afanye anachokiamini na akemee huu upumbavu wa kumlinganisha na awamu ya Dkt Magufuli. Tena ningefurahi kama angetokeza kukemea hawa akina BulemboMama awe makini saiz wanampamba kama ilivyokuwa kwa Magufuli lakini akiondoka watamsema hivi hivi
Saiz wanamsifu wanasema mama anafungua inchi
Magufuli walimsifu kuwa anajenga inchi.!
Asimkemee polepole anayemdharau waziwazi ndo aende kumkemea Bulembo?Ni kweli, Mama afanye anachokiamini na akemee huu upumbavu wa kumlinganisha na awamu ya Dkt Magufuli. Tena ningefurahi kama angetokeza kukemea hawa akina Bulembo
Mhuni aloyeasisi Uhuni ambaye Kwa SASA Yuko JehanamuHOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?
Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! [emoji1241] Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! [emoji1241] Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu[emoji21] [emoji1241]. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania [emoji1241].
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji24][emoji24][emoji24],MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA[emoji1241]
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?
Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Magufuli alikuwa MWONGO na mwizi mkubwa. Alitumia umbumbumbu wa Watanzania na kuwaita wanyonge na yeye ndiye mtetezi waoJPM aliipenda nchi hii sana na alitamani kuona inasonga mbele ndio maana alifanya kazi kwa bidii kubwa sana
Gwajima kasema Kuna watu mashuhuri 15 atawafufua mwisho wa mwezi huu!!JPM aliipenda nchi hii sana na alitamani kuona inasonga mbele ndio maana alifanya kazi kwa bidii kubwa sana
Khaaa
Aliibia nini jamii yakoMagufuli alikuwa MWONGO na mwizi mkubwa. Alitumia umbumbumbu wa Watanzania na kuwaita wanyonge na yeye ndiye mtetezi wao
😂😂😂😂😂Huyu mzee lazima angaliwe kwa jicho la mbali sana anaaza kumnanga bashiru na polepole anajihami mapema maana Bashiru ana siri nyingi sana za mafisadi wa mali za ccm na waliojimilikisha mali za ccm wanawajuwa kwa majina maana bashiru alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kukagua mali za ccm ndo maana wanawaandama sana tuwe makini watz na hawa watu
Kwan akihutubia hiyo mikutano mikubwa, Tanzania 🇹🇿 inafaidika vipi? Masikini baba babu mtt dada kaka kule kijiji kasuli au kikelelwa ataletea maji au umeme, kod zitapungua...
Toka alipozungumza haya hakuwa kuonekana tena hadharani mpaka leoHOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii.l,nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja,tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!?
Ndio maana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje,mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,?sababu ya maisha yangu,!?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue. ..??? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida,kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi,ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA,SHUJAA,
SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Alikuwa katili snPamoja na nia njema ya Mzee Magufuli sijui kwanini alifanya haya
1. Kutokemea vitendo vya watu kupotea na kuuwawa
2. Kutoongeza maslahi kwa watumishi wa umma
3. Kubariki biashara ya kununua wanasiasa wa upinzani
4. Kuzungumza lugha za kibaguzi kwa watu waliopata tetemeko Kagera, kuzungumza lugha ya kibaguzi kwa waliovunjiwa nyumba zao
5. Kuita trafic police kunywa nao chai ikulu ile siku meli imezama kule Ukerewe na Taifa liko katika msiba na wala hakuwahi kwenda kule
Orodha ni ndefu
Ila alijitahidi kwa kiasi chake
Bashiru ni takataka ashughulikiwe vizuriHuyu mzee lazima angaliwe kwa jicho la mbali sana anaaza kumnanga bashiru na polepole anajihami mapema maana Bashiru ana siri nyingi sana za mafisadi wa mali za ccm na waliojimilikisha mali za ccm wanawajuwa kwa majina maana bashiru alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kukagua mali za ccm ndo maana wanawaandama sana tuwe makini watz na hawa watu
Kwan akihutubia hiyo mikutano mikubwa, Tanzania 🇹🇿 inafaidika vipi? Masikini baba babu mtt dada kaka kule kijiji kasuli au kikelelwa ataletea maji au umeme, kod zitapungua...