ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unataka awaze kama wewe unavyo taka?Fatma
Ilikuwa nikupe complimentary ya LIKE
ILA kuna chizi umemtaja hapo kwenye aya yako ya Mwisho…..
Hayo mambo ya Hovyo ya JPM ndiyo sababu iliyochangia tabaka la chini kumpenda…
Mutu yenye maamuzi, Mutu yenye msimamo!
Achana na hao mbilimbili wengine,
the guy was really not fake like Chinese handset!
Thanks!
Wananchi wanahitaji maendeleo, maji umeme na miundombinu ,hawahitaji eti wa mjini na mjanja na eti anaongea sana na wazunguChama cha kifamilia
Magufuli mwenyewe alikuwa mshamba tu kotoka huko bara. Alitaka kupora chama cha wenyewe akatulizwa
Akimfufua na Magufuli, atakufa tena ndani ya dakika 5 tu baada ya kuona tulivyopindua ujinga wake juu chiniGwajima kasema Kuna watu mashuhuri 15 atawafufua mwisho wa mwezi huu!!
lolote tutegemee wakuu!
Alikwiba Tsh 2.4 Trillion kwa mujibu wa CAG REPORT ya 2016-18. Kama huelewi hapa hili siyo JUKWAA lako, nenda chit chatAliibia nini jamii yako
Ahahaha, mkuu nimecheka sanaAkimfufua na Magufuli, atakufa tena ndani ya dakika 5 tu baada ya kuona tulivyopindua ujinga wake juu chini
Huyu jamaa alikuwa na roho mbaya sana.Makato ya juu bodi ya mikopo,kawafukuza kazi walimu waliotufundishaHOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?
Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Ni utamaduni wa taifa hili kwa sasa,Akimfufua na Magufuli, atakufa tena ndani ya dakika 5 tu baada ya kuona tulivyopindua ujinga wake juu chini
HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?
Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIEndelea kupumzika kwa amani Jiwe, Chuma, Mzalendo halisi w Taifa letu Tajiri.HOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?
Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
Daima utakumbukwa hata wasiokupenda leo, vyumbani mwao wanakukumbuka.
Na kweli alizikwa kaburiniHOTUBA YA JPM ITAKAYOISHI MILELE NA KUREJEWA NA VIZAZI VIJAVYO
Nanukuu
Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Linisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui,ni kuguswa tu na roho mtakatifu nashindwa kuwataja, tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno.
Nataka niwahakikishie ndugu zangu katika awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu?
Ndio maana nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania! 🇹🇿 Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania! 🇹🇿 Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu😣 🇹🇿. Na ndio maana yaliitwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania 🇹🇿.
Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite duniani,Tanzania imepata asilimia tano (5.%) Asilimia tisini na tano (95.%) zimeliwa na wengine wa nje, mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili? sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini? kama sitazungumza huu uozo hadharani? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani? Sababu ya maisha yangu?
Si nafuu nizikwe kaburini lakini niuseme ukweli Watanzania waujue? Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu vita ya uchumi ni ngumu zaidi kiliko vita ya kawaida, kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure! Na kuwadharau watanzania ni mambumbumbu, wapumbavu Wajinga, si jambo rahisi, ndio maana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja tupiganie haki zetu.
Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina damu, au sio kwamba mimi sipendi hela. NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
R.I.P. JPM🙏🙏🙏 😭😭😭,MWAMBA, SHUJAA SIMBA WA VITA🇹🇿
PUMZIKA KWA AMANI MWANA WA AFRIKA
[emoji16][emoji16]
Ni kawaida kwa cheti fake kupunguzia hasira kwa kumponda mwanaume wa shokaMagufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.
Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.
Ufisadi huu utaishi milele na utarejewa na vizazi vijavyo.
Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
View attachment 2041697View attachment 2041698View attachment 2041702View attachment 2041699