Magufuli: Mimi ndio Rais, ninajua siri zote za nchi

Kwa nchi za Kiafrika,hata ukiweka chizi Ikulu,ataonekana ana akili kama Profesa na mwenye busara kama nabii Suleiman.
JPM alikuwa mwizi kama majizi mengine yaliopo sasa hv
Kwenu raisi bora ni yule anaeruhusu watu wajifanyie wanachotaka dhuluma na michezo ya kifisadi sio!

Magufuli alikuwa na mapungufu kama binadamu ila kuwanyoosha majizi that one i liked! Ifikie mahali na wao waone uhuni waliotufanyiaga jinsi unavyoumiza yani!
 
Ni kawaida kwa cheti fake kupunguzia hasira kwa kumponda mwanaume wa shoka
Unanilalamikia mimi kwani mimi ndiye CAG?Nenda kamlalamikie CAG ambae ndiye alietoa ripoti.MATAGA bhana!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Pamoja na yote kama alifanya maendeleo kama raisi na alikuwa visionary sioni shida hakuna raisi ambaye hakuwa mwizi anyways
 
Kila siku mi nasemaga, tatizo kubwa la nchi yetu ni ubinafsi. Sio Wazalendo, tungekuwa kama Marekani tungekuwa mbali sana.. japo ni wakatili na watu wa triki lakini katika uzalendo wapo vizuri.
 
Labda kama itatumika kama rejea ya kuonyesha vizazi vijavyo kwamba Tanzania iliwahi kupata Rais kituko kiwango cha 5G, muongo sana, mzandiki sana, katili sana, fisadi sana na mtu mwenye roho mbaya kama Hitler!
Vinginevyo ni hotuba inayostahili kufutwa kabisa katika nyaraka za serikali na historia ya nchi yetu! Never Ever again in Tanzania.
 
Kiukweli aliipenda zaidi Chatto, ndugu zake kina kalemani amewapa jamaa zake ajira! Wanasema humu jf!
 
Ngoja waje wale wenye mimba za chuki kwa mwendaze waje ila mwamba mpaka sasa kaonesha uthubutu mkubwa sana.
 
Jpm alifanya mambo makubwa yawe rahisi hasa Kwenye miundombinu , Madini na nidhamu kazini ilirudi na vilevile watu walikumbuka umuhimu wa demokrasia
 
Hizo zilikuwa fix tu
 
Kama nyie na huyo Bashiru mwajiona ni wakweli na wasafi zaidi, rudisheni basi mali za wananchi; viwanja vya michezo na majengo mlivyojimilikisha. Ama sivyo wote ni wezi waliowahiana tu hakuna mwenye ubavu wa kumshika mwingine.
 
Nyie ndo wale mliokuwa mkitoka kwenye chumba cha mtiani mnajisifu kuwa mmeshusha nondo kwenye history matokeo yakija mna zero[emoji23][emoji23] OP nyingi.
 
Hizo siri zikiwemo na mambo ya Hovyo aliyoyafanya Magufuli anazo Rais Samia.
 
Mkuu inasikitisha sana kujua kijana msema Sana kumbe alikuwa anatumiwa na old CEO wa kampuni yetu!
 
Anajuwa Siri zote za nchi ila hakujua makali ya COVID-19, haikukopesha ikapitanaye kenge mkubwa yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ