Bora ange RIP
Rais Magufuli juzi alitueleza kwamba enzi ya yeye alipokuwa Waziri katika Utawala wa Mkapa alipata kununiwa na Waziri mkubwa.
Swali ni Waziri yupi alikuwa mkubwa kipindi hicho? Kwa sababu Waziri mkubwa alikuwa mmoja pekee - Sumaye.