Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
Magufuli alitamka maneno hayo leo kwenye uzinduzi wa bomba la mafuta la Hoima-Tanga.
Apparently kuna baadhi ya Kenyan media outlets waliosema kwamba huenda Museveni hatokuja kwenye sherehe hii. Magufuli akasema "Ila naelewa wametoka upande ule waliokosa bomba. Wanaumia na wataumia sana tu"
Crowd: Laughter and applause!
Question: Was it right for our head of state kutamka maneno kama hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Apparently kuna baadhi ya Kenyan media outlets waliosema kwamba huenda Museveni hatokuja kwenye sherehe hii. Magufuli akasema "Ila naelewa wametoka upande ule waliokosa bomba. Wanaumia na wataumia sana tu"
Crowd: Laughter and applause!
Question: Was it right for our head of state kutamka maneno kama hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app