Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
 
..jambo la msingi ni kila Mtanzania ktk nafasi yake azalishe zaidi.

..kama ni mkulima aongeze eneo lake, na aongeze uzalishaji per acre.

..wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo nao iwe hivyohivyo.

..tatizo la ukosefu wa ajira nalo lianze kushughulikiwa bila kuchelewa zaidi.

..mazingira ya uwekezaji kwa wenye mitaji toka ndani na nje yaboreshwe.
 
Sijui ni jambo gani magu anajua vizuri isipokuwa kuhesabu madaraja na kuwadhalilisha akina mama.
Magufuli yupo vizuri short and clear kesho usisahau kuangalia tv asubuhi tunapokea pesa za kampuni yetu ya Twiga .Hao wengine walisema tutapelekwa MIGA na uchumi wao wanaotuambia ni wakuwategemea wazungu badala ya kujitegemea.

Mtu mzima anasema sisi tunawahitaji wazungu kuliko wao wanavyotuhitaji sisi ,huyu kashajinasibisha kuwa yeye ni wa nje anafurahi sana tunavyouza Almas yetu Antwerp ubelgiji badala tuwe kama Botswana kwa sera zake nzuri ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda na kwetu jitu bado linafikiri kikoloni nilijinga kabisa hili linyaturu.
 
Magufuli anajua kuropoka lakini Tundu Lissu anajua kujenga hoja zenye mashiko na ambazo utekelezaji wake utawanufaisha watanzania wote bila ubaguzi wowote. Maendeleo hayana chama.
 
makamu mwenyekiti wa chama ambacho makao makuu yake ni kama banda la kuku ndiye mchumi wa kweli maana hakuna haja ya kuwa na ofisi ya kisasa! Marafiki wa chama kutoka Ulaya na hasa Ubelgiji tutaongea nao Hilton Hotel...sorry Tanzania hakuna Hilton mawazo yangu yapo advanced tati mi i ni mtanzania sijuhi kiingereza! Nipeni faragha basi!
 
Magufuli yupo vizuri short and clear kesho usisahau kuangalia tv asubuhi tunapokea pesa za kampuni yetu ya Twiga .Hao wengine walisema tutapelekwa MIGA na uchumi wao wanaotuambia ni wakuwategemea wazungu badala ya kujitegemea.
Mtu mzima anasema sisi tunawahitaji wazungu kuliko wao wanavyotuhitaji sisi ,huyu kashajinasibisha kuwa yeye ni wa nje anafurahi sana tunavyouza Almas yetu Antwerp ubelgiji badala tuwe kama Botwasana kwa sera zake nzuri ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda na kwetu jitu bado linafikiri kikoloni nilijinga kabisa hili linyaturu.
We kukamatwa ukiwa unkula Samaki uliemfuga mwenyewe kwenye bwawa lako,umeshampikamara maafisa uvuvi wanakuja kukamata mezani wakiwa na ruller we unaona ni sera nzuri.
Akwende huko chattle,hana exposure, Rais very primitive.
 
Maendeleo ya vitu VS maendeleo ya watu

Hapo kiuchumi wote wapo chini

Inatakiwa kwenda na vyote kwa pamoja bila kisingizio

Barabara zijengwe, ajira zitolewe, fly over zijengwe lakini pia mishahara kwa wafanyakaz iongezeke kwa mujibu wa sheria
 
We kukamatwa ukiwa unkula Samaki uliemfuga mwenyewe kwenye bwawa lako,umeshampikamara maafisa uvuvi wanakuja kukamata mezani wakiwa na ruller we unaona ni sera nzuri.
Akwende huko chattle,hana exposure, Rais very primitive.
Kazin kuna Boss wako wewe unafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kikazi ila kuna wafanyakazi wenzio wananidhamu za woga wakimuona boss wanajifanya kufanya kazi ili waonekane tena unakuta wanafanya hata sehemu zisizo na umuhimu ili mradi tu wajipalilie kwa Boss .

Je kwa mfano huo juu kosa ni la Boss au wafanyakazi waonafanya kazi kwa kujionyesha?Bas kwa mfano huo usimlaumu Magufuli laumu watendaji maana Magu hakuwatuma ni wao walifanya ili wajishow..
Tadhali ndugu mpe Magufuli kura yako nchi hii kwa Magufuli ni salama tafadhali sana.
 
Lisu yuko katika nafasi nzuri ya kuleta mabadiliko ya kimsingi katika taifa hili. Magufuli nadhani yuko alergic hata kujadili suala la mfumo wa muungano au katiba ya nchi.

Kama wengine walivyotangulia, anahesabu madaraja tuu.
Mabadiliko yapi ambayo hata yeye hasemi?.
 
Kazin kuna Boss wako wewe unafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kikazi ila kuna wafanyakazi wenzio wananidhamu za woga wakimuona boss wanajifanya kufanya kazi ili waonekane tena unakuta wanafanya hata sehemu zisizo na umuhimu ili mradi tu wajipalilie kwa Boss .
Je kwa mfano huo juu kosa ni la Boss au wafanyakazi waonafanya kazi kwa kujionyesha?Bas kwa mfano huo usimlaumu Magufuli laumu watendaji maana Magu hakuwatuma ni wao walifanya ili wajishow..
Tadhali ndugu mpe Magufuli kura yako nchi hii kwa Magufuli ni salama tafadhali sana.
Hakika
 
Back
Top Bottom