Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

Magufuli hajui kila kitu labda chemistry tu.

Ameua uchumi
Kila anachokianzisha ni hasara.
Kwa kifupi hajui kila kitu hadi English hajui
English ya kufanyia nini?
 
makamu mwenyekiti wa chama ambacho makao makuu yake ni kama banda la kuku ndiye mchumi wa kweli maana hakuna haja ya kuwa na ofisi ya kisasa! Marafiki wa chama kutoka Ulaya na hasa Ubelgiji tutaongea nao Hilton Hotel...sorry Tanzania hakuna Hilton mawazo yangu yapo advanced tati mi i ni mtanzania sijuhi kiingereza! Nipeni faragha basi!
Kwani TANU ya nyerere kabla ya uhuru ilikuwa na ofisi za namna gani??? Hujui Ccm waichukua majengo ya umma na kuyafanya ofisi zao?!
 
1602507210397.png

Hapa ndiyo ninapoona tofauti ya Lissu na Magufuli, Lissu akiahidi ajira anaelezea zitapatikana vipi.
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Acha kumfananisha Shujaa wa Mungu aliyeponywa risasi 16 na huo Utopolo wenu unaowaza wanawake masaa 24
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Halafu lugha yako mbona kama ya Wilson Mahera wa NEC? Na hii ni mara ya pili unarudia jambo hilihili
 
Hoja yako imejikita kwa dictator yule, ambaye anatembea kwa nyota ya wasanii amechokwa na kujichokea vibaya mno!

#LISU4PRESIDENT2020.
 
Tundu yuko vizuri sana kuliko JPM. Anaisemea sana private sector na amekuwa akijinasibu kuisaidia private sector kuwa engine ya uchumi wa nchi kinyume na JPM ambaye ameonekana akiinasibu serikali katika kufanya kila kitu kama ivyosema ilani yao.

All in all. TL, amejipambanua zaid kuliko JPM
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Acha kumlinganisha Magufuli na vitu vya kipumbavu

Lisu ameshindwa kuwasaidia chadema wawe na ofisi ya chama
 
Sijui ni jambo gani magu anajua vizuri isipokuwa kuhesabu madaraja na kuwadhalilisha akina mama.
Lisu anapigania haki na uhuru wa watu wale wa ulaya wenye mahusiano ya jinsia moja.
Na kutaka kizazi kisichokuwa na heshima hata kwa watu wakubwa.
Magufuli apapambania uhuru na haki wa kiuchumi kwa taifa na kwa mutu mmojammoja,
Uchumi ulio imara kwa miaka mingi ijayo.
 
Tundu yuko vizuri sana kuliko JPM. Anaisemea sana private sector na amekuwa akijinasibu kuisaidia private sector kuwa engine ya uchumi wa nchi kinyume na JPM ambaye ameonekana akiinasibu serikali katika kufanya kila kitu kama ivyosema ilani yao.

All in all. TL, amejipambanua zaid kuliko JPM
Private Sector haiwezi kufanya kila kitu bila muwezeshaji ambaye ni serikali kama isingekuwa sera nzuri za UNCLE hata sasa tusingekuwa Low Middle Income Country ,Raisi anajaribu kufanya PPP kama ambavyo leo unaona tuna Twiga Mineral,Airtel share nzuri tunazo kwenye Mgodi wa Tanzanite na mengineyo ambayo hutoa Gawio ni kwa sababu ya sera nzuri za Jpm .

Huwezi kusema wewe unabinafsisha makampuni hadi reli na migodi 100% afu ubaki kukusanya kodi tu huo ni upuuzi ni lazima kodi ukusanye lakini kwa sababu serikali ni sehemu ya kampuni au shirika lipate gawio hiyo ndio Patnership nzuri ya kutuletea maendeleo .Sasa ukusanye kodi then waanze kusema tunapata hasara kila uchao kwa hiyo sector binafsi zisiachwe peke yake tuwe wabia Magu yupo vizuri sana.
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
MTANI KWETU WATU WANAPEWA NETI ZA BURE
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
******** takataka gani hilo?

Anajua nini
 
Hata nyongeza kwa watumishi wa umma miaka 5 immeshindikana kweli uchumi gani huo.
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?

Sisi tunataka uhuru kwanza watu tuwe huru tusiishi kwa hofu lini tutabambikiwa kesi zisizo na dhamana hilo ndiyo jambo la kwanza lini wasiojulikana watajulikana lini vyombo vyetu vya habari vitafanya kazi yake ya kuhabarisha umma kwa kuandika habari vikiwa huru kabisa. Tunataka sekta binafsi iimarishwe ili iweze kiajiri watu na kupunguza tatizo la ajira. Sisi tunataka wananchi wafanye shuguli zao za kiuchumi wakiwa huru kabisa kwakuwa maendeleo ya Tanzania hayawezi kuletwa na seriakali yataletwa na wananchi wenyewe.
 
Kwaiyo chadema waiga Tanu ya nyerere?ndio Ben r,p, aliwaita marofa na wapumbavu,chama miaka 20 akina ofisi ya maana kinapanga kwenye mabanda?uku kina rudhuku ya kutosha na mtaji wa wanachama,alafu kinajiita chama maendeo,wangeanza kuenderea wao ndio tuwaamini,kuna msemo unasema ukiwa mwainifu kwa kidogo utaweza pata kikubwa,. Chadema wanazidiwa na Mrema ana office kubwa pale Manzese wakati ana hata rudhuku
Kwani TANU ya nyerere kabla ya uhuru ilikuwa na ofisi za namna gani??? Hujui Ccm waichukua majengo ya umma na kuyafanya ofisi zao?!
 
Back
Top Bottom