Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani TANU ya nyerere kabla ya uhuru ilikuwa na ofisi za namna gani??? Hujui Ccm waichukua majengo ya umma na kuyafanya ofisi zao?!makamu mwenyekiti wa chama ambacho makao makuu yake ni kama banda la kuku ndiye mchumi wa kweli maana hakuna haja ya kuwa na ofisi ya kisasa! Marafiki wa chama kutoka Ulaya na hasa Ubelgiji tutaongea nao Hilton Hotel...sorry Tanzania hakuna Hilton mawazo yangu yapo advanced tati mi i ni mtanzania sijuhi kiingereza! Nipeni faragha basi!
Acha kumfananisha Shujaa wa Mungu aliyeponywa risasi 16 na huo Utopolo wenu unaowaza wanawake masaa 24Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Hii inaitwa mgombea wa Ccm akitoa sera za kuzinanga sera za mgombea wa CcmView attachment 1597943
Hapa ndiyo ninapoona tofauti ya Lissuna Magufuli, Lissu akiahidi ajira anaelezea zitapatikana vipi.
😂😂😂😂Hii inaitwa mgombea wa Ccm akitoa sera za kuzinanga sera za mgombea wa Ccm
Halafu lugha yako mbona kama ya Wilson Mahera wa NEC? Na hii ni mara ya pili unarudia jambo hilihiliKwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Jibu swali !Hiyo buku 7 utanyang'anywa halafu uanze kulia lia njaaLisu anajua nini zaidi ya ukibaraka kwa Amsterdam
ahahahahaSijui ni jambo gani magu anajua vizuri isipokuwa kuhesabu madaraja na kuwadhalilisha akina mama.
Acha kumlinganisha Magufuli na vitu vya kipumbavuKwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Lisu anapigania haki na uhuru wa watu wale wa ulaya wenye mahusiano ya jinsia moja.Sijui ni jambo gani magu anajua vizuri isipokuwa kuhesabu madaraja na kuwadhalilisha akina mama.
Private Sector haiwezi kufanya kila kitu bila muwezeshaji ambaye ni serikali kama isingekuwa sera nzuri za UNCLE hata sasa tusingekuwa Low Middle Income Country ,Raisi anajaribu kufanya PPP kama ambavyo leo unaona tuna Twiga Mineral,Airtel share nzuri tunazo kwenye Mgodi wa Tanzanite na mengineyo ambayo hutoa Gawio ni kwa sababu ya sera nzuri za Jpm .Tundu yuko vizuri sana kuliko JPM. Anaisemea sana private sector na amekuwa akijinasibu kuisaidia private sector kuwa engine ya uchumi wa nchi kinyume na JPM ambaye ameonekana akiinasibu serikali katika kufanya kila kitu kama ivyosema ilani yao.
All in all. TL, amejipambanua zaid kuliko JPM
MTANI KWETU WATU WANAPEWA NETI ZA BUREKwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
******** takataka gani hilo?Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Kwaiyo chadema waiga Tanu ya nyerere?ndio Ben r,p, aliwaita marofa na wapumbavu,chama miaka 20 akina ofisi ya maana kinapanga kwenye mabanda?uku kina rudhuku ya kutosha na mtaji wa wanachama,alafu kinajiita chama maendeo,wangeanza kuenderea wao ndio tuwaamini,kuna msemo unasema ukiwa mwainifu kwa kidogo utaweza pata kikubwa,. Chadema wanazidiwa na Mrema ana office kubwa pale Manzese wakati ana hata rudhuku
Kwani TANU ya nyerere kabla ya uhuru ilikuwa na ofisi za namna gani??? Hujui Ccm waichukua majengo ya umma na kuyafanya ofisi zao?!