Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

Uchaguzi 2020 Magufuli vs Lissu, nani yuko vizuri kuhusu Uchumi?

Kazin kuna Boss wako wewe unafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kikazi ila kuna wafanyakazi wenzio wananidhamu za woga wakimuona boss wanajifanya kufanya kazi ili waonekane tena unakuta wanafanya hata sehemu zisizo na umuhimu ili mradi tu wajipalilie kwa Boss .

Je kwa mfano huo juu kosa ni la Boss au wafanyakazi waonafanya kazi kwa kujionyesha?Bas kwa mfano huo usimlaumu Magufuli laumu watendaji maana Magu hakuwatuma ni wao walifanya ili wajishow..
Tadhali ndugu mpe Magufuli kura yako nchi hii kwa Magufuli ni salama tafadhali sana.
Ben Saanane Yuko wapi?
 
Mlevi wa konyagi anafahamu yuko wapi?
Hebu niiaminishe akili yangu kwamba unamzungumzia mbowe.

Swali .

Kwahiyo MBOWE kamuuwa Ben na MBOWE asikamatwe na policcm?

Na aliyemtwanga Lissu risasi ninani?
 
Maendeleo ya vitu VS maendeleo ya watu

Hapo kiuchumi wote wapo chini

Inatakiwa kwenda na vyote kwa pamoja bila kisingizio

Barabara zijengwe, ajira zitolewe, fly over zijengwe lakini pia mishahara kwa wafanyakaz iongezeke kwa mujibu wa sheria

nakupa darasa kidoog:
- Mchawi wa mambo yote haya anaitwa FEDERAL RESERVE amekaa washinton DC
- FEDERAL RESERVE ni shirika BINFASI linalohusiana na kuchapisha noti za marekani, wao ndo wanaruhusa ya kuchapisha dola mpya jinsi wanavotaka, serikali ya marekani haina mamlaka yoyote kuingilia operation yoyote inaohusiana na FEDERAL RESERVE

- sasa basi , hawa jamaa wanachapisha noti nyingi sana , inasemakana wanachapisha takriban trillion tatu mpaka tano kwa siku, lengo la kufanya ivi ni ili pesa zingine duniani ziwe chini, kwa sababu $ ndo pesa inaotumika kufanya biashara duniani kote, kwahio wanachapisha za kutosha lakini hazizunguki nchini kwao, na pia hazikai mda mrefu, miaka mitano noti haina kazi tena, so lazima uende na hii circle

- Nchi pekee ambazo hazitumii dolla, ni russia, china, cuba na afganistan: nchi zingine zote zilizobaki zinafanya biashara kwa USD, hiki kitendo cha kufanya tu biashara na USD ndo pigo kubwa la kuua pesa zote duniani, ikiwemo TSH

- sasa basi, unaweza kuuliza tatizo lipo wap!
iko ivi pesa yoyote duniani inafanya kazi kwa imani, in economical terms tunasema :MONEY IS VALUELESS" beyond the consumer faith, ukienda dukani unaweza kununua shati 10K, ukaenda duka lingine ukanunua shati ilo ilo mpaka 15K, hii yote ni kwa sbaabu pesa haina value, tunaizungusha kuendana na iman ya muuzaji, kama naona wanunuaji wangu wanauwezo sana basi napandisha bei, as simple as that, sasa hapa ndo matatizo yote yalipoanzia: wewe unaona maisha magumu kwa sababu wafanya biashara ndo wamekupangia bei kuanzia yule mfanya biashara mdogo pale nyumbani kwako anapongeza tsh 100 kwenye bidhaa zake, hawa ndo wanaokufanya uone maisha ni magumu
-lakini kwa undan ni watu wachache tu wanacheza na imani yako, yawezekan ilo shati ulilonunua 10K unaweza kuongea nae akakushushia akakuuzia hata 8K, lakini imani yako ndo ilikusaliti mwanzon, sasa mwendo ni huo huo kwenye huduma zingine zote, kuanzia unaamka mpaka unalala kuanzia mashirika makubwa mpaka yule mama wa kiosk wote wana impact maisha yako na kukufumba usione mbele kibiashara

- sasa tatizo vijana hawa kila sku wanalalamikia serikali wakati ni fumbo dogo tu, wewe unalilia nyongeza ya mashahara je yule mfanya biashara akiona purchasing power yako iko juu atapungza bei ama atapandisha?
- sasa baada ya mda utalalamika tena mshahara upandishwe ndo maaana mpaka saahv mtu akilipwa million anaona hela ndogo wakati mtu anaelipwa hata dola 10,000 ni nyingi sana! haswa ukiibadilisha kwenda tsh

-yote haya yamesababishwa na sera za kupandisha mishahara, na watu kua na ufinyu wa elimu, na ndo tundo lissu anachoshabikia,
simlaumu kwa sbabu alisoma ARTS form 3 , alisoma HGE,

-upande wa pili natambua ccm walifanya madudu kitambo lakini they are going on the right way to correct them:
- magufuli alitakiwa asipandishe watu mishahara ila asaidie watu wapunguze spending sana, mfano kama ulikua unasafiri kwenda
dar kwa basi labda 40K , sasa ivi unapanda treni, 14K! sasa apa umsave tsh ngap? si unaweza tumia kwenye huduma zingine na maisha bado yakabalance? na ndo kote duniani wanavofanya, uliingia kwenye ajira kwan ulishawahi kuona mwajiriwa analipwa vizuri, wote wanalipwa kidogo wasikimbie ofisi(nmetoa mfano tu sjasema umeajiriwa)
 
Hebu niiaminishe akili yangu kwamba unamzungumzia mbowe.

Swali .

Kwahiyo MBOWE kamuuwa Ben na MBOWE asikamatwe na policcm?

Na aliyemtwanga Lissu risasi ninani?
Braza nikuulize tu wale jamaa wanamlinda mweshimiwa kweli wamkose Lissu na jeshi lina masniper waliopata mafunzo hata haingii akilini wampige risasi kweupe wazidiwe akili na raia anaeua kwa sumu au kunyonga na ushahidi ukakosekana akawa huru.
Ujue shida ya Lissu alivyopigwa tu moja kwa moja tuhuma zilipelekewa serikali sasa unataka jeshi la polisi liichunguze serikali ya CCM inayolipa mshahara na jeshi la polisi halifanyi uchunguzi atavyo mtu tena kupitia vyombo vya habari na twitter ,kama ingekuwa serikali basi hata mwili wa Lissu msingeuona nakuambia kitendo cha kuitaja serikali yetu mmeyadhalilisha majeshi yetu kuwa hayana shabaha usicheze kabisa tena jamaa alitakiwa apigwe na RPG nilijinga sana hili linyanturu linasema limepigwa na serikali ya UNCLE then unaishutumu polisi kutofanya uchunguzi huku ukijua lopolopo lako linaharibu ushahidi .
Tuna jeshi imara nakuambia nasikitika sana kama ni kweli kuna askar alipewa mishe akapoteza risasi zote zile ametumia rasilimali zetu vibaya ,yaani alitakiwa wamtwangwe kwa RPG kabisa abaki majivu huwez kututukania amiri jeshi wetu then upo salama na CDF anakuangalia tu jinga sana hili jamaa.
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
'Aliyeuwawa kwa kupigwa mvua ya risasi' halafu Mungu 'akamfufua' kwa ajili yetu ndo atakata mizizi ya ufakara wa muda mrefu wa watanzania iliyosimikwa na 'kikundi cha watu wachache'!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Sisi tunataka uhuru kwanza watu tuwe huru tusiishi kwa hofu lini tutabambikiwa kesi zisizo na dhamana hilo ndiyo jambo la kwanza lini wasiojulikana watajulikana lini vyombo vyetu vya habari vitafanya kazi yake ya kuhabarisha umma kwa kuandika habari vikiwa huru kabisa. Tunataka sekta binafsi iimarishwe ili iweze kiajiri watu na kupunguza tatizo la ajira. Sisi tunataka wananchi wafanye shuguli zao za kiuchumi wakiwa huru kabisa kwakuwa maendeleo ya Tanzania hayawezi kuletwa na seriakali yataletwa na wananchi wenyewe.
Hii ndoto ngumu sana kufikiwa.

Kwamba hata watu wanaofanya vitu vya kijinga wawe huru tu kufanya hivyo?
 
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?

Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.

Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.

Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?

Ni Magufuli 100%
 
Sijui ni jambo gani magu anajua vizuri isipokuwa kuhesabu madaraja na kuwadhalilisha akina mama.

Ndio kazi yake! Yaani kuhesabu madaraja,barabara na miundombinu hiyo ndo kazi yake pamoja na kuhakikisha usalama wa wananchi wake na ndio maana kipindi cha corona alituvusha na alisimama na sisi !kudhalilisha akina mama ni hoja ambayo haina mashiko na haina maana naye pia ni mtoto kwa mama yake alishamdhalilisha nani!?acha kuropoka na kufuata mkumbo!
 
Magufuli anajua kuropoka lakini Tundu Lissu anajua kujenga hoja zenye mashiko na ambazo utekelezaji wake utawanufaisha watanzania wote bila ubaguzi wowote. Maendeleo hayana chama.

Hoja gani alizojenga lisu? Za kuweka madini yetu rehani kama alivoandika kwenye ilani yao?hata hiyo maendeleo hayana chama ni magufuli ndo aliyeisema huyo mgombea wa kaki hakuna kitu amesema!
 
Private Sector haiwezi kufanya kila kitu bila muwezeshaji ambaye ni serikali kama isingekuwa sera nzuri za UNCLE hata sasa tusingekuwa Low Middle Income Country ,Raisi anajaribu kufanya PPP kama ambavyo leo unaona tuna Twiga Mineral,Airtel share nzuri tunazo kwenye Mgodi wa Tanzanite na mengineyo ambayo hutoa Gawio ni kwa sababu ya sera nzuri za Jpm .
Kwa suala la sera nakwambia dhahiri mtaje JK, ndiye alikuwa kinara wa sera kupitia Tume ya Mipango. Kamuulize Maduka Kessy atakuambia
 
Hoja gani alizojenga lisu? Za kuweka madini yetu rehani kama alivoandika kwenye ilani yao?hata hiyo maendeleo hayana chama ni magufuli ndo aliyeisema huyo mgombea wa kaki hakuna kitu amesema!
Kuweka madini rehani ? Hivi unazijua mineral concessional rights za madini yetu ? Au unaropoka tu ?
 
Back
Top Bottom