BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]Magufuli yupo vizuri short and clear kesho usisahau kuangalia tv asubuhi tunapokea pesa za kampuni yetu ya Twiga .Hao wengine walisema tutapelekwa MIGA na uchumi wao wanaotuambia ni wakuwategemea wazungu badala ya kujitegemea.
Mtu mzima anasema sisi tunawahitaji wazungu kuliko wao wanavyotuhitaji sisi ,huyu kashajinasibisha kuwa yeye ni wa nje anafurahi sana tunavyouza Almas yetu Antwerp ubelgiji badala tuwe kama Botwasana kwa sera zake nzuri ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda na kwetu jitu bado linafikiri kikoloni nilijinga kabisa hili linyaturu.
View attachment 1597943
Hapa ndiyo ninapoona tofauti ya Lissu na Magufuli, Lissu akiahidi ajira anaelezea zitapatikana vipi.
View attachment 1597943
Hapa ndiyo ninapoona tofauti ya Lissu na Magufuli, Lissu akiahidi ajira anaelezea zitapatikana vipi.
Na wewe acha kumliganisha mtu ambae natakaka kusuguana na wanaumewanzake na Rais lisu sawa.Acha kumlinganisha Raisi Magufuli na ujinga, ...
Ni YEYE TUNDU LISSUKwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Hilo swala ni la nchi sio chama hata Ufipa mnaweza kwenda maendeleo hayana vyama,unakwama wapi.Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote hawajasoma uchumi lakini mmoja hataki kushauriwa kwa sababu yeye ni kila kitu mwingine hatataka kuwa yeye ni kila kitu kwa kauli zakeKwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi?
Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu moja hadi nyingine kufanya biashara bia vikwazo wala shida ya kimiundombinu. Tunataka kuona uchumi wa uhakika, kuzarisha bila shida ya umeme, nguvu kazi n.k.
Tunataka kuona watu wenye afya ama wana pata matibabu na wanaendelea na kazi. Tunataka kuona huduma za kijamii zikiboreshwa.
Kwenye kampeni hizi nani hasa anagusa haya maswala kisawa sawa?
Hapa neno ujinga halitakusaidia kitu. Wote ni wagombeaAcha kumlinganisha Raisi Magufuli na ujinga, ...
CCM inaondoka mwaka huu Mkuu, atakayejaribu kuzuia ataondoka nayo. Iko hivyo.Acha kumlinganisha Raisi Magufuli na ujinga, ...
Katafakari upya kuhusu dhana maono. Nikufahamishe kifupi anaposema anataka kuona jamii iliyo huru inayotawaliwa na haki na kuwepo kwa maendeleo ya watu hayo ndio mano, vision kwa kiingereza.Tundu lisu hana maono ndyo shida yake kubwa
Nakufananisha na bashite au Jiwemakamu mwenyekiti wa chama ambacho makao makuu yake ni kama banda la kuku ndiye mchumi wa kweli maana hakuna haja ya kuwa na ofisi ya kisasa! Marafiki wa chama kutoka Ulaya na hasa Ubelgiji tutaongea nao Hilton Hotel...sorry Tanzania hakuna Hilton mawazo yangu yapo advanced tati mi i ni mtanzania sijuhi kiingereza! Nipeni faragha basi!
Siwez kumpa kura Jiwe hata kwa utani, bora nikupe wewe pamoja na utopolo wakoKazin kuna Boss wako wewe unafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kikazi ila kuna wafanyakazi wenzio wananidhamu za woga wakimuona boss wanajifanya kufanya kazi ili waonekane tena unakuta wanafanya hata sehemu zisizo na umuhimu ili mradi tu wajipalilie kwa Boss .
Je kwa mfano huo juu kosa ni la Boss au wafanyakazi waonafanya kazi kwa kujionyesha?Bas kwa mfano huo usimlaumu Magufuli laumu watendaji maana Magu hakuwatuma ni wao walifanya ili wajishow..
Tadhali ndugu mpe Magufuli kura yako nchi hii kwa Magufuli ni salama tafadhali sana.
Aliyoitumia kusomea PhD yake fekiEnglish ya kufanyia nini?
Acha kumlinganisha Lissu na San abachaAcha kumlinganisha Raisi Magufuli na ujinga, ...
Wewe ni mpumbavu, narudia tena wewe ni mpumbavuAcha kumlinganisha Magufuli na vitu vya kipumbavu
Lisu ameshindwa kuwasaidia chadema wawe na ofisi ya chama