digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Inategemea wewe unamuonaje,ka unamuona Yuko na tabia za viwavi basi ni sawa kumuita kiwavi,chadema ni viwavi tukiwapa nchi watapukutisha kila kilicho machoni mwetuTwende taratibu, nikikuambia kuwa "baba yako ni kiwavi", utafuraha neno hilo? (twende taratibu, usichukie, natoa mfano wa lugha ya kuchukiza)
Duh kumbe ilikuwa sinemaMzee wa kutengeneza movieView attachment 1529034
Umeme upi Stiglaz????Hizi hoja za maendeleo ya watu au vitu kidogo huwa zinanichanganya, sababu siamini kama kuna maendeleo ya watu bila vitu au maendeleo ya vitu bila watu.
1. Hivi daraja hujengwa kwa ajili ya nani?
2. Ndege hununuliwa kwa ajili ya nani?
2. Umeme ni kwa ajili ya nani?
Labda nimeenda mbali sana.
Hivi unaponunua makochi ndani kwako, vitanda, nguo hivi vyote ni vitu. Lakini vitu hivi ni kwa ajili ya watu. Naamini kwamba tunaposema mtu fulani ameendelea ni pamoja na vitu anavyomiliki.
Nimejiuliza sana kwamba hivi maendeleo ya vitu yakoje? Sanamu huvishwa nguo? Sanamu hupelekwa shule na watu kuachwa nyumbani! Wanasiasa wananichanganya kidogo. Kwa mbali ni kama nimekimbia mada lakini nahitaji msaada.
Badala yake Lissu anatakiwa anene kwenye Kampeni kuwa FlyOver na SGR zikikamilika kama yeye akiingia madarakani ataziita Magufuli Flyover na Magufuli SGR! Itakuwa imetulia sana hiyo!Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Uzuri mwenyewe amekiri kuwa mikopo wanatoa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ingawa sio wengiHata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
NoElewa maana ya
Human development
Economic development na economic growth ..
Kabla ya kuuliza hayo maswali yako soma hivyo vitu hapo kwanza .
Mkuu salama,Lissu amewashika vibaya! haya siyo maneno ya kusemwa na Rais! Ni dalili za kuhangaika and the last outcome ni kuwapiga watu risasi!
Utani gani? Hana hoja. Amezoea kuswaga ng'ombe. Hawezi kuongoza watu.Huenda aliongea kisiasa tu kama utani sidhani kama kuna mpinzani anaweza kuvunja miundombinu hata kuharibu tu hawawezi maana ni watu wenye akili timamu.
Kama kuma_anisha fulani hiivi!Jana tuu kauliza wananchi eti wanataka kupanuliwa wapi. japo alikuwa sahihi ila aliuliza kama kumaanisha fulani
THUBUTU YENUlumumba akulaliki watz wa leo sio wa jana
Punguza post za kishamba.Zilikua kwenye cm iliyoibiwa na Mchadema mwingine tena.
Mkapa alituuzia foolish gold rangi halisi kila mtz ameshaiona hatulewi pombe tena,tunajua tukilewa tena tumekwiishaaTHUBUTU YENU
Shida yake kanuni za kuongozea mifugo ndo anatumia kuongozea watu,Utani gani? Hana hoja. Amezoea kuswaga ng'ombe. Hawezi kuongoza watu.
Hata kama ni kusema uongo basi na uongo wenyewe uwe na ushawishi kidogo.
Kauli kama hizi zinaonyesha kwamba Jpm hana hoja, lakini pia amewadharau wapiga kura.
Kwanini asijikite kuwaeleza atawafanyia nini waTz ktk miaka 5 inayokuja, na badala yake anashambulia wapinzani kwa hoja za uongo?
Tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe ni mpinzani gani ameharibu miundombinu ya nchi hii?
Kuhusu kulinda rasilimali zetu, kila mmoja anajua mikataba yooote mibovu ya kifisadi ilisainiwa baina ya serikali za ccm na makampuni ya kibeberu.
Video hii hapa msikilize tangu dakika ya 4:00.
Ndo maana uchumi wetu unakufa maana rais yupo busy na petty issues.probably uwezo wake upo kwenye kudeal na hizi petty issuesMagufuli ni moja ya viongozi wachache saana ambao utawapata Afrika.
Uongozi wake sio wa nadharia.... unaongea matatizo halisi yanatukabili na kadri ya uwezo wako unayafanyia kazi.
Sasa na wewe ndio umesisitizia **** anisha sasa [emoji22][emoji22]Kama kuma_anisha fulani hiivi!