Mahafali ya 53 UDSM: Wanawake vipanga waongoza kwa ufaulu na kuwabwaga wanaume

Mahafali ya 53 UDSM: Wanawake vipanga waongoza kwa ufaulu na kuwabwaga wanaume

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Screenshot_20240928_231058_Instagram.jpg

Kutoka UDSM wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo ada.

DVP-Academic amewatangaza Wanawake 3 ambao eamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.

Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.

Swali:
Ikiwa wanawake wanazidi kupata Ufaulu mzuri kiasi hiki, vijana vilaza mtawezaje kuoa na kuishi na wanawake vipanga?

Na nyie wanawake vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.

My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.

Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
 
Kuwa na GPA kubwa haikufanyi kuwa mtaalam kwenye mapenzi lkn pia kwenye ndoa .

Mkuuu so ni vitu viwili tofauti

Mkuuu

Kupata ufaulu mzuri doesn't means kwamba your intelligent brother yamkini kuna kukariri pia ,na vitu vingi mkuu
 
Kuwa na GPA kubwa haikuwanyi kuwa mtaalam kwenye mapenzi lkn pia kwenye ndoa .

Mkuuu so ni vitu viwili tofauti

Mkuuu

Kupata ufaulu mzuri doesn't means kwamba your intelligent brother yamkini kuna kukariri pia ,na vitu vingi mkuu
Dunia inakwenda Kwa makaratasi,mkioana wasomi watupu kama.anakuzidi GPA umekwisha.

Wa hivyo wanaweza survive Kwa kuona watu wenye career 2 tofauti mfano Mbowe (Siasa) na Mke wake Daktari ila ingekuwa wote madakatari harafu Mwanamama ndio awe na GPA Kali umekwisha brother,hiyo ni sychology ya Wanawake na mahusiano.
 
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.

DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.

Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.

Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?

Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6

My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.


Hapa watasema hizi ni juhudi za mama Samia.
 
Back
Top Bottom