Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wewe ngoja nikuitie Pdidy ndio mtaelewanaUngekuwa unasoma usingeongea hizo pumba,hao wanawake hapo wameongoza kwenye hizo hizo unazoita program dume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ngoja nikuitie Pdidy ndio mtaelewanaUngekuwa unasoma usingeongea hizo pumba,hao wanawake hapo wameongoza kwenye hizo hizo unazoita program dume.
Huo ujinga ndio umewatawapa ndio maana mnaambulia Gentlemen.Wewe ngoja nikuitie Pdidy ndio mtaelewana
Wewe utakuwa Burna Boy, unaanzaje kumjua mwanamke kama hufanywi anayofanywa yeyeHuo ujinga ndio umewatawapa ndio maana mnaambulia Gentlemen.
Mwanamke ana uwezo wa kutawala hisia zote
Sawa sawa jitahada zinahitajika kunyanyua watoto wa kiumeUjumbe muhimu na inaendelea Hadi Leo hii
Wewe unayo? Au utamshinda huko kwenye psychological tips ?
Mfumo wa sasa unambebe mwanamke zaidi hata kwenye ajira naBado Kuna mtihani mwingine mkubwa wa maisha ambao upo baada ya kumaliza Shule, wajue kuwa Ili ufanikiwa mtaani lazima "ufanye mambo yawe" otherwise wakubebe.
KitajeNdio,na Cha maana kweli kweli hapa Tanzania ila sikupata hizo GPA Kali,akipata demu mmja hivi Kwenye kozi yetu na akapata direct employment BoT.
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
DVC not DVP mwandishi zingatia Proofreading.= mahafali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kuhusu mtaa inategemea uko wapi.Mfumo wa sasa unambebe mwanamke zaidi hata kwenye ajira na
maisha ya mtaani.
Hahahahaha kweli mkuu ingawa kiuhalisia graduate kuendesha boda inasikitisha 100%Pole sana ,digrii isipokupa maisha kuna hata bodaboda 😂😂
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
Hongera sanaMwanangu yuko Hungary
Ova
wakiume wamegoma kujisalimisha kwa Pdid 😅😅😅😅Sasa kama wamekubali kuvua vyupi unadhani kuna upinzani hapo. Degree zao nyingi ni za kuvuliwa vyupi.
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
Sychology = psychologyDunia inakwenda Kwa makaratasi,mkioana wasomi watupu kama.anakuzidi GPA umekwisha.
Wa hivyo wanaweza survive Kwa kuona watu wenye career 2 tofauti mfano Mbowe (Siasa) na Mke wake Daktari ila ingekuwa wote madakatari harafu Mwanamama ndio awe na GPA Kali umekwisha brother,hiyo ni sychology ya Wanawake na mahusiano.
Pole sana mwamba, mimi nimeona hiyo GPA 4.8 nikakumbuka matokeo yangu ya 1st Semester miaka hiyo.Nakumbuka mwaka 2009 wakati naenda kusoma udsm nilifurahi sana nikajua maisha nimeshatoboa tayari... Leo 2024 maisha yananishona mbaya, kila iitwayo Leo maisha yananifua mbaya...