ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Bila shakaHapa watasema hizi ni juhudi za mama Samia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shakaHapa watasema hizi ni juhudi za mama Samia.
Ujumbe muhimu na inaendelea Hadi Leo hiiIla habari ya miaka 3 nyuma ndio unaleta sasa.
sasa ccm inakujaje kwenye hayo matokeo brotherHuyu demu mbona alimaliza kitambo tena kozi ya chemical engineering kama sikosei na walikuwa wawili hii habari ya kitambo sana wewe chawa wa CCM
Hiki ni Kisingizio,tuwawekee Pepa wewe na wao sehemu independent utawashinda wewe?
Hiyo trend Iko hivyo Toka Sekondari,St.Fransis pale wanaongoza Kitaifa Kila mwaka.
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Tulikiwa tunasomea kupekenyua k Yako= mahafali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Broo,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Pole sana ,digrii isipokupa maisha kuna hata bodaboda 😂😂Nakumbuka mwaka 2009 wakati naenda kusoma udsm nilifurahi sana nikajua maisha nimeshatoboa tayari... Leo 2024 maisha yananishona mbaya, kila iitwayo Leo maisha yananifua mbaya...
Shukuru nakufundisha kuandika vizuri.Tulikiwa tunasomea kupekenyua k Yako
Chagua utakaemmuduBroo,
Kama wee ni kilaza konki una shahada ya kuunga unga, sup kila mwaka halafu unafanya kazi ya uchawa, unaenda kuoa mrembo wa GPA ya 4.8, si utakuwa umejitakia taabu mwenyewe?!
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Hakuna kipanga wa kuvuliwa chupi wewe nyumbu wa Boni Yai.Sasa kama wamekubali kuvua vyupi unadhani kuna upinzani hapo. Degree zao nyingi ni za kuvuliwa vyupi.
Kutoka UDSM ,wahitimu wa mahafari 51 duru ya Pili wamefanyika Milimani City kama ilivyo Ada.
DVP-Academic Amewatangaza Wanawake 3 ambao Wamepata ufaulu mkubwa zaidi huku kinara wao akipiga GPA ya 4.8.
Aidha Ufaulu wa Ujumla unaonesha Wanawake wamefaulu Kwa asilimia 57% dhidi ya asilimia 43% za Wanaume.
Swali:
Ikiwa Wanawake Wanazidi Kupata Ufaulu Mzuri kiasi hiki,Vijana Vilaza mtawezaje Kuoa na Kuishi na Wanawake Vipanga ?
Na nyie Wanawake Vipanga hakikisheni hamleti mambo ya GPA kwenye ndoa maana yatawashinda na kuishiwa kuwa single mom.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAa83ZGKvQ9/?igsh=eHh2MW0zaDhlcWJ6
My Take
Ianzishwe Programu ya Men Empowerment Kwa sababu tuendako kutakuwa na crisis ya Wanaume maana mwanamke akichungulia Makaratasi akakuta amemzidi atapata shida kumkubali kama Kiongozi wa familia.
Pisi kipanga hawezi kubali kuwa submissive Kwa Mwanaume kilaza labda itokee ajali ya umri 😬😬
Mwanangu yuko Hungary😁😁😁
Kwani umempeleka chuo gani boss mkubwaa
Hakuna kipanga wa kuvuliwa chupi wewe nyumbu wa Boni Yai.
Lakin it means you are brilliantKuwa na GPA kubwa haikufanyi kuwa mtaalam kwenye mapenzi lkn pia kwenye ndoa .
Mkuuu so ni vitu viwili tofauti
Mkuuu
Kupata ufaulu mzuri doesn't means kwamba your intelligent brother yamkini kuna kukariri pia ,na vitu vingi mkuu
Ungekuwa unasoma usingeongea hizo pumba,hao wanawake hapo wameongoza kwenye hizo hizo unazoita program dume.Fuatilia zile programs dume kama Actuarial sciences na Chemical Engineering uone kama kuna malaya wameshikilia mwenge.
Vikozi vya kike kama Sociology, Sijui uhasibu na Mass Media huko ndio wavua chupi wamejaa
🚮🚮 Kuanzia shule za sekondari kote huko wanapewa majibu na wakufunzi,kwamba atakuwa anatembea na wakufunzi wa masomo yoteWanapewa majibu au wakufunzi ni mabwana zao