erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
Mahakama za Tanzania ni vikao vya kamati za CCM!Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fastaππ
hiyo ndiyo haki yenyewe ilivyo mihemko ya nini sasa?.Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fastaππ
Chombo gani kinachotoa haki Tanzania zaidi ya mahakama?Kazi ya Mahakama siyo kutoa Haki na Watu Wengi hawalijui hili
Kazi ya Mahakama ni kutafsiri sheria
Ni mashina ya CCM tupuMahakama za Tanzania ni vikao vya kamati za CCM!
Haki imetolewa na Katiba ya JMT πChombo gani kinachotoa haki Tanzania zaidi ya mahakama?
Nembo ya mahakama umewahi kuiona?Haki imetolewa na Katiba ya JMT π
Ina mzani wa Haki sawa kama ilivyo nembo ya Chama cha CUF πNembo ya mahakama umewahi kuiona?
CUF ni mali ya Lipumba mahakama ni mali ya wananchi wanyongeIna mzani wa Haki sawa kama ilivyo nembo ya Chama cha CUF π
Mahakama ni Huduma siyo Mali πCUF ni mali ya Lipumba mahakama ni mali ya wananchi wanyonge
Soma katiba Artcle 107 nimesahau sub article ngapi. "The only organ vested with power to dispense justice"Kazi ya Mahakama siyo kutoa Haki na Watu Wengi hawalijui hili
Kazi ya Mahakama ni kutafsiri sheria
Ni kutoelewa tuSoma katiba Artcle 107 nimesahau sub article ngapi. "The only organ vested with power to dispense justice"
Soma mother law( katiba). Mimi ni lawyer nduguNi kutoelewa tu
Mahakama inaipata wapi hiyo Haki inayokugawia wewe? πΌ
Lawyer wa Tanzania ni kama yule Mutusi ambaye hajui Hata Kampuni inaumbwajeSoma mother law( katiba). Mimi ni lawyer ndugu
SawaLawyer wa Tanzania ni kama yule Mutusi ambaye hajui Hata Kampuni inaumbwaje
Haki zote za Mtanzania ziko kwenye Katiba ya JMT 1977
Ukienda mahakamani huendi kuomba Haki bali unaenda kuomba Tafsiri ya Katiba Ili Ijulikanae Haki inayogombaniwa ni ya nani
Jumaa Karim π
Hivi nguruwe bado huchomwa mkuki?Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fastaππ
Ni mali ya ummaMahakama ni Huduma siyo Mali π
Inatafsiri sheria ili iweje?Kazi ya Mahakama siyo kutoa Haki na Watu Wengi hawalijui hili
Kazi ya Mahakama ni kutafsiri sheria