Mahakama badala ya kutoa haki na hukumu inaelekeza sehemu nyingine ukaipate

Mahakama badala ya kutoa haki na hukumu inaelekeza sehemu nyingine ukaipate

Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌
= imenifikirisha.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Inatafsiri sheria ili iweje?
Zitumike ipasavyo

Kwa mfano nyie Chadema mna haki ya kuwakilishwa bungeni na Wabunge 19 wa Viti Maalum

Na tayari Mnyika alipeleka orodha ya majina 19 bila idhini ya Kamati Kuu

Sasa Mahakama ndio yenye Jukumu la kutafsiri Uhalali wa akina Halima Mdee kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977
 
Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌
Hivi vyombo vya kina Dr Tulia😂😅
 
Huyu jon baptist ni memkwa.. kwa hiyo mahakama inapohukumu mtu kwenda jela huwa imetafsiri sheria au imetoa haki?
 
Zitumike ipasavyo

Kwa mfano nyie Chadema mna haki ya kuwakilishwa bungeni na Wabunge 19 wa Viti Maalum

Na tayari Mnyika alipeleka orodha ya majina 19 bila idhini ya Kamati Kuu

Sasa Mahakama ndio yenye Jukumu la kutafsiri Uhalali wa akina Halima Mdee kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977
MEMKWA inakuhusu!
 
Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌
Ni kama mwalimu wa Karateee upo dojo unawafundisha wanafunzi, anakuja Mbabe/Mjuba wewe unamkimbia Mjuba kwa kuwatelekeza wanafunzi!!!
Badala bya kumtwanga wanafunzi waone!!!

Ila TZ hamna Mahakama!! Judge anapewa maelekezo ya hukumu kwa cm 🤣🤣
 
Back
Top Bottom