= imenifikirisha.Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌
Zitumike ipasavyoInatafsiri sheria ili iweje?
Hivi vyombo vya kina Dr Tulia😂😅Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌
MEMKWA inakuhusu!Zitumike ipasavyo
Kwa mfano nyie Chadema mna haki ya kuwakilishwa bungeni na Wabunge 19 wa Viti Maalum
Na tayari Mnyika alipeleka orodha ya majina 19 bila idhini ya Kamati Kuu
Sasa Mahakama ndio yenye Jukumu la kutafsiri Uhalali wa akina Halima Mdee kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977
Katibu Mkuu wako ni MEMKWA 🐼MEMKWA inakuhusu!
Ni kama mwalimu wa Karateee upo dojo unawafundisha wanafunzi, anakuja Mbabe/Mjuba wewe unamkimbia Mjuba kwa kuwatelekeza wanafunzi!!!Mahakama ndiyo chombo cha mwisho kuamua ndiyo ama hapana.unakwenda mahakamani kutafuta haki halafu mahakama inaelekeza uende sehemu nyingine ndiyo itahukumu.mfano kesi ya CCM kutumia watoto ktk siasa.mahakama imenifikilisha sana.na huko walikoelekezwa ikaamue wana huo ubavu wa kuamua labda kama ingekuwa chadema ni Fasta😄📌