Mahakama hazikuwa zikitenda haki kuhusu kesi za Uhujumu Uchumi

Mahakama hazikuwa zikitenda haki kuhusu kesi za Uhujumu Uchumi

Mahakama Kuu, imebatilisha hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kesi ya Jinai iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake 7 na kuamuru warejeshewe fedha walizolipa kama faini, kiasi cha Sh.350 milioni. Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Irvin Mgeta.

Wakina mbowe hawatamsahau huyu mama kwa wema wake alioufanya. Mama hataki dhuluma wala kubambikia watu kesi.
 
Dah nimemkumbuka ndugu yetu kabendera mwandishi halafu anahujumu uchumi wewe kichaa salam zikufikie huko uliko tumeshindwa kulipiza hapa duniani ila huko mbinguni lazima tulipize
 
Ungetutajia jina kabisa lakini lazima tuwe wazi ..wafanyabiashara wamepiga sana na kuiba hela ..nchi hii ilikuwa kama gombania goli..wengi walitumia viongozi wa kisiasa wa tawala na hata upinzani kutekeleza wizi.inawezekana kabisa ushahidi ukawa haupo au kupotezwa lakini ndani ya mioyo yao wanajua waliiba kiasi gani na madhara waliyopata wengine kama ukosefu wa maji au huduma za hospitali nk vilisababisha vifo vya watu...watoke kimya kimya maana mambo yao yalikuwa wazi huku mtaani kipindi kuiba au kufisadi ni sifa.
Jina litakusaidia nini?yaani mwendazake masalia mnapata tabu sana!!hakuna anayekataa kuwa wizi haukuwepo/haupo tofautisha kati ya mtu kufutiwa kesi na mtu kupatikana hana hatia!!kwa dhuruma iliyofanywa na jiwe na watu wake ndio maana unaona leo watu wanafutiwa kesi na sio kuwa hawapatikani na hatia, lingekuwa ni suala la ushahidi kuharibiwa mahakama ndio ingekuwa inawaachia huru na sio DPP!!
Kwanza ni aibu haiwezekani kila leo unasikia dpp anafuta kesi, za watuhumiwa, ambacho huwa ni kitu nadra sana kwenye mfumo wa sheria unaofuata haki!!Dunia nzima wanashangaa hivi ilikuwaje hali hii ikatokea?Yaani DPP kufuta kesi ambazo ni maisha ya watu imekuwa rahisi kama TFF, kubadirisha ratiba za ligi kuu!!
Yaani bora hata mahakama ndio ingekuwa inawaachia huru kwa kukosa ushahidi wa kutosha na sio DPP!!Sasa kama yalikuwa waziwazi mbona mnashindwa kuwafunga?!!unadhania Mwendazake angekuwa hai leo wakina mbowe hiyo rufaa yao inngekuwa kama ilivyotoka?!!yaani milioni 350!!zirudishwe?!!hahaaa.MUNGU FUNDI
 
Duuh Malisa kama jambo halijamtokea yeye basi yeye ndio yupo kwenye nafasi nzuri zaidi ya kulitolea ufafanuzi.
 
Ungetutajia jina kabisa lakini lazima tuwe wazi ..wafanyabiashara wamepiga sana na kuiba hela ..nchi hii ilikuwa kama gombania goli..wengi walitumia viongozi wa kisiasa wa tawala na hata upinzani kutekeleza wizi.inawezekana kabisa ushahidi ukawa haupo au kupotezwa lakini ndani ya mioyo yao wanajua waliiba kiasi gani na madhara waliyopata wengine kama ukosefu wa maji au huduma za hospitali nk vilisababisha vifo vya watu...watoke kimya kimya maana mambo yao yalikuwa wazi huku mtaani kipindi kuiba au kufisadi ni sifa.

Huyo na Chato airport nani mhujumu uchumi na mwizi wa Taifa?
 
Ungetutajia jina kabisa lakini lazima tuwe wazi ..wafanyabiashara wamepiga sana na kuiba hela ..nchi hii ilikuwa kama gombania goli..wengi walitumia viongozi wa kisiasa wa tawala na hata upinzani kutekeleza wizi.inawezekana kabisa ushahidi ukawa haupo au kupotezwa lakini ndani ya mioyo yao wanajua waliiba kiasi gani na madhara waliyopata wengine kama ukosefu wa maji au huduma za hospitali nk vilisababisha vifo vya watu...watoke kimya kimya maana mambo yao yalikuwa wazi huku mtaani kipindi kuiba au kufisadi ni sifa.
Namuona Mataga
 
Na mimi nitunge ya kwangu??!!?..maana nami nina kipaji cha utunzi wa stori na hadithi za kusisimua
Wanaharakati wa chadema badala washughulikie kuendeleza chama wao wako kutunga uongo dhidi ya Magufuli.

Mtu una akili timamu unaweza kumuamini Malisa kweli? Juzi hapa alitunga uzushi wa kiwanda cha pombe Moshi dhidi ya Sabaya, juzi hapa wametunga uzushi wa madai ya Lisu.

Hawana hoja.
 
Pole sana mkuu.

Kenya wanawaita wakora. Wale jamaa walikuwa wakora tu.

Wakora - wazi, vibaka, majambazi, wezi, mabazazi, Mabedui, majahili, mafedhuli, nk. Yaani mkuluro wote huo.

Huna utu, huruma wala hujali haki za wengine, wewe ni mtu wa namna gani?
Ahsante Nlishapoa mkuu, jamaa alinyoosha watu mjini aisee !
 
Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.

Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.

Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.

Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.

Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.

Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.

Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.

Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.

Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.

Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!


Malisa GJ
Jamaa alikua katili kupitiliza
 
Ndugu yangu mmoja alishtakiwa kwa uhujumu uchumi akituhumiwa kukwepa kodi kwenye biashara zake. Lakini yeye anadai ni kesi ya kisiasa. Mwaka 2015 aliombwa kusupport kampeni za CCM akakataa lakini alifadhili kampeni za UKAWA. Anaamini hiki ndicho kilichomponza.

Mwaka 2018 alikamatwa na baadhi ya biashara zake kufungwa, na nyingine zikashindwa kujiendesha kutokana na makadirio makubwa ya kodi.

Baada ya kukaa gerezani miaka miwili akaona bora akiri ili atoke (the lesser evil). Wakati wa majadiliano na DPP akatakiwa kulipa zaidi ya 200M. Akakubali kufilisi biashara zake chache zilizobakia ili "kununua" uhuru wake.

Mwaka jana tulimtembelea gerezani mimi na Dr.Cyrilo. Tukamuuliza kwanini umeamua kukiri? Huoni itakuwekea doa? Kuna nchi utazuiwa kwenda kwa sababu ya "criminal record" ya uhujumu uchumi. Kuna fursa za biashara utashindwa kupata. Kwanini usingepambana ushinde badala ya kukiri.

Huku akilengwalengwa na machozi akajibu, nachotaka kwa sasa ni kuwa huru tu. Nikishatoka hiyo "criminal record" anaweza kuja Rais mwingine akaifuta, huwezi jua. Tukaagana, akarudi zake nyuma ya nondo.

Licha ya kukiri na kuwa tayari kulipa (plea burgaining) lakini bado hakuachiwa. Aliambiwa jalada bado lipo kwa DPP.

Wiki iliyopita amefutiwa mashtaka yote na kuachiwa huru, bila kulipa chochote. Siku anaachiwa wala hakujua kama angeachiwa. Ilitumwa "remove order" gerezani, akaenda mahakani bila kubeba chochote maana haikua siku ya kesi. Hata wakili wake hakuwepo.

Miguuni alivaa kandambili. Alipofika mahakamani akaambiwa, Jamhuri imekufutia mashtka yote na haina nia ya kuendelea na kesi. Akadhani ni mtego ili wamkamate tena. Akajaribu kutoka nje ya mahakama, lakini hakuna mtu aliyehangaika nae.

Akaita taxi, ikampeleka nyumbani. Mkewe akapata suprise ambayo hakuitegemea. Akaanguka, alipoamka akaanza kulia. Watoto walipomuona baba yao nao wakalia. Majirani wakaja na kumkumbatia, wakilia. Nyumba ikatawala machozi.

Hii nchi imepitia kipindi kigumu sana. Kuna jinsi Mungu anamtumia mama Samia kuponya majeraha na kuokoa mioyo iliyopondeka. Biblia inasema Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wowote (Mithali 14:34).!


Malisa GJ
You have truth with you on many cases but not all.
 
Rais Samia anajipatia maadui wapya kadri haki inavyopatikana kwenye sekta ya mahakama. Lakini thawabu ya maamuzi haya magumu ni kubwa sana kwa Mungu.

Unashangaa Mzee Mwinyi mpaka anafikisha miaka 96 anaweza kusoma bila miwani, ndio thawabu zenyewe hizo. Furaha inayopatikana kwa wengi kuumizwa na maamuzi fulani ya kiongozi huambatana na mkosi mkubwa wenye kuwapa kilio wengi.
 
Yule bwana alikuwa muhuni sana.Aliumiza watu wengi mnoo.Kwa upendo mkubwa nakuomba niseme..."go to hell"!😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom