Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ghafla umenifanya niwaze kugombea nafasi ya uwakilishi wa wananchi huko bungeni ifikapo 2020. Hatuwezi kuindeleza nchi kiuchumi, kidiplomasia, kisiasa na kiutamaduni, wakati kuna wenzetu wanatuchezea 'shere'! Haiwezekani!Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.
Hapo kwenye kuwabariki na viongozi wake wote , Mapenzi yake yatimizwe .na viongozi wake wote
Yaani ghafla umenifanya niwaze kugombea uwakilishi wa wananchi huko bungeni ifikapo 2020.
Asante sana kwa ushauri.Huhitaji kugombea ubunge. Andika muswada wako kikamilifu, wapelekee wanasheria waurekebishe, kisha changu mbunge mmoja aupeleke kama muswada binafsi bungeni.
BUnge likiukataa basi maana yake wabunge na serikali wasilalamike mtu anaiba mabilioni kisha analipishwa milioni 70 ambayo hata mimi ninaweza kuilipa.
Hapo kwenye kuwabariki na viongozi wake wote , Mapenzi yake yatimizwe .
Tulia tafuta taarifa kamili, waliohukumiwa ni wawili na kila mmoja analipa 35 million au 6 years jela
~~~>>>1Bilioni akilipa 70Milioni zinabaki 930Milioni ....... Akihonga milioni 430 anabaki na Milioni 500 ...
Shida ni sheria zetu sio mahakimu wetu.Zimepotea 1 bilion. mnamlipisha 70 mil...na mahakimu mkiambia mnachakachua maamuzi ya adhabu mnalalamika kuingiliwa kwenye utendaji wenu. Kitu gani hii!
Wangefungwa mngekuja mkibweka ''chuki'' chuki.....Bilioni kwa mil 70 !
Mungu ibariki Tanzania .
Huyu Jamaa sio kaiba billion moja. Walinunua magari second hand lakini ni mazuri na paka Leo ndio yanayotumika. Wao walitakiwa kununua mapya ila kwakuwa kampuni ilikuwa haina pesa ikabidi wanunue hayo. Hiyo hela wanayolipishwa ni nyingi sana kutokana na uhalisia wa magari yenyewe.Wenda wazimu hawa yaani 1 bilioni analipa faini ya milioni 70?
Kuna maelezo mengine yakuweza kunishawishi kwamba kilichofanyika ni sahihi kama hakuna maelezo mengine basi kua hakimu makama ya serikali ni bora kesi ziamuliwe na wapiga debe wa ubungo
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Tena ni 35 milion kwa kila mmoja au kwenda jela miezi sitaWenda wazimu hawa yaani 1 bilioni analipa faini ya milioni 70?
Kuna maelezo mengine yakuweza kunishawishi kwamba kilichofanyika ni sahihi kama hakuna maelezo mengine basi kua hakimu makama ya serikali ni bora kesi ziamuliwe na wapiga debe wa ubungo
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.