Mahakama imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kifungo cha miaka 6 au faini ya milioni 35

Mahakama imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL, David Mataka kifungo cha miaka 6 au faini ya milioni 35

Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.
SubiriJibu,
Umeongea jambo kubwa na la kweli. Wakubwa watunga sheria kama kina Andrew Chenge mbunge hawawezi kutunga sheria / adhabu kali, sana sana wakubwa watajitungia sheria za faini au kinga ya kushtakiwa n.k
 
Mahakama ya Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL David Mataka kulipa faini ya mil 35 au kutumikia kifungo cha miaka sita gerezani.

Mkurugenzi huyo alikuwa akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo ubadhilifu wa pesa zaidi ya sh. Bilioni 1 zilizotumika kununua magari chakavu

Soma: David Mataka apandishwa kizimbani

View attachment 587437

Samahani sasa tuamini ' figure ' ya katika Headline yako ya miezi 6 au ya katika Content yako ya miaka 6? Nitashukuru nikijibiwa Mkuu.
 
Toka habari zake na Defao zilipovuma, namuona hana maana mtu mzima huyu. Nadhani hii inayompata ni laana ya kuchezea nnya ya mwanaume mwenzie. Itapendeza akifungwa maana huko atakutana na wapakua vyoo wenzie.
 
Afungwe tu no faini , CCM wekeni hata sheria ya kuwanyonga(kama China) hawa watu ili wana CCM (mafisadi) wapungue duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasheria wasom hizi sheria zenu huwa mnazitungaje mtu ana ubadhirifu wa 1Bln then unampa option ya 70M au kifungo kuna uhalisia hapo kwel
Sheria zinatungwa na kinalusinde na maji marefu huko bungeni mkuu
 
Zaidi ya bilion moja hasara mtu anarudisha milion 35 mtoa mada kama iyo hukumu ipo ivyo kweli basi wamefanya biashara nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da sheria hizi bwana

17 PHD these are results
 
Hata wangemwambia milioni 400 versus miezi mitatu, asingeopt kwenda jela. Milioni 35 huku kapiga zaidi ya Billion moja. Tanzania tuna sheria nzuri sana kwa raia wetu wanyonge
 
Zimepotea 1 bilion. mnamlipisha 70 mil...na mahakimu mkiambia mnachakachua maamuzi ya adhabu mnalalamika kuingiliwa kwenye utendaji wenu. Kitu gani hii!

badili kwanza sheria na katiba ya nchi ndio uanze kuwalaumu mahakimu na majaji, Mahakama huhukumu kulingana na sheria za nchi..bila shaka sheria ya nchi ndio imetoa hiyo hukumu sio hakimu..
 
Back
Top Bottom