kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka na mwenzake kulipa faini ya Sh35 milioni kila mmoja au kutumikia kifungo cha miaka sita jela.
Mbali na Mattaka, mshtakiwa mwingine ni Elisafi Mathew aliyekuwa kaimu ofisa mkuu kitengo cha fedha cha ATCL.
Uamuzi huo umetolewa na Mahakama baada ya upande wa Jamhuri kuthibitisha mashtaka dhidi yao pasipo kuacha shaka.
Akitoa hukumu, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa alimuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa Hesabu za ndani ATCL, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka dhidi yake.
Mahakama pia imeamuru Mattaka na Mathew kulipa hasara waliyoisababishia ATCL katika ununuzi wa magari chakavu 26 ambayo ni Dola 143,442.75 za Marekani ndani ya mwezi mmoja.
Washtakiwa walitiwa hatiani katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili ya kula njama, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara Serikali.
Chanzo: Mwananchi
Soma: David Mataka apandishwa kizimbani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi
View attachment 587437
Hukumu, hatujaiona, tunajilisha upepo tu hapq jf.Hata wangemwambia milioni 400 versus miezi mitatu, asingeopt kwenda jela. Milioni 35 huku kapiga zaidi ya Billion moja. Tanzania tuna sheria nzuri sana kwa raia wetu wanyonge
Mkuu badilisha kwenye heading unachanganya. Amehukumiwa miezi sita (heading) lakini kwenye taarifa yenyewe amehukumiwa kifungo cha miaka sita.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka na mwenzake kulipa faini ya Sh35 milioni kila mmoja au kutumikia kifungo cha miaka sita jela.
Mbali na Mattaka, mshtakiwa mwingine ni Elisafi Mathew aliyekuwa kaimu ofisa mkuu kitengo cha fedha cha ATCL.
Uamuzi huo umetolewa na Mahakama baada ya upande wa Jamhuri kuthibitisha mashtaka dhidi yao pasipo kuacha shaka.
Akitoa hukumu, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa alimuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa Hesabu za ndani ATCL, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka dhidi yake.
Mahakama pia imeamuru Mattaka na Mathew kulipa hasara waliyoisababishia ATCL katika ununuzi wa magari chakavu 26 ambayo ni Dola 143,442.75 za Marekani ndani ya mwezi mmoja.
Washtakiwa walitiwa hatiani katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili ya kula njama, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara Serikali.
Chanzo: Mwananchi
Soma: David Mataka apandishwa kizimbani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi
View attachment 587437
Hivi kumbe mnahukumu kutokana na upepo unavyovuma ?Wangefungwa mngekuja mkibweka ''chuki'' chuki.....
Duh!Uyu Mataka si ndo yule aliyemlawiti Pasko Mayalla?
Basi Pasko Mayalla atakua na furaha isiyo na kifani popote alipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakimu wetu wana matatizo sana.Kosa la billions mtu analipa millioni 35.Huu ni uchakachuaji wa hukumu.Mahakimu wetu bado ni business as usual.Kuna haja ya kumtumbua huyu hakimu.Hayuko pamoja na watanzania kabisa kwenye vita ya uchumi inayoendelea.Watu kama hawa na akina Mataka ndio kila kukicha wanamtupia Rais madongo,haivumiliki.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka na mwenzake kulipa faini ya Sh35 milioni kila mmoja au kutumikia kifungo cha miaka sita jela.
Mbali na Mattaka, mshtakiwa mwingine ni Elisafi Mathew aliyekuwa kaimu ofisa mkuu kitengo cha fedha cha ATCL.
Uamuzi huo umetolewa na Mahakama baada ya upande wa Jamhuri kuthibitisha mashtaka dhidi yao pasipo kuacha shaka.
Akitoa hukumu, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa alimuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa Hesabu za ndani ATCL, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka dhidi yake.
Mahakama pia imeamuru Mattaka na Mathew kulipa hasara waliyoisababishia ATCL katika ununuzi wa magari chakavu 26 ambayo ni Dola 143,442.75 za Marekani ndani ya mwezi mmoja.
Washtakiwa walitiwa hatiani katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili ya kula njama, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara Serikali.
Chanzo: Mwananchi
Soma: David Mataka apandishwa kizimbani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi
View attachment 587437
soma vizuri ni dola laki na 20 na wameamriwa wazirudishe ndani ya mwezi mmojaZimepotea 1 bilion. mnamlipisha 70 mil...na mahakimu mkiambia mnachakachua maamuzi ya adhabu mnalalamika kuingiliwa kwenye utendaji wenu. Kitu gani hii!
Duuuu, hebu tuache ushabiki usiyokuwa na tija kwa taifa. Wizi wa kuku miaka 12. Tunaomba ututajie ni mtanzania yupi aliyefungwa kwa kosa hilo. Na hukumu hiyo ilitolewa na hakimu yupi???, na mahakama ipi. Na mwaka gani?? Ili tufuatilie hiyo kesi.Hukumu ya hovyo , WEZI wa kuku miaka 12, Mwizi wa bilioni miezi sita!!!
mleta mada alitupandisha mori kabla Moderators hawajaingilia kati. Taarifa za mwanzo...zilieza hivyo.soma vizuri ni dola laki na 20 na wameamriwa wazirudishe ndani ya mwezi mmoja
Si ndio nyie nyie mnasema Manji anaonewa!!!Hukumu ya hovyo , WEZI wa kuku miaka 12, Mwizi wa bilioni miezi sita!!!
Ana Bahati Kesi ilianza enzi za business as usual. Vinginevyo Ilitakuwa uwe Kesi ya uhujumu uchumi. Anakaa jela. Miaka Sita na akihukumiwa miaka 6 angalau inakuwa 12 yrs. tutanyooka tuuMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mattaka na mwenzake kulipa faini ya Sh35 milioni kila mmoja au kutumikia kifungo cha miaka sita jela.
Mbali na Mattaka, mshtakiwa mwingine ni Elisafi Mathew aliyekuwa kaimu ofisa mkuu kitengo cha fedha cha ATCL.
Uamuzi huo umetolewa na Mahakama baada ya upande wa Jamhuri kuthibitisha mashtaka dhidi yao pasipo kuacha shaka.
Akitoa hukumu, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa alimuachia huru William Haji aliyekuwa mkaguzi mkuu wa Hesabu za ndani ATCL, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka dhidi yake.
Mahakama pia imeamuru Mattaka na Mathew kulipa hasara waliyoisababishia ATCL katika ununuzi wa magari chakavu 26 ambayo ni Dola 143,442.75 za Marekani ndani ya mwezi mmoja.
Washtakiwa walitiwa hatiani katika mashtaka sita yaliyokuwa yakiwakabili ya kula njama, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara Serikali.
Chanzo: Mwananchi
Soma: David Mataka apandishwa kizimbani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi
View attachment 587437
Nyongwa baba yako wahedAfungwe tu no faini , CCM wekeni hata sheria ya kuwanyonga(kama China) hawa watu ili wana CCM (mafisadi) wapungue duniani
Sent using Jamii Forums mobile app