Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu mnajazwa tu upepo,80% ni chumvi tupu.Kama Lissu tunaambiwa kapigwa risasi 39,utaacha kufura?mleta mada alitupandisha mori kabla Moderators hawajaingilia kati. Taarifa za mwanzo...zilieza hivyo.
Ndo chaka mnalo jifichaga huko...sheria za kijinga mnajitungia hakimu lazima awe na uwezo wa ku think outside de box!....siyo kufanya ujinga then useme eti sheria....alisomea ujinga gani huo??Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.
Kitambo Sana awakawii.Dahh! Ingekuwa kule China sahizi wangekuwa wanasubiri kunyongwa