SubiriJibu,Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.
Mahakama ya Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL David Mataka kulipa faini ya mil 35 au kutumikia kifungo cha miaka sita gerezani.
Mkurugenzi huyo alikuwa akituhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo ubadhilifu wa pesa zaidi ya sh. Bilioni 1 zilizotumika kununua magari chakavu
Soma: David Mataka apandishwa kizimbani
View attachment 587437
Wew ni hakimu??Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.
Sheria zinatungwa na kinalusinde na maji marefu huko bungeni mkuuWanasheria wasom hizi sheria zenu huwa mnazitungaje mtu ana ubadhirifu wa 1Bln then unampa option ya 70M au kifungo kuna uhalisia hapo kwel
Kwahyo mwanasheria anakutana na sheria mahakaman? Ile Miswada kabla haijapelekwa Bungen huwa inaandaliwa na nan?Sheria zinatungwa na kinalusinde na maji marefu huko bungeni mkuu
Inaandaliwa na sirikali kwa kushauriana na ofisi ya mwanasheria mkuu wa sirikaliKwahyo mwanasheria anakutana na sheria mahakaman? Ile Miswada kabla haijapelekwa Bungen huwa inaandaliwa na nan?
So kumbe mwanasheria anahusika mpaka hapo?Inaandaliwa na sirikali kwa kushauriana na ofisi ya mwanasheria mkuu wa sirikali
Afu mtukahujumu Billioni sita, analipishwa Milioni 35.Hukumu ya hovyo , WEZI wa kuku miaka 12, Mwizi wa bilioni miezi sita!!!
Swadakta kabisa ila unaweza kukuta sheria yenyewe ilitungwa kwa dharura mkuu kama kawaida sasa ikakosa muda wa kusoma tukasema ndiyooo ngoma ikatikiSo kumbe mwanasheria anahusika mpaka hapo?
Zimepotea 1 bilion. mnamlipisha 70 mil...na mahakimu mkiambia mnachakachua maamuzi ya adhabu mnalalamika kuingiliwa kwenye utendaji wenu. Kitu gani hii!
Hakimu hawezi kutoa kifungo zaidi ya kilichoandikwa kwenye sheria. Ukitaka peleka muswada bungeni ili kukidhi kifungo unachotaka kwa mabilioni yanapoibiwa.